ITV jamani, mmenunuliwa?

ITV jamani, mmenunuliwa?

itv tafadhali habari nzito kama za ukawa zipewe kipaumbele msifanane na tbc
 
Uzuri siku hizi ukifika muda wa taarifa ya habari video za matukio zimeshasambaa mpaka vijijini
 
Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada.

Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa.

Vipi itv mmenunuliwa?
Mmetishwa?

Au kuna nn?

tatizo lako nini? heri kusomwa au kutosomwa kabisa?
 
Kila taasisi ina utaratibu wake, wao hawafuati vionjo vya watazamaji wanafuata weledi ktk utangazaji. so si vema kuwalaumu.
 
Ni kweli kabisa. siku hizi hatutegemei chanzo kimoja cha habari. Hata wao wasipo tutangazia sisi habari tunapata tena wakati mwingine live.
 
Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada.

Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa.

Vipi itv mmenunuliwa?
Mmetishwa?

Au kuna nn?

Itv haijanunuliwa bali ni mbinu za kibiashara ili kuwabakiza watazamaji waweze kuangalia taarifa ya habari mpaka mwisho, kwakuwa
Ukawa na Lowasa ndio habari ya mjini, kama taarifa ya ukawa ikianza kusomwa baada ya kumalizika watui wote hutimka
 
Mtoa mada channel ten wanatangaza habari za ukawa bila tatizo ila ujue huwa wanasegment mbili ya habar za kitaifa ,mara nying habari hizo huwekwa segment ya pili na kwa muda unaridhsha. Kwa ITV kwa hiv karibu naona wanaweka iwe habari ya mwsho nadhan kulingana na ukubwa wa habari.
 
Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada.

Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa.

Vipi itv mmenunuliwa?
Mmetishwa?

Au kuna nn?
Nafikiri ni baada ya kugundua kuwa siku hizi watazamaji hawataki kuangalia habari nyingine zozote, hivyo ili kuendelea kupata wateja ni lazima kuweka kitimtimu cha UKAWA mwishomwisho ili ingalau watu waone na habari zingine. Siku hizi habari ya UKAWA ikiisha tu watu wanatawanyika so big up ITV
 
ITV nawakubali sana ila nna wasiwasi watakuwa wamepigwa biti...si bure!!
 
Wanajamii forum wenzangu, naomba tuombe tena kwa kumaanisha, maana tunakoelekea si salama. Tunahitaji nguvu ya Mungu iingilie kati; tuapate viongozi ambao wana kibali toka kwa Mungu. Kumbukeni hakuna wokovu ulio kamili bila kuwa na Mungu ndani yako. Ninapata mashaka hoja mbalimbali na michango itolewayo kupitia mtandao huu; kuna watu wanaashiria kuto ridhia matakwa ya wenzao. Kumbukeni kiongozi mzuri hapatikani kwa mitandao wala kwa maandamano makubwa bali ni kwa kuomba Mungu asimame nasi katika kufikia maamuzi yaliyo sahihi na kushiriki kikamilifu siku ya kupiga kura yaani tarehe 25/10/2015. zaidi sana omba Mungu atupe afya na uhai ili tuwe na uwezo wa kushiriki na kumpata kiongozi ambaye ni chaguo lake Yehova.
 
ITV wanafanya biashara, kununuliwa si jambo la kuuliza; kama unahitaji wakutangaze ni lazima ulipie hilo ni jambo lililo wazi, usipotoshe jamii kwa maneno yasiyo na mashiko. kama nia yako ni njema na unapenda watangaze mambo unayo yapenda onana nao wakupe gharama za matangazo yao. ITV ni chombo cha habari lakini pia ni sehemu au taasisi iliyo ajiri watu wengi wenye familia zao zinazotegemea mapato ya chombo hiki ili waweze kuendesha maisha yao. Unapo lalamika jiulize umechangia fedha kiasi gani ili kuwezesha habari unayo itaka itangazwe? Mimi naona swali zuri ni " nani tumtumie pesa za kuweza matangazo tunayo yataka yatolewe hewani?" Wakikataa fedha au kama ulilipia na hawakurusha tangazo lako una haki ya kulalamika 100%.
 
Back
Top Bottom