ITV na isidingo the need???

ITV na isidingo the need???

leo wamerudia episode ya ijumaa wkt mm nimewahi hom kuendeleza palipoishia last wk.yaan dah..
 
Jamani kwa wale tunaofuatilia ISIDINGO THE NEED imefika pazuri - Yaani Katlego ananifurahisha anavyomdindia Jeff, hadi ukorofi wake unapoa yaani hizi turns za isdingo haziachi kunishangaza ukifikiri jambo fulani linafika mwisho ndiyo kwanza linaanza kwa mfano nilishahesabu Katlego out, sasa kaja na mkakati mpya nimempenda, komaa mama mpaka kieleweke!
 
asiye angalia isidingo ni looser.
nimeona msimamo wa caitlin kumjibu bosi wake kuwa hataacha tabia zake yaani nimependa confidence ya aina ile.
ila katlego duh!!!!
 
Sasa nayeye kwanini aliigiza kufa ndiposa kafa kiukweli mi sipendi si mnajua kanumba aliigiza kufa sijui na yakamkuta.RIP let matabane ila nimemuona kwenye igizo jana anaumwa hoi
 
Na plot zao zote zinafanana huyu kapoteana na mama yake/dada/kaka ilihali wanaonana na ni mahasimu bila kujua kama wao wanauhusiano wa damu .michosho mitupu wacha tujisidingo kwa raha zetu!
 
Mimi huwa naangalia marudio ya wiki, this time ITV walichemsha!, marudio ya wiki walirudia episodes 4 za last week na episode moja ndio mpya, ile ya Cathlego akimkomalia mdingi, nimmesikitika sana ku miss last week.

Pasco
 
Ila yule atakuwa ameugawa vvu maana alivo huo mbinuko balaa.sasa si angewahi ARV
 
Mimi huwa naangalia marudio ya wiki, this time ITV walichemsha!, marudio ya wiki walirudia episodes 4 za last week na episode moja ndio mpya, ile ya Cathlego akimkomalia mdingi, nimmesikitika sana ku miss last week.

Pasco

waliboa kichiz....mie daily kuisubiria then wanarudia rudia....aaargh!
 
Sina muda huo wa kuangalia isidingo. Bora nisikilize kipindi cha sport leo radio one.
 
Isidingo haina wapenzi? Mwambieni mleta uzi apunguze kuvuta cha Arusha.
Ova
 
Huu u gentleman anaouonesha Hamilton kwa Lerato, unamvuruga sana mshkaji Sechaba
 
Back
Top Bottom