ITV vs Rais Magufuli na CCM

ITV vs Rais Magufuli na CCM

Status
Not open for further replies.
Cha msingi hiyo habari ilisomwa...kama isingalisomwa ningechangia..

Kwa utaratibubwa uandishibwa habari, habari ya kwanza ni muhimu zaidi kuliko habari inayofuata. Una hiyari ya kukubali hilo au kulikataa. Hata magazeti habari muhimu kuliko zote ni ile iliyo ukurasa wa kwanza kwa maandishi makubwa
 
Chanel 10 na ITV ndio peke yao hawako biased. Star TV na TBC wako kishabiki zaidi, zimekaa ki Ccm, Ccm
 
Habari JFGT,

Nimefuatilia kwa ukaribu nimeona ITV wana-report habari za Mkuu wa nchi na majeshi yake Rais JPM katika hali isiyompa umuhimu au uzito. Hii tafsiri yake ni nini?

Mfano, siku Mh Rais amelihutubia bunge na kutoa hotuba "ya kihistoria" iliyojaa uzalendo na kufufua matumaini, hotuba iliyogusa mambo nyeti kabisa yanayoisumbua nchi hii kama dawa za kulevya, ufisadi na ukwepaji kodi, taarifa ya habari saa mbili jioni habari ile ilisomwa kama ya tano au sita karibu na mwisho wa habari za kitaifa.

Nilikuwa bar muda huo watu waligeukia TV wakiamini habari hiyo itakuwa mwanzo kama ilivyozoeleka kipindi cha JK ambapo habari zake mara nyingi zilipewa kipaumbele kutangazwa mwanzo lakini walisubiri mpaka wakarudi kula maji tu. Hii ni nini??

Pia, juzi makamu wa Rais Mama Samia alikutana na Wanawake ofisini kwake kwa tukio la kikazi, habari hiyo ilisomwa mwisho-mwisho.

Anyway, siku Mh Rais au Makam au PM wakiwa na habari better niangalia TBC. Nahisi kuna element za mihemko na husuda.
Ila inabaki kuwa "uchaguzi umeisha, Rais ni JPJM".

Wanaisoma number tu sasa watu wa level ya kina Bade na bado!

Salute Mheshimiwa Rais!

wewe utakua wa kanda ya ziwa
 
Nimeona leo taarifa ya habari ITV saa mbili jioni imeanza na habari ya Rais kuongea na wafanyabiashara kisha ikafuatiwa na habari ya PM kutembelea port na Railway Co. Hapa nimeona priority na flow inayostahili. Ndio sababu hawajaanza na taarifa ya MP. Hii ina maana yake.
Good job ITV, the super brand.
 
Habari JFGT,

Nimefuatilia kwa ukaribu nimeona ITV wana-report habari za Mkuu wa nchi na majeshi yake Rais JPM katika hali isiyompa umuhimu au uzito. Hii tafsiri yake ni nini?

Mfano, siku Mh Rais amelihutubia bunge na kutoa hotuba "ya kihistoria" iliyojaa uzalendo na kufufua matumaini, hotuba iliyogusa mambo nyeti kabisa yanayoisumbua nchi hii kama dawa za kulevya, ufisadi na ukwepaji kodi, taarifa ya habari saa mbili jioni habari ile ilisomwa kama ya tano au sita karibu na mwisho wa habari za kitaifa.

Nilikuwa bar muda huo watu waligeukia TV wakiamini habari hiyo itakuwa mwanzo kama ilivyozoeleka kipindi cha JK ambapo habari zake mara nyingi zilipewa kipaumbele kutangazwa mwanzo lakini walisubiri mpaka wakarudi kula maji tu. Hii ni nini??

Pia, juzi makamu wa Rais Mama Samia alikutana na Wanawake ofisini kwake kwa tukio la kikazi, habari hiyo ilisomwa mwisho-mwisho.

Anyway, siku Mh Rais au Makam au PM wakiwa na habari better niangalia TBC. Nahisi kuna element za mihemko na husuda.
Ila inabaki kuwa "uchaguzi umeisha, Rais ni JPJM".

Wanaisoma number tu sasa watu wa level ya kina Bade na bado!

Salute Mheshimiwa Rais!

mianawaka mingine ikiwa ktk siku zao shidaaa,kinyaa kabisa
 
Kwa utaratibubwa uandishibwa habari, habari ya kwanza ni muhimu zaidi kuliko habari inayofuata. Una hiyari ya kukubali hilo au kulikataa. Hata magazeti habari muhimu kuliko zote ni ile iliyo ukurasa wa kwanza kwa maandishi makubwa

kwa hiyo hata mwandishi akaweka front page jinsi mama yako alivyobakwa na kukuzaa wewe ni sawasawa?
 
Wenzako kina makonda paulo hawakujipendekeza namna hiyo ili wapate ukuu wa wilaya, kafunge tu gidamu za rizimoja utapata unachokihitaji.Otherwise, ITV wanajitambua, wanakumbuka vizuri hotuba nzuuuuuuri ya mbayuwayu ya 2006,kilichotokea wahabeshi ndio wamekuwa mabalozi wetu China .

Ndo umeandika nini sasa hapa?
 
umekula maharage ya wapi

Nimekwambia nilikuwa bar auliza maharage? Bar kuna soup, beer, wine, whisky, soda, makange etc. kama na maharage yapo sio bar niliyokuwepo.
Endelea kula maharage siulizi ni ya wapi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom