Sasa kama mikoa mingine hawapeleki matangazo ya vifo watawalazimisha? Utamadun wa kutangaza vfo upo kanda hyo ndo mana unackia matangazo ya huko peleka lako kama halitasomwa ndo uje useme hayo hapa
Kilwa hiyo,choo cha shuleUnaelewa maana ya Habari? Kuna mikoa hakuna habari mpya labda makala maana ilishajifia mfano Lindi,
"Ndg Mushi wa kilaracha anasikitika kutangasa kifo ndg Macha wa Rombo, habari ziwafikie, Chuwa, Tarimo, Shayo, Lema, Aikaeli, Manka, Kekuu, Haika, na Mareale wote wanapatikana Kilimanjaro na Arusha" na ndg walioko Kimara bucha dsm.
ha ha ha ha umenivunja mbavu zangu aisee hii ni hatari sana
Tangu nizaliwe, sijaskia tangazo la kifo kutoka kwa mtu asiye na asili ya Moshi/Arusha/Manyara.
Without God, there is no love or hate. In fact without God, morals does not exist.Sijui kwanini tunamhusisha Mungu katika chuki na wivu wetu
ITV is not a national TV so, the owner can do whatever he wants, inter-alia, the owner is not wantonly prejudicing certain parts of Tanzania, in contrast, he is exercising his rights.Kuanzishwa kwa Azam na ufunguzi wa studio mpya itakuwa ni raha kwangu baada ya kuishia kulalama sana ITV huku wakiweka pamba masikioni, suala la kuibagua mikoa flani kwenye habari zao na kuibeba mingine kila leo halivumiliki, sielewi ni mmiliki ama ni uongozi lakini mnafanya ubaguzi wa wazi mno.
Haiwezekani habari husika mkoa Fulani haioneshwi makusudi zaidi ya Mara kadhaa wakati tayari inatokea pale chini ya kioo kwa habari ya Sikh hiyo, ni ubaguzi. Kutwa Isidingo na movie?
Angalieni wenyewe kama hamuwezi kutengeneza vipindi vya kijamii kaeni na Wafilipino wenu..
The thread is about ITV and not a political party as you construed above.Hee maajabu, kumbe hata hujui kwa nini Chadema mnamuhusisha Mungu katika kueneza chuki na machafuko? Inashangaza kuona mtu kama wewe unajiuliza swali hili badala sisi ndio tukuulize. Usishangae sana kijana, mleta mada ni miongoni mwa watu walioiga staili yenu ya kumuhusisha Mungu katika kueneza wivu, chuki, machafuko na visasi.
Unaelewa maana ya Habari? Kuna mikoa hakuna habari mpya labda makala maana ilishajifia mfano Lindi,
The thread is about ITV and not a political party as you construed above.
Ulishawahi kupeleka tangazo wakakataaSikiliza radio one matangazo ya vifo utajua radio ya wapi hiyo,
Peleka lako likikataliwa utuletee mrejesho hapa
Mleta mada mpaka sasa umejiridhisha kwamba umesukumwa na chuki.
Hivi watanzania nani aliye tuloga? Television na radio zinazoendeshwa kwa kodi yako unafurahishwa na matangazo yake? Ningekushukuru sana kama ungelalamikia vipindi vya hovyo na matangazo au habari za UPENDELEO, USIRI na UONGO WA WAZI vinavyo rushwa na vituo vinavyo tafuna kodi yako nami, badirika! Vinginevyo una chuki binafsi su maslahi ya kibiashara na ITV. Kama ulivyo ambiwa na wana jamvi wengine, Subiri katuni na nyimbo za wenyewe hao ulio wasifia.
Awa ITV habari zao nyingi ni moshi na arusha...mara wahoji wamasai mara wanazindua saccos kishimundu. Huwezi kuona Mtwara au Njombe kibwegebwege.