Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,509
- 94,639
Yaani mtu mzima na akili zako unalilia kuoneshwa maiti ya mtu mwingine usiye na uhusiano naye...dah! Aliyeturoga ana roho mbaya kshenz. Kafanye kazi fala wewe



Yaani mtu mzima na akili zako unalilia kuoneshwa maiti ya mtu mwingine usiye na uhusiano naye...dah! Aliyeturoga ana roho mbaya kshenz. Kafanye kazi fala wewe



Wajinga kweli nipo naangalia livestreming naonanwanazungumza tu studio hawaonyeshi airport. Nimeacha kuangalia
Ushawasili sema saa hivi hapa nilipo tanesco wamekata umeme manina zaoKwani mwili umeshawasili? Walisoma ni leo Jumatatu ila sijaona maandalizi watanzania viungo vya DSM kumpokea
Yaan hii picha na coment yako nimesisimka wallahi!View attachment 1089663 Unataka Itv waonyeshe jinsi boss wao alivyohuzunisha? Aisee mtu alitokea VIP leo anarudi cargo tena kwa fork mpweke hana ulinzi....Dah! Kweli kifo hakina huruma!
Wanaonyesha live muda huu sa hivi ndo wanafanya maombi namuona jack hapa kafumba macho kiwizi wizi nadhani ana wasiwasi kama kuna mtu anamzaba kofi







Leo ITV mmetuboa watazamaji wenu, tulikuwa tunategemea mtatulushia Mubashara toka mwili unavyoshushwa na yanayojili mitaani Kama ilivyokuwa wakati wa Ruge lkn sivyo, Tambueni huyu ni mtu Mkubwa na watu wengi tunataka kuangalia japo tupo mbali, lkn ninyi Mmekaa tuu kwenye TV km vile malumbano ya hoja.Tunataka kuona live
Ukisema cargo ni mzigo. Huu ni udhalilishaji kwa mchukua picha na kwa yeyote aliyeibandika popote, hata hapa.View attachment 1089663 Unataka Itv waonyeshe jinsi boss wao alivyohuzunisha? Aisee mtu alitokea VIP leo anarudi cargo tena kwa fork mpweke hana ulinzi....Dah! Kweli kifo hakina huruma!
Hujui ulisemalo ndugu, mwanzoni haikuwa hivi Punguza Hasira zakoUNAONGEA UTUMBO USIOKUWA NA KICHWA WALA MIGUU.
NINI KINAONYESHWA SAA HIZI??
MEDIA ZA EATV, ITV CAPITAL, RADIO ONE, CAPITAL RADIO, CLOUDS TV ZOTE ZINAONYESHA LIVE
ACHA KUKURUPUKA KUANDIAKA UPUPU
Sisemi juu ya uwepo wa TV, nashangazwa na kiu yako ya kuona kuwa utaugua usipoona mwili wa marehemu. Kafanye kazi, acha kuhusudu wafu.Kama jina lako lilivyo na ndio akili yako na mawazo yako yalivyo! Yaani huwezi kujua Kuwa ofisi nyingi siku hizi kuna TV? So Unafanya kazi Huku unaangalia TV? Pole Sana hujui ulisemalo.
Duh huyo dereva wa hicho kigari kama anapiga saluti hivi!!!View attachment 1089663 Unataka Itv waonyeshe jinsi boss wao alivyohuzunisha? Aisee mtu alitokea VIP leo anarudi cargo tena kwa fork mpweke hana ulinzi....Dah! Kweli kifo hakina huruma!
Kaka acha kaka!! maisha haya ni ya kuyaangalia tu yaende. Mengi leo amerudi kwa stamp ya cargo!!!! Lakini tuna viongozi wengi sasa hivi TZ huwa hawawazi kama kuna hatua hii....View attachment 1089663 Unataka Itv waonyeshe jinsi boss wao alivyohuzunisha? Aisee mtu alitokea VIP leo anarudi cargo tena kwa fork mpweke hana ulinzi....Dah! Kweli kifo hakina huruma!
Inahuzunisha sana Mzee yupo ndani ametulia tulii anapitishwa kama mzigo. Mungu hapa kwenye kifo alituweza sana. Daaah.. Lakini bado tutasahau tu na kuyatukuza maisha ya dunianiView attachment 1089663 Unataka Itv waonyeshe jinsi boss wao alivyohuzunisha? Aisee mtu alitokea VIP leo anarudi cargo tena kwa fork mpweke hana ulinzi....Dah! Kweli kifo hakina huruma!
Mkuu punguza jazba angalia uzi umewekwa saa ngapi na wameanza kuonyesha saa ngapiUNAONGEA UTUMBO USIOKUWA NA KICHWA WALA MIGUU.
NINI KINAONYESHWA SAA HIZI??
MEDIA ZA EATV, ITV CAPITAL, RADIO ONE, CAPITAL RADIO, CLOUDS TV ZOTE ZINAONYESHA LIVE
ACHA KUKURUPUKA KUANDIAKA UPUPU
Tupo mitaa ya Kinodoni Studio.Mamilioni ya watanzani wakiwamo CCM na CHADEMA wamejitokeza kumpokea.Watu ni wengi sana na mvua ni kali sana.Leo ITV mmetuboa watazamaji wenu, tulikuwa tunategemea mtatulushia Mubashara toka mwili unavyoshushwa na yanayojili mitaani Kama ilivyokuwa wakati wa Ruge lkn sivyo, Tambueni huyu ni mtu Mkubwa na watu wengi tunataka kuangalia japo tupo mbali, lkn ninyi Mmekaa tuu kwenye TV km vile malumbano ya hoja.Tunataka kuona live