ITV vs Rais Magufuli na CCM

ITV vs Rais Magufuli na CCM

Status
Not open for further replies.
Umbeya mtupu. Acha upotoshoja.jana saa mbili ITV habari 2 za mwanzo ni Magufuli na waziri mkuu.Unataka wafanye nini?
Hata wakati wa kampeni walikuwa wanaziweka sometimes za mwisho.
Hii ni taasis binafsi sii mali ya serekali ina uhuru wa kujiendesha kibiashara.Haiwezi kuwa chombo cha propaganda za serekali.
Acha chuki binafsi.
 
wachaga wameweka kinyongo.... mirija inazibwa ... majipu yanapasuliwa ...
Maraisi wote wanaopiga mdudu huwa wanailetea sana maendeleo nchi yetu mfana Mkapa na sasa Magufuli lakini wale wanaotembea na ndizi za pilau ni hatari
 
Habari JFGT,

Nimefuatilia kwa ukaribu nimeona ITV wana-report habari za Mkuu wa nchi na majeshi yake Rais JPM katika hali isiyompa umuhimu au uzito. Hii tafsiri yake ni nini?

Mfano, siku Mh Rais amelihutubia bunge na kutoa hotuba "ya kihistoria" iliyojaa uzalendo na kufufua matumaini, hotuba iliyogusa mambo nyeti kabisa yanayoisumbua nchi hii kama dawa za kulevya, ufisadi na ukwepaji kodi, taarifa ya habari saa mbili jioni habari ile ilisomwa kama ya tano au sita karibu na mwisho wa habari za kitaifa.

Nilikuwa bar muda huo watu waligeukia TV wakiamini habari hiyo itakuwa mwanzo kama ilivyozoeleka kipindi cha JK ambapo habari zake mara nyingi zilipewa kipaumbele kutangazwa mwanzo lakini walisubiri mpaka wakarudi kula maji tu. Hii ni nini??

Pia, juzi makamu wa Rais Mama Samia alikutana na Wanawake ofisini kwake kwa tukio la kikazi, habari hiyo ilisomwa mwisho-mwisho.

Anyway, siku Mh Rais au Makam au PM wakiwa na habari better niangalia TBC. Nahisi kuna element za mihemko na husuda.
Ila inabaki kuwa "uchaguzi umeisha, Rais ni JPJM".

Wanaisoma number tu sasa watu wa level ya kina Bade na bado!

Salute Mheshimiwa Rais!

Pana mbunge mmoja alipata uwaziri kwa kuishutumu ITV bungeni kumpa Mengi muda mwingi kwenye taarifa ya habari kuliko Rais.
 
Mmmh! Kweli serikali iliyopita haijamalizika huku mikiani.

Hey! Hatuna muda na hoja za kijinga. Fungua stesheni yako uwe unatangaza tangu rais anakunywa chai hadi anapolala.

Uzalendo hauoneshwi na mipasho
 
Nina wasi wasi kama uwa unaangalia habari au vipindi vingine vya itv, hivyo maelezo yako yanaonyesha kwamba uangalii itv ila unamihemuko mingine ya chuki tena sio na itv bali na mmiliki wake, mie naomba nikushauri, hebu tafuta njia nyingine za kuungwa mkono na watu wenye mitizamo kama yako na sio kuja kutafuta sababu zisizo na pumzi au uhai, chuki na roho mbaya hazifai muda huu, tumepata serikali mpya sasa tufanye kazi.

Pole ndugu mie na waungwana wenzangu hatuko na wewe, pia nasikitika watu nyie mmekuja kwa kasi sana humu jf ili tu muihujumu na watu waone haifai, acha chuki.

[h=2]Re: ITV vs JPM & CCM[/h]
wachaga wameweka kinyongo.... mirija inazibwa ... majipu yanapasuliwa ..From Njiwa Quote)

Hongera Kirimirimi, siku hizi sikioni kitufe cha 'like'. Na mimi ndivyo nilivyomsoma mleta mada, infact yeye ndio ana chuki na tena ni mchonganishi wa haja. Haoni amani anapenda kuona mafarakano, angependa na kufurahi sana rais Magufuli angemtenda Mengi, maana ndiko chuki yake ilipolala, wako na wengine kama yeye, mfano huyu Njiwa. Tena basi kuna uwezekano mkubwa wao ndio hawana amani na utendaji wa mheshimiwa rais. Mi ni mchaga na nimesikia comments nyingi za wachaga hususan watu wazima kuwa now, we have a president at least, anaonyesha uwezo. Lakini kuna baadhi ya watanzania wanatamani wachaga sijui wachinjwe au wafanyweje!



 
Mtoa mada ni shabiki wa ccm na hana uelewa wa kile anachokishabikia,
 
Mi nafikiri tuache uchonganishi ...navisifu vyombo vyote vya habari maana vinampa uzito mkubwa sana Mh Rais...

Yes, huu ni uchonganishi wa dhahiri. Muendelezo wa vita vya kijinga vya ukanda. Naamini vitakufa soon.

Tofauti za kisiasa pembeni, tuwe kitu kimoja tumuunge mkono rais wetu.

Siasa zisubiri 2020.
 
Itv wako vizuri star tv wameshapotea,ila sidhani kama ITV watanusurika na uwekezaji Wa azam kwenye habari ukiangalia viwango vya taarifa ya habari ya SAA 2:00 kati azam two na itv ,
ITV wameachwa mbali.
 
..."hotuba ya kihistoria"
wewe zoba umejaa mahaba, then unataka kuambukiza wengine mahaba ya kipuuzi kama yako.
 
Habari JFGT,

Nimefuatilia kwa ukaribu nimeona ITV wana-report habari za Mkuu wa nchi na majeshi yake Rais JPM katika hali isiyompa umuhimu au uzito. Hii tafsiri yake ni nini?

Mfano, siku Mh Rais amelihutubia bunge na kutoa hotuba "ya kihistoria" iliyojaa uzalendo na kufufua matumaini, hotuba iliyogusa mambo nyeti kabisa yanayoisumbua nchi hii kama dawa za kulevya, ufisadi na ukwepaji kodi, taarifa ya habari saa mbili jioni habari ile ilisomwa kama ya tano au sita karibu na mwisho wa habari za kitaifa.

Nilikuwa bar muda huo watu waligeukia TV wakiamini habari hiyo itakuwa mwanzo kama ilivyozoeleka kipindi cha JK ambapo habari zake mara nyingi zilipewa kipaumbele kutangazwa mwanzo lakini walisubiri mpaka wakarudi kula maji tu. Hii ni nini??

Pia, juzi makamu wa Rais Mama Samia alikutana na Wanawake ofisini kwake kwa tukio la kikazi, habari hiyo ilisomwa mwisho-mwisho.

Anyway, siku Mh Rais au Makam au PM wakiwa na habari better niangalia TBC. Nahisi kuna element za mihemko na husuda.
Ila inabaki kuwa "uchaguzi umeisha, Rais ni JPJM".

Wanaisoma number tu sasa watu wa level ya kina Bade na bado!

Salute Mheshimiwa Rais!

too biased and pathetic analysis. ilikuwaje ck hiyo ufanye ufuatiliaji wa ITV pekee na kutoa hitimisho lako?
kwani ulifanya hitimisho lako hilo kulinganisha na TV gani nyingine?

star TV ilikuwaje? na kwani lazima magufuli aoneshwe na ITV pekee?
 
Mleta mada una chuki binafsi na Mengi sasa unataka magu amkomeshe kisa anatokea sehemu usiyotoka wala kuipenda. Ushindwe na ulegee kwa chuki zako
 
Itv hamnaga tv kama ile tz. Tbc1 kidogo wakati wa tido nilikuwa naangalia. Unanishangaza ndugu saiv kituo bora cha habari ni itv yale majitu yanajua nn tunataka. Jitu kama ww ulitaka uone taarifa unayotaka itv wanamipangilio yao ya habari .
 
Saluti sana! Mungu mpe wepesi raisi wetu mahana anaitakia kheri nchi yetu na uwape uzito mijitu yenye mijiroho mbaya inayoitakia mabaya nchi yetu
 
Habari JFGT,

Nimefuatilia kwa ukaribu nimeona ITV wana-report habari za Mkuu wa nchi na majeshi yake Rais JPM katika hali isiyompa umuhimu au uzito. Hii tafsiri yake ni nini?

Mfano, siku Mh Rais amelihutubia bunge na kutoa hotuba "ya kihistoria" iliyojaa uzalendo na kufufua matumaini, hotuba iliyogusa mambo nyeti kabisa yanayoisumbua nchi hii kama dawa za kulevya, ufisadi na ukwepaji kodi, taarifa ya habari saa mbili jioni habari ile ilisomwa kama ya tano au sita karibu na mwisho wa habari za kitaifa.

Nilikuwa bar muda huo watu waligeukia TV wakiamini habari hiyo itakuwa mwanzo kama ilivyozoeleka kipindi cha JK ambapo habari zake mara nyingi zilipewa kipaumbele kutangazwa mwanzo lakini walisubiri mpaka wakarudi kula maji tu. Hii ni nini??

Pia, juzi makamu wa Rais Mama Samia alikutana na Wanawake ofisini kwake kwa tukio la kikazi, habari hiyo ilisomwa mwisho-mwisho.

Anyway, siku Mh Rais au Makam au PM wakiwa na habari better niangalia TBC. Nahisi kuna element za mihemko na husuda.
Ila inabaki kuwa "uchaguzi umeisha, Rais ni JPJM".

Wanaisoma number tu sasa watu wa level ya kina Bade na bado!

Salute Mheshimiwa Rais!

Mkuu hawa jamaa wanaweza kuwa na mapungufu yao
ila sio kwa kiwango kama cha TBCCM , yaani hao hao
jamaa wa itv ukiangalia habari ya jana ya kukamatwa
kwa maofisa wa TRA hakika nilipenda sana ile habari.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom