ITV jamani, mmenunuliwa?

ITV jamani, mmenunuliwa?

Kimsingi itv kwa sasa wanachagua habari za kusoma na kutangaza ba wanakwepa habari za ukawa na chadema juu mikutano ya utambulisha wa mtia nia wa uraisi Ukawa

VIONGOZI WA ITV TNASHUKURU KWA USALITI WENU.
Aksanteni sana

Naona ITV imeshatekwa NA usalama ...ajabu Leo Hakuna habari ya mwanza
 
hivi ni lini tanzania kutakua na uhuru wa vyombo vya habari maana tulikua tunaitegemea sana itv kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku kwa navyoona sasa mmeanza kuogopa kusoma habari za ukawa na lowasa pia mnaiweka taarifa mwishoni wakati ndiyo headline kwa sasa kwa nini kuweni wazi mmetishia mtafungiwa au maana iyo tbc star tv chanel ten habar n ccm tuu azam wanakuja kuja kwa mbali ..ebu tupen habar itv msiiogope ccm

ushabiki ukipitiliza unakuwa sawa na asiyeona amma sawa na aliyekunywa viroba, headline kwani mikutano ya chadema ni breaking news? Kama siyo breaking news basi zote zinabaki kuwa ni habari za kitaifa kama nyinginezo.

Nashauri tusikubali kuzikabidhi akili zetu zikashikwa na wengine. Tunahitaji kujitafakari na kufanya uchambuzi kwa kina. Tunahitaji kupanda basi linaloendeshwa na dereva ambaye hajanywa mvinyo ambaye abiria hawataisikia harufu ya viroba kutoka kinywani mwa dereva ili tufike safari salama.
 
Hatimaye wamesoma mwishoni...lol ITV afadhali, channel ten hovyo, tbc ndo limetoboka kabisa... star tv sitashangaa
 
Hatimaye wamesoma mwishoni...lol ITV afadhali, channel ten hovyo, tbc ndo limetoboka kabisa... star tv sitashangaa

Mkuu itv wamebadilika zile mbwembwe za mwanzo zote hamna nadhani wametishwa,
Hata leo wameonyesha kama kwa kivizia,chezea dola wewe.

mda sio mrefu watakuwa kama tbc na yule mwandishi wao aliyekuwa anasoma magazeti na kuruka habari za ukawa.
Ukiangalia video yake kama kichekesho vile.
 
Itv nao wamekuwa wapuuzi tu.
Any way whatsapp, facebook, instagram, twitta , jf sms, calls n.k
Vitatumika kuikomboa Tanzania
nyie watu wacheni mzaha. nchi haikombolewi kwa kuikabidhi kwa wafanyabiashara fisadi.
 
Hatimaye wamesoma mwishoni...lol ITV afadhali, channel ten hovyo, tbc ndo limetoboka kabisa... star tv sitashangaa

Siyo wakati wa kampeni ndiyo maana hawajatangaza itakuwa ni sawa na kuwachongea kuwa wameanza kampeni! Lakini vyovyote itakavyokuwa, kichinjio ninacho nawasubiri siku ya mazishi Oktoba 25 watakiona cha mtema kuni!
 
Mfano umemualika Chris Brown kwenye tamasha hapa bongo,huwa kuna wasanii wakuwatanguliza kama akina Ally kiba,Diamond na wengineo halafu baadaye mwishoni unamleta Brown mwenyewe!Sasa ukianza na Chris Brown,akimaliza kutumbuiza watu wengine watasepa zao!Ndio kama Habari,siku hizi watu wanajaa kupata habari za ukawa,ukianza nazo watu wataondoka so ili wabaki mpaka mwisho inabidi uiweke mwishoni!
Mimi ningekuwa ITV ningetangaza kuisoma habari ya Ukawa baada ya Habari za Michezo,hahaahhhaaaa!

Kumbee ni ishu ya biashara maana bila ukawa taarifa hainogi.
 
Lowassa kaleta ulaji kwa uusaji mashati kofia skaff vjana wamejipatia ilaj magazeti ma tv
 
Kwanini chama changu mnakua waoga kias hiki,hata cc wanachama wenu tunatak tuione nguvu ya wapinzan wetu,ndio utandawazi
 
Nikwamba hawa hajanunuliwa ila kinacho tokea ni kwamba taarifa za ukawa zikitangulizwa kwenye habari watu wakisha tizama huwa hawaendelei tena kusikiliza habari.
hivyo wameona habari za ukawa ziwe za mwisho. ili angalao watu watizame. taarifa hdi mwisho.
 
Nikwamba hawa hajanunuliwa ila kinacho tokea ni kwamba taarifa za ukawa zikitangulizwa kwenye habari watu wakisha tizama huwa hawaendelei tena kusikiliza habari.
hivyo wameona habari za ukawa ziwe za mwisho. ili angalao watu watizame. taarifa hdi mwisho.

Uongo mtupu ukweli ni kwamba hakuna soko tena ..
Na kesho ndo utaona hata dk 2 nyingi watakayotoa. Mengi hakujua ile picha yake na Lau Masha itavuja .. sasa jasho linamtoka!
 
Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada.Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa.Vipi itv mmenunuliwa?Mmetishwa?Au kuna nn?
watangaze wa kwanza ili mkishamsikia mzee wa mafuriko mfanye km mlivyomfanyia Mkulu kule tunduma Ze Komedi waliposhuka mkamwachai mkutano wake..IT wanataka mbakie ktk TV haki kila kitu ipite ikiwepo matangazo yanayolipia hiyo habari yako.By the way wewe si wale wanaokula nyama huku wakifanya timing na ugali nao uishe pamoja?Hilo ni somo makini wanalojifunza wanafunzi bila kupewa syllabus.
 
Back
Top Bottom