Ujumbe kwa Joyce Mhavile: Waandishi wako hawajui tofauti ya Mahatma Gandhi na Indira Gandhi - pathetic!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,330
24,213
Katika taarifa ya habari saa saba mchana huu, msoma taarifa ya habari (dada) alisema Tanzania ina nia ya kuendeleza uhusiano kati ya Tanzania na India ulioanzishwa na Baba wa Taifa na waziri Mkuu wa India Mahatma Gandhi! Hili lilirudiwa mara mbili.

Kwa kushangaa nikijua kuwa Mahatma Gandhi alikuwa mmoja wa waanzilishi wa Taifa la India (akishirikiana na kina Jawaharlal Nehru), Mahatma alifariki kitambo, 1948, na hakuwahi kuonana na Mwalimu.

Nikachoka, nikajua ITV/Radio One wameajiri mazuzu!

Joyce Mhavile, ajirini basi vijana waliopasi na wana uelewa wa kihistoria na mambo ya dunia.
 
Ni wajinga, wengi wanafikiri Indira Gandhi ana undugu na Mahatma Gandhi. Na pia waziri mkuu wa kwanza wa India ni Jawarhal Nehru ambaye ndo baba wa Indira. Indira ni waziri mkuu wa tatu wa taifa la India. Siamini kwamba tulianzisha uhusiano na India wakati yeye akiwa waziri mkuu. Lazima either tulianza kwa Nehru au Kwa Lal Bahadur.
 
Ni wajinga, wengi wanafikiri Indira Gandhi ana undugu na Mahatma Gandhi. Na pia waziri mkuu wa kwanza wa India ni Jawarhal Nehru ambaye ndo baba wa Indira. Indira ni waziri mkuu wa tatu wa taifa la India. Siamini kwamba tulianzisha uhusiano na India wakati yeye akiwa waziri mkuu. Lazima either tulianza kwa Nehru au Kwa Lal Bahadur.
ITV/Radio One, ati ni Super Brand, my foot!
 
Mhimili wa DOAL wa TAIFA HILI unadhalilishwaje kiasi hiki? Ni ulevi gani huu? Gomba, bangi, unga gani huu au chumvi gani ile? Simpo sana mbona? High heels, stills au tofauti na hapo haziendi na umbo tunaloliona. Sasa hao watu wetu wa protokali vepee? Ukuanzia hapo unapata taswira halisi from basics. Tumefikaje hapa! Wahini kila pahala? Hapana. Intelligence coup? Yes pathetic to the core.
 
Ulimwengu wa sasa huwezi kulaumu shule za kata.
Ulimwengu uko KIGANJANI si kabla ya kusoma anaweza kutafuta taarifa sahihi mtandaoni?
Shule za kata si ndio msingi wa kujua kua unaweza pata hio habari kiganjani?? kama hulijui hilo utaanzaje kuingia kwenye simu ya kiganjani kutafuta habari.

Let me tell you, mtoto wa primary school US ana uelewa mkubwa kuliko form 4 wa bongo kwa sababu msingi wake wa elimu ni mzuri. Bongo kuna wajinga wengi sana ndio maana mijitu inapandishiwa bei kila kitu imelala tu, inawaza ngono na football 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom