ngofa
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 238
- 128
Sikiliza radio one matangazo ya vifo utajua radio ya wapi hiyo,
Kwa hiyo hayo matangazo ya vifo radio ine ndio inayatafuta au wewe na shida zakibukifiwa unapeleka?
Sikiliza radio one matangazo ya vifo utajua radio ya wapi hiyo,
Ngoja ufe wewe ntapeleka tangazo.
Unataka tuhame Mara ngapi mkuu? na wewe unakaribishwa kwenye vilivyo na ubora
In contrast, consistency in the thread is logical fallacy, to witNiliyemjibu anajua why nimemjibu hivyo, so kama vitu huvielewi ni bora ukae kimya. Mie siyo mjinga hicho nikashindwa kujua hii mada siyo ya kisiasa.
Awa ITV habari zao nyingi ni moshi na arusha...mara wahoji wamasai mara wanazindua saccos kishimundu. Huwezi kuona Mtwara au Njombe kibwegebwege.
Katika hili umewasingizia.
kejeli, ubaguzi na udini ni Ujinda.
In contrast, consistency in the thread is logical fallacy, to wit
Unaelewa maana ya Habari? Kuna mikoa hakuna habari mpya labda makala maana ilishajifia mfano Lindi,
Sikiliza radio one matangazo ya vifo utajua radio ya wapi hiyo,
Mimi ni mkurya wa tarime,nyamwighura nasema hv huu ni uzi kijinga na kipumbavu kuliko yote mwaka huu wa 2015...sijui nitawezaje kumfunika huyu jamaa kwa kutoa uzi wa kijinga kuliko yy....ngoja nimtafute shyland anisaidie
Tangu nizaliwe, sijaskia tangazo la kifo kutoka kwa mtu asiye na asili ya Moshi/Arusha/Manyara.
Nimecheka sana.jibu munakash.!
sasa kama umehama kelele za nini,tulia huko uliko
Sasa wewe kama watu wa mkoa wako hawana mwamko wa kutangaza misiba redioni uliltaka ITV wafanye nini, wahonge au wawape upendeleo gani? Kumbuka matangazo yote hulipiwa sidhani kama ukileta tangazo lako la kifo litakataliwa wakati unalipia. Acha hoja za kijinga.
Sijui kwanini tunamhusisha Mungu katika chuki na wivu wetu