ITV jamani, mmenunuliwa?

ITV jamani, mmenunuliwa?

Hivi ni lini tanzania kutakua na Uhuru wa vyombo vya habari maana tulikua tunaitegemea sana ITV kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku kwa navyoona sasa mmeanza kuogopa kusoma habari za ukawa na lowasa pia mnaiweka taarifa mwishoni wakati ndiyo headline kwa sasa kwa nini kuweni wazi mmetishia mtafungiwa au maana iyo TBC star tv Chanel ten habar n ccm tuu azam wanakuja kuja kwa mbali ..ebu tupen habar ITV msiiogope ccm
 
Hivi ni lini tanzania kutakua na Uhuru wa vyombo vya habari maana tulikua tunaitegemea sana ITV kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku kwa navyoona sasa mmeanza kuogopa kusoma habari za ukawa na lowasa pia mnaiweka taarifa mwishoni wakati ndiyo headline kwa sasa kwa nini kuweni wazi mmetishia mtafungiwa au maana iyo TBC star tv Chanel ten habar n ccm tuu azam wanakuja kuja kwa mbali ..ebu tupen habar ITV msiiogope ccm

Hamia redio 5, arusha hawogopi..
 
Sio kama wanaogopa isipokuwa habari kutoka mikoani huchekeweshwa kutoka kwa waandishi, pata picha mkutano unaisha saa 12 then muandishi aedit na kutuma kwa email Dar ni process ndefu.Huenda taarifa zingine zilishawekewa headline bt kutokana na kuchelewa kwa habari hiyo ya Lowassa ikawekwa kama extra.Tuwe wavumilivu mkuu.
 
Hata mie sijaipenda hii,itv tunzeni heshima na sifa mlojijengea mbele ya umma wa watanzania.
 
Habari ilitoka tena ilitoka vizuri saaana. ITV wanajitambua
 
Unajua ile habari ambayo inauza lazima iwe mwisho ili usikilize na kutazama hizo zingine kwanza yaani namaanisha kizuri kinajiuza kibaya chajitembeza,hivyo UKAWA habari zao ndio kiu ya watanzania wote na dunia kwa jumla

... Unaweza Ukawa Na Logic Kwa Mbali
 
Heshima na sifa ya ITV ni ipi waliojijengea mbele ya umma? Ukanda au......wacha wajifunze namna ya kutoa habari wakiwa wazalendo wa Tanzania na sio km vyombo vingine vinavyofuata tamaduni zao. Hapa ndio bongo na tuna tamaduni zetu....ohooo
 
Angalia kwa sasa wanajielewa ITV kuliko kufanya ktk hali ya uchochezi mpaka wazalendo tukapendekeza ifungwe hadi uchaguzi uishe anyway waendelee kuwa neutral.
 
Sio kama wanaogopa isipokuwa habari kutoka mikoani huchekeweshwa kutoka kwa waandishi, pata picha mkutano unaisha saa 12 then muandishi aedit na kutuma kwa email Dar ni process ndefu.Huenda taarifa zingine zilishawekewa headline bt kutokana na kuchelewa kwa habari hiyo ya Lowassa ikawekwa kama extra.Tuwe wavumilivu mkuu.

Kwakweli hapa shebaha umeitunga ndipo.... Subra ni kitu mujarabu
 
Watu hata siyo waelewa aisee. Sijui elimu ndogo. Yaani mkutano umeisha saa 12 halafu mtu anataka habari iwe ya kwanza.
 
ukiweka habari ya ukawa mwanzo wa kipindi, wakiishaiona iyo habari ,ikiisha tu watu awangalii tena habari,inabidi iwekwe mwisho ili waangalie habari zingine wakiwa wakisubiri habari kubwa
 
Sio kama wanaogopa isipokuwa habari kutoka mikoani huchekeweshwa kutoka kwa waandishi, pata picha mkutano unaisha saa 12 then muandishi aedit na kutuma kwa email Dar ni process ndefu.Huenda taarifa zingine zilishawekewa headline bt kutokana na kuchelewa kwa habari hiyo ya Lowassa ikawekwa kama extra.Tuwe wavumilivu mkuu.

ni kweli mkuu umenena vyema taarifa ilichelewa ndo mana chanel ten waliirusha kwa kutoa picha tofauti na habari husika
 
Habari za Lowassa zinakuwa za mwisho ili watu waangalie habari zingine. Manake wamefanya utafiti na kugundua kwamba watu wakishaangalia habari za Lowassa wanaondoka hawaangalii habari zingine

Mkuu umeongea nilichotaka kuongea this is the fact watu wengi wanasubiri habari za ukawa zikishasomwa hamna anayebaki
 
Back
Top Bottom