ITV jamani, mmenunuliwa?

ITV jamani, mmenunuliwa?

Watch "TBC ikidanganya LIVE leo tarehe 15.08.2015" on YouTube - https://youtu.be/6YKRs2dTgZw


Mbona TBC wao hawaogopi?
Mungu wangu.Nimeangalia hiyo link ya TBC hapo looool...ina maana hata huyo mtangazaji aibu haoni?..Habari ziko waaazi na zinaoneshwa lakini yeye hazisomi ....jamani tunaelekea wapi?.....hao TCRA wako wapi?au TBC wana impunity?...yaani anasoma habari za CCM tu na mbaya zaidi anasema ndizo zilizopewa kipaumbele cha juu!!!....kwenye majira kasoma hiyo habari ya chini hapo ya CCM........kwenye Nipashe hiyo pg ya kwanza hajasoma kasoma pg2/3 afu anarudia hivohivo bila aibu kuwa ndizo habari zilizopewa kipaumbele katika hayo magazeti?!!!? TCRA mpo wapi?
 

Attachments

  • majira.jpg
    majira.jpg
    104 KB · Views: 183
  • nipashe.jpg
    nipashe.jpg
    116.1 KB · Views: 181
Makamanda watangaze wasitangaze moto hauna wa kuuzima acha uwaunguze maccm njaaa
 
Believe or not it's up to you. Habari ndio hiyo, tbc habari za upande mmoja wa pili no, tv station kibao zimeufyata
 
Ukisoma habari za Lowassa mwanzoni, watazamaji wanaondoka bila kusikiliza habari nyingine. Zinawekwa mwisho ili watu wasikilize mpaka mwisho.
 
Tulio Humu Ndani ni Wachache Sana Ukilinganisha na Waliovijijini... Tusipige KeleLe Humu tu Tukajiona ni Washindi ni lazima Tuwafikie Wale Wasio na Simu, tv wala Redioni Ili Watambue Mapambano Yetu... Bila Hivyo ni Sawa na Moto Wa Mabua Kama Alivyosema Mkulu
 
Nashangaa...hata chanel ten hawajatangaza kabisa...

Labda tunaangalia tofauti. Channel zote mnazozitaja zimeonyesha matukio ya UKAWA katika taarifa za habari zao. Taarifa kuwa mwanzo au mwisho nadhani ni mkakati wa mhariri. Ikiwa mwanzo watazamaji wanaweza wasiendelee kuangalia habari zinazofuatia na kama ikiwekwa mwisho inamvuta mtazamaji asubiri na hivyo kubakia na kutazama hata matangazo ya biashara ambayo ndiyo yanalipia gharama zao
 
Wakiweka taarifa za UKAWA zisomwe mwanzo mi mwenyewe nikishaziona siendelei tena kuangalia taarifa zinazoendelea,naondoka,so naona ITV wapo sawa kuweka ya mwisho
 
Tulio Humu Ndani ni Wachache Sana Ukilinganisha na Waliovijijini... Tusipige KeleLe Humu tu Tukajiona ni Washindi ni lazima Tuwafikie Wale Wasio na Simu, tv wala Redioni Ili Watambue Mapambano Yetu... Bila Hivyo ni Sawa na Moto Wa Mabua Kama Alivyosema Mkulu

Hili nalo neno
Twende vijijini
 
Mtaisoma namba , nyie msioijua CCM.
Na hizo ni rasha rasha tu, juzi ITV sembuse waingie mtego mnaouuwekea na wakaomba radhi chap chap baada ya kujua wanakosa weledi kwa kushabikia siasa za UKAWA.

UKiwa fair hata gazeti la UHURU lilitakiwa kupewa KONZI.......
 
Mi nahisi washanyamazishwa, leo naona hata kwenye headlines hakuna habari za lowasa mwanza,mengi kagombana na lowasaa??
 
Kimsingi itv kwa sasa wanachagua habari za kusoma na kutangaza ba wanakwepa habari za ukawa na chadema juu mikutano ya utambulisha wa mtia nia wa uraisi Ukawa

VIONGOZI WA ITV TNASHUKURU KWA USALITI WENU.
Aksanteni sana
 
Hizi defence mechanism za kitoto sana.. Akili kama hizi ndio zimetoka ccm zikaja kutuharibia Chadema yetu..
 
Back
Top Bottom