ITV mnatia shaka na aibu kwa hili!

Kumbe ile sio habari

Ndo hapo na mimi nashangaa. Tatizo mleta mada alitaka ITV ipendelee Ukawa japo anashindwa kuwa muwazi. Mimi siyo mwanachama wa chama chochote na sitokuwa ila huipenda ITV kwa kuwa siku zote hubalance habari bila upendeleo. Hili liko wazi, ukibisha basi itakuwa ubishi fani yako. Ukiona habari ya chama fulani haijarushwa, basi nadhani itakuwa either kuna technical problem au chama hakikuleta habari zake zirushwe cku hiyo
 
Jaman mbona tuna ushabiki mbaya hivi. ITV sio ya chama chochote cha siasa na msikariri kwamba lazima waoneshe taarifa ya chama chenu. Hiki ni chombo cha habari siku zote kinatangaza habari zinazoletwa na waandishi wa mikoani ambazo zimeshahaririwa na ambayo bado haitangazwi sasa usilazimishe taarifa ya chama chako itangazwe inawezekana haijaletwa. Jaman humi ndani ni sehemu maalumu kwa wale watu wanaoitwa Great Thinkers sasa tunapojadili jambo tuoneshe ukomavu wetu katika kuchanganua mambo.

Mimi ni mtanzania kama wewe, tunaielewa nchi yetu na mizengwe yake kwa hiyo usidhani nimekurupuka,ebu nitajie ulinganifu wa habari unaofanywa na chombo chetu cha walipa kodi TBC?
Si uliona walivyomfurusha Tido mhando?

Kisa? Karuhusu ccm kuumbuliwa!

Sasa u-great thinkers ni kutetea mbinu chafu? Acha hizo mkuu:thumbdown::thumbdown:
 
Tatizo ni pale Mwigulu anaposema eti waliohusika na wizi wa fedha za ESCROW watashughulikiwa kulingana na ukubwa wa kosa lake na eti anashangaa kwa wapinzani kuwataka wananchi wasiwachague wenyeviti kutoka CCM kwa sababu ya ESCROW kwani hao wagombea wanahusika vipi na ESCROW? kauli hiyo imenisikitisha sana hata kama ni kujitetea huo ni upumbavu kwani wizi umefanywa na viongozi wa CCM akiwemo na yule mkubwa wao na wahusika wengine na watumishi ndani ya serikali ya CCM nafikiri Mwigulu amesahau ule msemo wa wahenga kuwa SAMAKI MMOJA AKIOZA UOZA WOTE
Mwigulu ndiye aliidhinisha malipo ya Escrow anajua kila kitu na pesa kapata Mgao lakini ameamua kuwa Mnafki na kuwahadaa watu, lakini wajanja wanajua mwigulu anazuga tu, mchezo wote anaujua.
 
Hebu muwe na hoja za 2015-2020 vision na sio kuitegemea hoja ya escrow kama mtaji wa chadema wakati kamati ya PAC ilisheheni wana ccm mahiri kama Filikunjombe,kigwangala,Lugora ambao ndio wamewabana walaji wale na CAG aliteuliwa na serikali ya ccm ambaye kaibua madudu haya sasa chadema mna sera gani mkiacha kudandia hoja ya escrow kama mtaji!?

Hii escrow ndio habari ya mujini..na sio ya ccm,Bali ni hoja ya ukawa, wale ma ccm uliowataja ni wanatetea jahazi lao la ubunge maana wameona meli yao kuu ccm inazama hivyo wameruka na life jackets za ukawa na boti ya escrow:sly:
 
kesho 2ngi ikisha kichwan xoma hapa we unakulupuka tu kuleta topc kichwan ukiwa na umevulugwa na milungi ya sekenke we umekalili kwamb kila cku kukiwa na mikutano ya sisiem bas na ya xhadema ipo kaa ufikilie vzr ndo ulete hoja hapa, itv ndo tv pendwa haifich k2 kama hujui pale walikua wanaonyesha kwa MWENYE MASIKIO NA AFAHAMU we kama ulikalili utajijua me mpaka sahv nimeshajua chama gan kitaisubili kura yangu na hakitaipata hata kwa miziz kwa 7bu ya hao hao itv ,,,,,clap to sam mahela, john chacha, mabele makubi, num4salim na wengine wote endelen hvo hvo
 
Ndo hapo na mimi nashangaa. Tatizo mleta mada alitaka ITV ipendelee Ukawa japo anashindwa kuwa muwazi. Mimi siyo mwanachama wa chama chochote na sitokuwa ila huipenda ITV kwa kuwa siku zote hubalance habari bila upendeleo. Hili liko wazi, ukibisha basi itakuwa ubishi fani yako. Ukiona habari ya chama fulani haijarushwa, basi nadhani itakuwa either kuna technical problem au chama hakikuleta habari zake zirushwe cku hiyo

Habari ikiwa ya Mengi mwenyewe hupewa Dakika nyingi hata kama anafungua nyumba yake binafsi, pia habari ikiwa ni Mtu ambaye Mengi anamkubali pia hupewa nafasi kubwa pasipo kujali chama chama ingawa wakiingea Wachaga kama mbowe, mbatia nk hupewa nafasi zaidi. Mfano sasa hivi Prof Mhongo hata awe na Habari gani hawezi kupewa nafasi ITV 'Lakini Mnyika akienda na Habari yeyote anapewa nafasi hapo hapo.
 
Ndo hapo na mimi nashangaa. Tatizo mleta mada alitaka ITV ipendelee Ukawa japo anashindwa kuwa muwazi. Mimi siyo mwanachama wa chama chochote na sitokuwa ila huipenda ITV kwa kuwa siku zote hubalance habari bila upendeleo. Hili liko wazi, ukibisha basi itakuwa ubishi fani yako. Ukiona habari ya chama fulani haijarushwa, basi nadhani itakuwa either kuna technical problem au chama hakikuleta habari zake zirushwe cku hiyo

Habari ikiwa ya Mengi mwenyewe hupewa Dakika nyingi hata kama anafungua nyumba yake binafsi, pia habari ikiwa ni Mtu ambaye Mengi anamkubali pia hupewa nafasi kubwa pasipo kujali chama chama ingawa wakiingea Wachaga kama mbowe, mbatia nk hupewa nafasi zaidi. Mfano sasa hivi Prof Mhongo hata awe na Habari gani hawezi kupewa nafasi ITV 'Lakini Mnyika akienda na Habari yeyote anapewa nafasi hapo hapo.
 
Huko ndio kutapatapa kwenyewe,maana ameongea kama yuko bungeni kwa kurudia kwamba ni mahesabu ndio yalikosewa...hii ikimaaanisha ni kosa tu law Yule afisa wa tra.
Huu mkakati tayari ni kuishiwa hoja na Sasa ni mapingamizi na kununua wagombea wenye njaa
 
Katika hili la uchaguzi wa serikali za mitaa habari haziko balanced zinapendelea upande mmoja.I TV mnafanya makusudi au ndio masharti ya DSTV
 
Habari za Mengi Mwenyewe hupewa Nafasi kubwa sana hata kama anachokizungumzia ni cha kawaida sana,Mbona wamiliki wengine wa Tv na Radio huwa hawajipi nafasi kubwa iwe Tv zao?
 
Hilo pia lawezekana lakini hiki ni kipindi muhimu sana, ile tu kuanza na habari ya kwanza leo ikawa ya kisiasa,tayari utaona kulikuwa na maelekezo maalum.
Pia leo ni siku ya kazi kuna mengi yalipaswa kutangulia kama habari kabla ya Siasa.issue hapa technically kuifanya chadema isahau majimbo mengine na warudi kuisimamia ngome yao.

Mbona kule rorya hawaripoti habari ya mbunge wa ccm kuwatukana wapiga kura na kusababisha chadema kuliteka jimbo zima?
 
Kimsingi kuna habari ya michezo inamsema bondia afulani alakiwa mkoani Kagera ila mwisho wa yote hiyo habari wala haikuoneshwa ..hii si mara ya kwanza habari kutoka mkoa huo kuwa kwenye headlines alafu mwisho habari inafyekwa na inaleta maswali kidogo,hatuelewi sana sera za wamiliki lakini kama yeye hapendezwi na kituo chake kuonesha habari za mikoa fulani na mfano halisi ni mkoa wa Kagera basi msiwe mnaziweka kwenye headlines ili itusaidie ..acheni ubaguzi,hata habari mnaona nayo ni tatizo kweli? eti Mengi,hutaki hizo habari?
 
kesho 2ngi ikisha kichwan xoma hapa we unakulupuka tu kuleta topc kichwan ukiwa na umevulugwa na milungi ya sekenke we umekalili kwamb kila cku kukiwa na mikutano ya sisiem bas na ya xhadema ipo kaa ufikilie vzr ndo ulete hoja hapa, itv ndo tv pendwa haifich k2 kama hujui pale walikua wanaonyesha kwa MWENYE MASIKIO NA AFAHAMU we kama ulikalili utajijua me mpaka sahv nimeshajua chama gan kitaisubili kura yangu na hakitaipata hata kwa miziz kwa 7bu ya hao hao itv ,,,,,clap to sam mahela, john chacha, mabele makubi, num4salim na wengine wote endelen hvo hvo

Kumbe uko kiroba Poa mkuu
 
Habari ikiwa ya Mengi mwenyewe hupewa Dakika nyingi hata kama anafungua nyumba yake binafsi, pia habari ikiwa ni Mtu ambaye Mengi anamkubali pia hupewa nafasi kubwa pasipo kujali chama chama ingawa wakiingea Wachaga kama mbowe, mbatia nk hupewa nafasi zaidi. Mfano sasa hivi Prof Mhongo hata awe na Habari gani hawezi kupewa nafasi ITV 'Lakini Mnyika akienda na Habari yeyote anapewa nafasi hapo hapo.

Wakati mwingine ni kweli si unajua tena mwenye chake muungwana! na charity begins at home
 
Back
Top Bottom