Kuanzishwa kwa Azam na ufunguzi wa studio mpya itakuwa ni raha kwangu baada ya kuishia kulalama sana ITV huku wakiweka pamba masikioni, suala LA kuibagua mikoa flani kwenye habari zao na kuibeba mingine kila leo halivumiliki, sielewi ni mmiliki ama ni uongozi lakini mnafanya ubaguzi wa wazi mno.
Haiwezekani habari husika mkoa Fulani haioneshwi makusudi zaidi ya Mara kadhaa wakati tayari inatokea pale chini ya kioo kwa habari ya Sikh hiyo,ni ubaguzi. Kutwa isidingo na movie? Angalieni wenyewe kama hamuwezi kutengeneza vipindi vya kijamii kaeni na wafilipino wenu
Katika vipindi vyote vinavyorusha na ITV umeona Isidingo peke yake. Kwani hakuna tv ya taifa? Mbona huangalii hiuo? Kwani hakuna Startv na Chten? Mbona huangalii hizo kama zinatangaaa mkoa wako? Una chuki binafsi na ITV. Jiulize chuki hiyo inachagizwa na nini?