ITV na isidingo the need???

ITV na isidingo the need???

ITV ilianzana EGOLI then ndio ikafuata ISIDINGO its very interesting....kuna love,business,cultural,crime issues kwenye hii tamthilia tofauti na za kifilipino zilizojaa mapenzi tuu

Duh. Watu mna kumbukumbu!
Egoli, a place of gold. Kweli ni ya kitambo sana.
 
Duh. Watu mna kumbukumbu!
Egoli, a place of gold. Kweli ni ya kitambo sana.

we acha tu. ITV ilituburudisha sana....unakumbuka 21 jump street,renegade,family matters[steve na lora],life goes on,hanging with mr cooper....
 
we acha tu. ITV ilituburudisha sana....unakumbuka 21 jump street,renegade,family matters[steve na lora],life goes on,hanging with mr cooper....

Nakumbuka sana, tena huyo 'Cooper' alishakuja Tanzania nadhani 2010 au nyuma ya hapo na kufanya show Dar.
 
Isidingo The need, hii need bado inapendwa sana, toka nimeanza kuangalia sikumbuki mwaka kati ya 1994 na 1996 , mpaka sasa naendelea kuiangalia.
Sasa hivi ukiachilia Lerato na Cancer ni kisa cha Lincoln na mdogo wake Jeff, Lincoln alitembea na mke wa mdogo wake jeff.
 
Isidingo The need, hii need bado inapendwa sana, toka nimeanza kuangalia sikumbuki mwaka kati ya 1994 na 1996 , mpaka sasa naendelea kuiangalia.
Sasa hivi ukiachilia Lerato na Cancer ni kisa cha Lincoln na mdogo wake Jeff, Lincoln alitembea na mke wa mdogo wake jeff.

tamthilia zote ninazoangalia za SOUTH AFRICA hata zikiwa westernized kiasi gani hawasahau culture yao....lazima wataingiza mambo ya ancestors hata wawe matajiri kiasi gani...kwa mfano kisa hiki wanaamini majanga yote ya familia ni ancestors wamechukizwa na kitendo cha lincoln kutembea na mke wa mdogo wake na kutoa mimba ambayo kwa utamaduni wao wameua mtoto na mpaka wakatambike na kuomba msamaha kwa ancestors ndio majanga ya familia yataisha. nawafagilia wa-south kwa kuthamini utamaduni wao.
 
katika kipindi ambacho nilikuwa sikipendi mida kidogo iliyopita ni hiki kipindi lakini sasa nimetokea kukipenda saaana;ingawa huwa naangalia jumapili marudio.kwa kweli ni kipindi kizri na hata actors wake wanafnya vyema;
 
tamthilia zote ninazoangalia za SOUTH AFRICA hata zikiwa westernized kiasi gani hawasahau culture yao....lazima wataingiza mambo ya ancestors hata wawe matajiri kiasi gani...kwa mfano kisa hiki wanaamini majanga yote ya familia ni ancestors wamechukizwa na kitendo cha lincoln kutembea na mke wa mdogo wake na kutoa mimba ambayo kwa utamaduni wao wameua mtoto na mpaka wakatambike na kuomba msamaha kwa ancestors ndio majanga ya familia yataisha. nawafagilia wa-south kwa kuthamini utamaduni wao.
Yap huwa napenda sana kumuangalia Jacob Zuma akicheza ngoma za kwao huwa kuna mvuto fulani hivi.
https://www.youtube.com/watch?feature=player_detailpage&v=YBc1n5HqXxs
 
Haujaifuatilia tu,ni nzuri sana na inagusa kila upande wa maisha,ilianza mwaka 1998 bada ya EGOLI THE PLACE OF GOLD kwisha,ni bor kuliko hizi za kifilipino ambazo hazina uhalisia wa maisha ya kila siku,isidingo inagusa vitu kama,kazi,habari,utawala,vyama vya wafanyakazi,maisha ya kitajiri na ya kimaskini,usaliti na uaminifu,magonjwa,n.k,nilianza kuifuatilia since 2004,na inaweza pita hata miez miwili sijangalia kutokana na majukumu ya kusafiri mikoani sema nikiangalia mara mbili narudi kwenye mstari,LETTI MATABANE aliacha kuonekana kabla hata hajafa,na alitoka isidingo kwa style ya kifo pia,mashabiki wa isidingo tuko weengi mno!
 
Back
Top Bottom