Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
baambie bakuelewe! tehe tehe tehe!
jana uliangaliaaaaa
baambie bakuelewe! tehe tehe tehe!
Mimi tu ile rafudhi yake napenda sana umkute anabishana na tshaba utapenda! Kiukweli ana makeke balaa.
hahahahaha hivi ilianza mwaka gani
Nami nahitaji kujua hili. Kwa sababu tangu Itv inafunguliwa mnamo 1994 hii tamthilia ipo tu
kwetu uswazi hiyo tamthilia tunaiona mizinguo tuu
marudio ya wiki nzima ni lini na saa ngapi?naipenda isidingooo
uko sahihi, isidingo si lazima ufuatilie yote, pale unapoianza unafaidi uhondo wote, anayeponda isidingo lugha ya malkia inamsumbuwa.kitu ninachopenda hizi tamthilia hata ukianzia katikati baada ya wiki moja tu unakuwa ushajua nini kinaendelea na unaelewa kila kitu....mimi ISIDINGO niliiacha miaka ya mwanzo ilivyoanza nimeanza tena kuiangalia few months ago
Mwaka 1998 mkuu, wakati huo ITV inatakriban miaka 4 tu tokea ianze operation zake Tanzania....nimezaliwa nimeikuta
Kwa takriban siku ya pili sasa ITV na Channel shirikishi zake zote hazipatikani kwangu.
marudio ya wiki nzima ni lini na saa ngapi?
Generations pia inaonyeshwa? channel gani? muda?
lol, huo ndo muda wangu wa kuanza kupika......jumamosi saa nne/tano usiku not so sure ila jumapili saa nne asubuhi baada ya kipindi cha watoto....mimi huwa naangalia hii.
uko sahihi, isidingo si lazima ufuatilie yote, pale unapoianza unafaidi uhondo wote, anayeponda isidingo lugha ya malkia inamsumbuwa.
hahahaaaaa,mpaka vilembwa watainjoi raha iliyoje ndani ya rohochezea isidingo ww....toka unanyonya , kuvunja ungo mpaka menopause........
Leti haonekani tangu siku nying,walimuua kimchezo na baadae akafariki kweli mapema mwaka huu anaitwa Lesego Motsepe google utapata.Naomba kujua ka Leti Matabane aliyefariki mwezi wa pili bado anaonekana.
marudio ya wiki nzima ni lini na saa ngapi?
Generations pia inaonyeshwa? channel gani? muda?
naipenda..... ila sasa nimejikuta nipo mbele sana sasa naisubiria ifike nilikokuwa then ntaendelea.ni jumapili saa 4 my sis.................
na wewe ni mpenzi wa hii tamthilia