Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,848
ITV ya hovyo sana siku hizi
Dah! Kumbe Mboye alikwenda msibani kwa ajili ya kupata selfie na JK ili arushwe na ITV, Akili zenu kama kinyesiWalianza tangu juz kweny msiba wa mam ake jk, mtangazaji aliwataja viongoz wote walo udhuria excpet MBOWE! shame on them
Ulishatumika sasa hivi umejaa yale maujiuji meupe!! tokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!Ukiwa mfuasi wa chadema akili zako zinakuwa sawa na za ng'ombe tu.
Katumika mama yakoUlishatumika sasa hivi umejaa yale maujiuji meupe!! tokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!
umetumika wewe nina hakika huna mama Nyambafu!! mtoka pabayaKatumika mama yako
Naanza kupunguza gharama za kulipia king'amuziHuko tuendako watu watutumia zaidi mitandao ya kijamii kupashana habari kuliko vyombo hivi vya habari ambavyo vinaonekana kutokizi malengo.
Media hizi zitaathirika kama jinsi mashirika ya Posta dunani yalivyoathiriwa na ujio wa simu za mikononi kiasi kwamba utumaji wa barua siku hizi umepungua sana na wamebakiwa na kazi ya kushughulikia barua za kikazi tu(za maofisi,n.k) .
Huko tuendako watu watatumia zaidi clip za mitandaoni na maandishi kupitia mitandao kupashana habari kama ilivyo sasa.
ungeangalia AZAM TWO taarifa ilirushwa tena kwa kina kabisaa.
Mkutano wa Mbunge wa Arusha mjini Mhe. Godbless Lema (Mb) ambaye pia ni Waziri kivuli wa mambo ya ndani, habari yake sio tu kwamba haijapewa kipaumbele, Bali haijaoneshwa kabisa katika kituo cha televisheni cha ITV.Kuna taarifa kwamba kituo hicho na vingine vilionywa kutorusha taarifa hiyo.
Kituo cha televisheni cha ITV kimeonesha mapungufu makubwa mno kupata kutokea nchini Kwa Kutokuonesha habari ya Waziri Kivuli wa Mambo ya ndani, ambaye alikuwa Magereza Kwa zaidi ya miezi minne kwasababu ya kesi za kisiasa.
ITV mmeitia doa tasnia ya habari, mmeonesha mapungufu makubwa katika kuiishi demokrasia ambayo watanzania wanaipigania, na mmesahau kwamba vyombo vya habari ni wadau wakubwa wa demokrasia kwani bila demokrasia hata uwepo wenu kama wanahabari utakuwa mashakani.
Watanzania hawajawahi kukata tamaa, jua liwake, mvua inyeshe, mabadiliko ya kisiasa tutayafikia lazima, ambayo ndiyo msingi wa maendeleo yote.
Wewe Salary Slip acha UKI.LA.ZA! Kutokizi ndo nini? Ni kutokidhi! CHADEMA kuna Vi.la.za sana,kuanzia Meya wao wa Ubungo BONIFACE JACOB! Utawajua tu wakiongea BIZAA,NIZAMU,ARIZI,TASIMINI,mlisoma shule zipi nyie VI.LA.ZA.?Huko tuendako watu watutumia zaidi mitandao ya kijamii kupashana habari kuliko vyombo hivi vya habari ambavyo vinaonekana kutokizi malengo.
Media hizi zitaathirika kama jinsi mashirika ya Posta dunani yalivyoathiriwa na ujio wa simu za mikononi kiasi kwamba utumaji wa barua siku hizi umepungua sana na wamebakiwa na kazi ya kushughulikia barua za kikazi tu(za maofisi,n.k) .
Huko tuendako watu watatumia zaidi clip za mitandaoni na maandishi kupitia mitandao kupashana habari kama ilivyo sasa.
Unafahamu matumizi sahihi ya alama za kiuandishi?.Unafahamu ni wapi nukta,koma,ulizo nk zitumike na wapi zisitumike?.Unafahamu matumizi sahihi ya herufi kubwa na herufi ndogo?.Wewe Salary Slip acha UKI.LA.ZA! Kutokizi ndo nini? Ni kutokidhi! CHADEMA kuna Vi.la.za sana,kuanzia Meya wao wa Ubungo BONIFACE JACOB! Utawajua tu wakiongea BIZAA,NIZAMU,ARIZI,TASIMINI,mlisoma shule zipi nyie VI.LA.ZA.?
Ukawa=UKAWA.Ukawa, acheni upuuzi, anzisheni TV na Radio zenu, kwani RUZUKU MNAPELEKA WAPI? kila siku mnachota ruzuku kwa ajiri ya kesi za kijinga
Hata wakina sepenga walisemaga hayohayo wakiwa lumumba, pamoja na kunywa Maji ya bendera, hivi sasa wako cdm kwenye Mikono salama.Ukawa, acheni upuuzi, anzisheni TV na Radio zenu, kwani RUZUKU MNAPELEKA WAPI? kila siku mnachota ruzuku kwa ajiri ya kesi za kijinga
Hata wakina sepenga walisemaga hayohayo wakiwa lumumba, pamoja na kunywa Maji ya bendera, hivi sasa wako cdm kwenye Mikono salama.Ukawa, acheni upuuzi, anzisheni TV na Radio zenu, kwani RUZUKU MNAPELEKA WAPI? kila siku mnachota ruzuku kwa ajiri ya kesi za kijinga