Uchaguzi 2020 ITV leo hakuna taarifa ya mikutano ya Lissu?

Wanabodi habari ya majukumu?

Nipo naangalia taarifa ya habari ya ITV naona leo hakuna taarifa ya mikutano ya Lissu. Je, leo Mh Lissu hakufanya mikutano?

ITV ni vizuri muwe mnatupa taarifa mapema siku ambazo hakuna taarifa za Lissu tusiwetunapoteza muda, angalau tuwe tunafanya mambo mengine.
Habari zinatayarishwa kwa gharama kubwa. Tatizo lenu CDM ni kutaka mbebwe bure. Pay for the news and ITV will run them. Mnafikiri kukusanya habari hakuna gharama! Lipieni muone kama hazitoki. Mmmzoea vya bure.
 
Habari zinatayarishwa kwa gharama kubwa. Tatizo lenu CDM ni kutaka mbebwe bure. Pay for the news and ITV will run them. Mnafikiri kukusanya habari hakuna gharama! Lipieni muone kama hazitoki. Mmmzoea vya bure.
Habari inalipiwa!!??
 
Nadhani tungoje tarehe 7/11 baada ya Tundu Lissu kuwa ameshaapishwa kuwa Rais wa JMT ndio tutasikia mengi na ya kutisha sana katika historia ya nchi hii.
Nategemea kusikua Truth confession statements kutoka vyombo vya habari mbalimbali na hata taasisi na idara tofauti wakieleza kwa undani maagizo ya mengi waliyokuwa wanafanya amri zilitoka kwa nani (kwa majina) na vitisho gani walikuwa wanapewa.
Hapo itakuwa ni wajibu wetu kuona, jee watoa amri hao walikuwa wanatumia vibaya ofisi za umma na kutishia watu na taasisi?
Kama ndio hawawezi kukwepa mkono wa sheria kwa MATUMIZI MABAYA YA OFISI.
 
Leo itakua katukana sana,

Hata hivyo tayari unafahamu kuwa kafanya mikutano na bado unataka kuona kwenye TV unachokifahamu, aisee.
 
Wanabodi habari ya majukumu?

Nipo naangalia taarifa ya habari ya ITV naona leo hakuna taarifa ya mikutano ya Lissu. Je, leo Mh Lissu hakufanya mikutano?

ITV ni vizuri muwe mnatupa taarifa mapema siku ambazo hakuna taarifa za Lissu tusiwetunapoteza muda, angalau tuwe tunafanya mambo mengine.
Wanatekeleza maelekezo, taarifa kubwa zilikuwa zinahusu CCM na walizigawa vipsndevipande kwa mtindo wa simulizi ndani ya taarifa ya habari! Habari simulizi zilihusu wagombea wa CCM bara na visiwani.
 
Wanabodi habari ya majukumu?

Nipo naangalia taarifa ya habari ya ITV naona leo hakuna taarifa ya mikutano ya Lissu. Je, leo Mh Lissu hakufanya mikutano?

ITV ni vizuri muwe mnatupa taarifa mapema siku ambazo hakuna taarifa za Lissu tusiwetunapoteza muda, angalau tuwe tunafanya mambo mengine.
Yuko mkoa wa Ruvuma, na helkopta yake, mtu kibao! Ila mwaka huu kazi ipo!
 
Wanabodi habari ya majukumu?

Nipo naangalia taarifa ya habari ya ITV naona leo hakuna taarifa ya mikutano ya Lissu. Je, leo Mh Lissu hakufanya mikutano?

ITV ni vizuri muwe mnatupa taarifa mapema siku ambazo hakuna taarifa za Lissu tusiwetunapoteza muda, angalau tuwe tunafanya mambo mengine.
Achana nao. Wanaunga juhudi hao kwa kutishwa. Sisi tunaendelea kupata taarifa za Lissu kupitia njia mbadala. Leo alikuwa Songea na amepokelewa kishujaa.
 
Kituo cha ITV nini kimetokea leo ni siku ya tatu mfululizo kwenye taarifa yenu ya habari ya saa 2 usiku hamtangazi habari kuhusu mikutano ya kampeni ya mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo mhe. Tundu Antiphas Lissu.

Mara ya mwisho kurusha habari za kampeni za mgombea huyu ilikuwa ni mikutano yake aliyofanya mkoani Tanga kabla hajakwenda kisiwani Pemba.

Ila ITV mmekuwa mkiendelea kurusha habari za mikutano ya kampeni ya wagombea wengine wote isipokuwa mgombea huyu kupitia chadema. Nini kimetokea ITV?

Naomba kuwasilisha.
Malalamiko FC
 
Wanabodi habari ya majukumu?

Nipo naangalia taarifa ya habari ya ITV naona leo hakuna taarifa ya mikutano ya Lissu. Je, leo Mh Lissu hakufanya mikutano?

ITV ni vizuri muwe mnatupa taarifa mapema siku ambazo hakuna taarifa za Lissu tusiwetunapoteza muda, angalau tuwe tunafanya mambo mengine.
Umelipia airtime?
 
Lisu anajua amesha shindwa uchaguzi,hasirayake ameamua atukane hovyo nami naomba kwasasa aachwe abwabwaje baada ya uchaguzi apelekwe mahakamani
 
ElGrxkDXYAE2XIk.jpeg
 
Wanabodi habari ya majukumu?

Nipo naangalia taarifa ya habari ya ITV naona leo hakuna taarifa ya mikutano ya Lissu. Je, leo Mh Lissu hakufanya mikutano?

ITV ni vizuri muwe mnatupa taarifa mapema siku ambazo hakuna taarifa za Lissu tusiwetunapoteza muda, angalau tuwe tunafanya mambo mengine.
Hivi clouds walishaachaga au??
 
Back
Top Bottom