mzawahalisi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2010
- 752
- 238
Hapa Papa G pale slu.. hapa Baka hends pale matabane... and Mrs matabane.. pale muhindi... sijaichoka. Nawachukia wanapoingiza na ushoga na kuhalalisha.
Hivi jamani kuna kitu sijakielewa hapa kuhusu hii isdingo the need, kwanini huwa haishi?? Ina maana itv wamekosa kipindi kingine cha kuelimisha jamii zaidi ya hiki cha isdingo?? Au kuna percent wanapata kutoka kwa hao isdingo wenyewe???? Isdingo yenyewe haina mashabiki hata kidigo, maisha gani ya ki miner yasiyo na mwisho?? Itv
muache kutuzingua banaaa!!!
nimezaliwa nimeikuta
Navokumbuka miss neddy, Isidingo ilianza baada ya tamthiliya nyingine maarufu sana kumalizikahahahahaha hivi ilianza mwaka gani
Navokumbuka miss neddy, Isidingo ilianza baada ya tamthiliya nyingine maarufu sana kumalizika
mwaka 1998 iitwayo 'Egoli, place of Gold' iliyopendwa sana ITV.
Ila kiukweli Isidingo inagusa kwenye maswala yapi hasa???? Tushazoea kuangalia series tofauti zenye lengo maalum. Yaweza kuwa ushushu ama waokoaji huru, ama ujambaz wa mtandao ama mapenzi nk. Lakin hawa jamaa siamini kama kuna mtu ambae alianza kufuatilia kipindi kile mpaka leo anafuatilia yani sielewi. Nikiangalia waliokuwepo kule 2001 leo hii siwaoni yani washapotea nadhani wamebaki wa4 hivi.
Alifariki kweli. Kwa muda mrefu tu kabla ya kufariki alikuwa akiishi na VVU.Leti Matabane amefariki kitamthilia au kikwelikweli?
Alifariki kweli. Kwa muda mrefu tu kabla ya kufariki alikuwa akiishi na VVU.
Hivi jamani kuna kitu sijakielewa hapa kuhusu hii isdingo the need, kwanini huwa haishi?? Ina maana itv wamekosa kipindi kingine cha kuelimisha jamii zaidi ya hiki cha isdingo?? Au kuna percent wanapata kutoka kwa hao isdingo wenyewe???? Isdingo yenyewe haina mashabiki hata kidigo, maisha gani ya ki miner yasiyo na mwisho?? Itv
muache kutuzingua banaaa!!!
Hivi jamani kuna kitu sijakielewa hapa kuhusu hii isdingo the need, kwanini huwa haishi?? Ina maana itv wamekosa kipindi kingine cha kuelimisha jamii zaidi ya hiki cha isdingo?? Au kuna percent wanapata kutoka kwa hao isdingo wenyewe???? Isdingo yenyewe haina mashabiki hata kidigo, maisha gani ya ki miner yasiyo na mwisho?? Itv
muache kutuzingua banaaa!!!
Isidingo nzuri sana. Btw... imenisaidia kuchelewa kwenda baa. Lincoln na Baker nawakubali. Lerato ni kifaa hasa cha kiafrika (no offence)! Na walivomweka kwenye kansa inaniumaje?
Kulikua na nyingine Mnet inaitwa Jacob's Cross. Ila sijaiona kitambo.
ipi...kunyonya,balehe au MP?
hahahahaha hivi ilianza mwaka gani