fokonola bokoyoka
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 966
- 638
Mbona siku nyingi tu hawarushi, nilisha acha kuangalia hizo taarifa za saa mbili
Habari zinatayarishwa kwa gharama kubwa. Tatizo lenu CDM ni kutaka mbebwe bure. Pay for the news and ITV will run them. Mnafikiri kukusanya habari hakuna gharama! Lipieni muone kama hazitoki. Mmmzoea vya bure.Wanabodi habari ya majukumu?
Nipo naangalia taarifa ya habari ya ITV naona leo hakuna taarifa ya mikutano ya Lissu. Je, leo Mh Lissu hakufanya mikutano?
ITV ni vizuri muwe mnatupa taarifa mapema siku ambazo hakuna taarifa za Lissu tusiwetunapoteza muda, angalau tuwe tunafanya mambo mengine.
Habari inalipiwa!!??Habari zinatayarishwa kwa gharama kubwa. Tatizo lenu CDM ni kutaka mbebwe bure. Pay for the news and ITV will run them. Mnafikiri kukusanya habari hakuna gharama! Lipieni muone kama hazitoki. Mmmzoea vya bure.
Ukweli ni MATUSI?Utaripoti Matusi Watz Tunataka Amani jmn
Anamtukanaje?Lissu muda mwingi anautumia kumtukana Rais.
Ndio maana vyombo vya habari vinashindwa kutangaza matusi.
Wanatekeleza maelekezo, taarifa kubwa zilikuwa zinahusu CCM na walizigawa vipsndevipande kwa mtindo wa simulizi ndani ya taarifa ya habari! Habari simulizi zilihusu wagombea wa CCM bara na visiwani.Wanabodi habari ya majukumu?
Nipo naangalia taarifa ya habari ya ITV naona leo hakuna taarifa ya mikutano ya Lissu. Je, leo Mh Lissu hakufanya mikutano?
ITV ni vizuri muwe mnatupa taarifa mapema siku ambazo hakuna taarifa za Lissu tusiwetunapoteza muda, angalau tuwe tunafanya mambo mengine.
Yuko mkoa wa Ruvuma, na helkopta yake, mtu kibao! Ila mwaka huu kazi ipo!Wanabodi habari ya majukumu?
Nipo naangalia taarifa ya habari ya ITV naona leo hakuna taarifa ya mikutano ya Lissu. Je, leo Mh Lissu hakufanya mikutano?
ITV ni vizuri muwe mnatupa taarifa mapema siku ambazo hakuna taarifa za Lissu tusiwetunapoteza muda, angalau tuwe tunafanya mambo mengine.
Sizani kama lissu kamfikia mrema kuiponda serikali kama alivyofanya kipindi anagombea uraisiLissu muda mwingi anautumia kumtukana Rais.
Ndio maana vyombo vya habari vinashindwa kutangaza matusi.
Achana nao. Wanaunga juhudi hao kwa kutishwa. Sisi tunaendelea kupata taarifa za Lissu kupitia njia mbadala. Leo alikuwa Songea na amepokelewa kishujaa.Wanabodi habari ya majukumu?
Nipo naangalia taarifa ya habari ya ITV naona leo hakuna taarifa ya mikutano ya Lissu. Je, leo Mh Lissu hakufanya mikutano?
ITV ni vizuri muwe mnatupa taarifa mapema siku ambazo hakuna taarifa za Lissu tusiwetunapoteza muda, angalau tuwe tunafanya mambo mengine.
Malalamiko FCKituo cha ITV nini kimetokea leo ni siku ya tatu mfululizo kwenye taarifa yenu ya habari ya saa 2 usiku hamtangazi habari kuhusu mikutano ya kampeni ya mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo mhe. Tundu Antiphas Lissu.
Mara ya mwisho kurusha habari za kampeni za mgombea huyu ilikuwa ni mikutano yake aliyofanya mkoani Tanga kabla hajakwenda kisiwani Pemba.
Ila ITV mmekuwa mkiendelea kurusha habari za mikutano ya kampeni ya wagombea wengine wote isipokuwa mgombea huyu kupitia chadema. Nini kimetokea ITV?
Naomba kuwasilisha.
Umelipia airtime?Wanabodi habari ya majukumu?
Nipo naangalia taarifa ya habari ya ITV naona leo hakuna taarifa ya mikutano ya Lissu. Je, leo Mh Lissu hakufanya mikutano?
ITV ni vizuri muwe mnatupa taarifa mapema siku ambazo hakuna taarifa za Lissu tusiwetunapoteza muda, angalau tuwe tunafanya mambo mengine.
Anamtukana Rais au mgombea wa ccm?Lissu muda mwingi anautumia kumtukana Rais.
Ndio maana vyombo vya habari vinashindwa kutangaza matusi.
Hivi clouds walishaachaga au??Wanabodi habari ya majukumu?
Nipo naangalia taarifa ya habari ya ITV naona leo hakuna taarifa ya mikutano ya Lissu. Je, leo Mh Lissu hakufanya mikutano?
ITV ni vizuri muwe mnatupa taarifa mapema siku ambazo hakuna taarifa za Lissu tusiwetunapoteza muda, angalau tuwe tunafanya mambo mengine.