Sophist
Platinum Member
- Mar 26, 2009
- 4,486
- 3,411
time for 'njaa politics' is over. there was no news.Sio hiyo tu! Hata lile tamko la Jaji Warioba kuwa nchini kuna njaa kwenye taarifa yao ya habari wameikata! ITV you can run but you can not hide!
time for 'njaa politics' is over. there was no news.Sio hiyo tu! Hata lile tamko la Jaji Warioba kuwa nchini kuna njaa kwenye taarifa yao ya habari wameikata! ITV you can run but you can not hide!
Anzisheni TV CHADEMAWalianza tangu juz kweny msiba wa mam ake jk, mtangazaji aliwataja viongoz wote walo udhuria excpet MBOWE! shame on them
Roho mbaya hiiAcha hisia za kitoto! Kwani habari hiyo ilikuwa na maslahi gani kwa taifa?
Kwani habari ya msiba ilikuwa na maslahi gani kwa taifaAcha hisia za kitoto! Kwani habari hiyo ilikuwa na maslahi gani kwa taifa?
Kweli mlogolaje,kama walishindwa kuihoji NECTA kuhusu vyeti kama mali yao,kama walishwindwa kumhoji BASHITE kuhusu fa fa fa kama anaijua????? Hovyo sana hawaWakuu ukweli ni kwamba kwa Tanzania ya sasa vyombo vya habari vipo ovyo sana na ni bora mitandao ya kijamii kuliko ivi ooh bora jf na mange
Kwani Lema Criminal ndio nani???.
Mkutano wa Mbunge wa Arusha mjini Mhe. Godbless Lema (Mb) ambaye pia ni Waziri kivuli wa mambo ya ndani, habari yake sio tu kwamba haijapewa kipaumbele, Bali haijaoneshwa kabisa katika kituo cha televisheni cha ITV.Kuna taarifa kwamba kituo hicho na vingine vilionywa kutorusha taarifa hiyo.
Kituo cha televisheni cha ITV kimeonesha mapungufu makubwa mno kupata kutokea nchini Kwa Kutokuonesha habari ya Waziri Kivuli wa Mambo ya ndani, ambaye alikuwa Magereza Kwa zaidi ya miezi minne kwasababu ya kesi za kisiasa.
ITV mmeitia doa tasnia ya habari, mmeonesha mapungufu makubwa katika kuiishi demokrasia ambayo watanzania wanaipigania, na mmesahau kwamba vyombo vya habari ni wadau wakubwa wa demokrasia kwani bila demokrasia hata uwepo wenu kama wanahabari utakuwa mashakani.
Watanzania hawajawahi kukata tamaa, jua liwake, mvua inyeshe, mabadiliko ya kisiasa tutayafikia lazima, ambayo ndiyo msingi wa maendeleo yote.
Muwe mnaacha kuwa misukule, kwani Lema kitu gani?? Tuna mambo ya msingi hatuwezi kusikiliza habari za muhalifu mmoja hivi!Wanamuogopa sizonje, kadikteta ketu
Anzisheni tv yenuHuko tuendako watu watutumia zaidi mitandao ya kijamii kupashana habari kuliko vyombo hivi vya habari ambavyo vinaonekana kutokizi malengo.
Media hizi zitaathirika kama jinsi mashirika ya Posta dunani yalivyoathiriwa na ujio wa simu za mikononi kiasi kwamba utumaji wa barua siku hizi umepungua sana na wamebakiwa na kazi ya kushughulikia barua za kikazi tu(za maofisi,n.k) .
Huko tuendako watu watatumia zaidi clip za mitandaoni na maandishi kupitia mitandao kupashana habari kama ilivyo sasa.
Itv kwa kuwa ni ya mchaga mlidhani ataiendesha kikabila!!? Nyumbu bana!Sio hiyo tu! Hata lile tamko la Jaji Warioba kuwa nchini kuna njaa kwenye taarifa yao ya habari wameikata! ITV you can run but you can not hide!
Ya kwako inaitwajeAnzisheni tv yenu