Edward A Chapa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 973
- 1,394
Leo ITV mmetuboa watazamaji wenu, tulikuwa tunategemea mtatulushia Mubashara toka mwili unavyoshushwa na yanayojili mitaani Kama ilivyokuwa wakati wa Ruge lkn sivyo, Tambueni huyu ni mtu Mkubwa na watu wengi tunataka kuangalia japo tupo mbali, lkn ninyi Mmekaa tuu kwenye TV km vile malumbano ya hoja.Tunataka kuona live

