Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 479
- 1,253
Wachangiaji malumbano ya hoja kuhusu sakata la sukari ITV ni Moto, wachangiaji wamejitoa mhanga kuchangia , kuna magiant 4 wanaoshikilia uchumi wa sukari na ni matajiri kama wauza unga
Wachangiaji wanashtumu kauli ya Bashe kuhusu sakata la sukari kwa kutoa lugha ya kejeli kwa wananchi kwamba hawawezi kumhoji isipokuwa Rais, Makamo wa Rais, Waziri mkuu na naibu Waziri mkuu
Mchangiaii mwingine anatoa tahadhari kwa jinsi sukari ilivyo hali itakuwa tete kipindi cha kwaresma na Ramadhani na anaongezea kuwa shida ya sukari ni Bodi ya sukari
Wachangiaji wanaona hata teuzi mbalimbali zinasababisha hali kuwa mbaya kwa sababu watu wanateuliwa kwa kufahamiana
Mchangiaji anakiri hata mwananchi wa kawaida akipewa bilioni 20 kuleta sukari nchini, hawezi akaingiza kwa sababu figisu zitaanzia bandarini na TRA
Wachangiaji wanaonesha maeneo mbalimbali bei ya sukari ni kuanzia elfu 5 na kuendelea na wiki ijayo itakuwa imefikia elfu 10 kwa kilo
Wachangiaji wanashtumu kauli ya Bashe kuhusu sakata la sukari kwa kutoa lugha ya kejeli kwa wananchi kwamba hawawezi kumhoji isipokuwa Rais, Makamo wa Rais, Waziri mkuu na naibu Waziri mkuu
Mchangiaii mwingine anatoa tahadhari kwa jinsi sukari ilivyo hali itakuwa tete kipindi cha kwaresma na Ramadhani na anaongezea kuwa shida ya sukari ni Bodi ya sukari
Wachangiaji wanaona hata teuzi mbalimbali zinasababisha hali kuwa mbaya kwa sababu watu wanateuliwa kwa kufahamiana
Mchangiaji anakiri hata mwananchi wa kawaida akipewa bilioni 20 kuleta sukari nchini, hawezi akaingiza kwa sababu figisu zitaanzia bandarini na TRA
Wachangiaji wanaonesha maeneo mbalimbali bei ya sukari ni kuanzia elfu 5 na kuendelea na wiki ijayo itakuwa imefikia elfu 10 kwa kilo