ITV jamani, mmenunuliwa?

ITV jamani, mmenunuliwa?

Habari za Lowassa zinakuwa za mwisho ili watu waangalie habari zingine. Manake wamefanya utafiti na kugundua kwamba watu wakishaangalia habari za Lowassa wanaondoka hawaangalii habari zingine

Haaaaa kwa iyo za ccm hazina mvuto au?
 
Nyinyi endeleeni kuwaghiribu na hako mnakokaona kataondoshwa kabisa alafu ndo mtafurahi wenyewe ..fyateni mkia
 
Hivi ni lini tanzania kutakua na Uhuru wa vyombo vya habari maana tulikua tunaitegemea sana ITV kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku kwa navyoona sasa mmeanza kuogopa kusoma habari za ukawa na lowasa pia mnaiweka taarifa mwishoni wakati ndiyo headline kwa sasa kwa nini kuweni wazi mmetishia mtafungiwa au maana iyo TBC star tv Chanel ten habar n ccm tuu azam wanakuja kuja kwa mbali ..ebu tupen habar ITV msiiogope ccm

wanachelewesha makusudikutokana na sababu zifuatazo

1. wakiweka habari za ukawa/lowassa ya kwanza watu hawaangalii habari zingine

2. kitendo cha tanesco kukata umeme saa 2:00 usiku na kurudisha 2:10 baada ya habari za lowassa kutolewa ndipo walipo ona waziweke za mwisho
 
Mfano umemualika Chris Brown kwenye tamasha hapa bongo,huwa kuna wasanii wakuwatanguliza kama akina Ally kiba,Diamond na wengineo halafu baadaye mwishoni unamleta Brown mwenyewe!Sasa ukianza na Chris Brown,akimaliza kutumbuiza watu wengine watasepa zao!Ndio kama Habari,siku hizi watu wanajaa kupata habari za ukawa,ukianza nazo watu wataondoka so ili wabaki mpaka mwisho inabidi uiweke mwishoni!
Mimi ningekuwa ITV ningetangaza kuisoma habari ya Ukawa baada ya Habari za Michezo,hahaahhhaaaa!
 
Sio kama wanaogopa isipokuwa habari kutoka mikoani huchekeweshwa kutoka kwa waandishi, pata picha mkutano unaisha saa 12 then muandishi aedit na kutuma kwa email Dar ni process ndefu.Huenda taarifa zingine zilishawekewa headline bt kutokana na kuchelewa kwa habari hiyo ya Lowassa ikawekwa kama extra.Tuwe wavumilivu mkuu.

Una hoja.Na mapicha ya video yanachukua muda kwenye kuyadownload na kuupload.ni makubwa
 
TAARIFA MUHIMU KWA UMMA JUMAPILI YA LEO

Karibuni sana na tuungane sote kwa pamoja kutazama Mjadala makini wenye tija za kijamii.

Wasemaji ni wengi mno wakiwemo akina Kitila Mkumbo, Prof. Baregu, Mtatilo, Polepole n.k

Mjadala utarushwa hewani Live ITV na Redio ONE kuanzia saa 8:00 mchana kutoka Blue Peal-Ubungo Plazza.

Eee Mungu, wasahaulishe ccm wasikate umeme muda huo ili tupate kujifunza juu ya hatma ya taifa letu.......
 
Pia kwa wale wazoefu katika fani ya habari,inapotolewa taarifa ambaye sio sahihi,radio au televisheni inatakiwa kukanusha mara ngapi?maana naona mara nyingi ITV wanaomba radhi kwa taarifa iliyotolewa amabyo sio sahihi. na nafikiri hili ndilo linalowafanya kurudi nyuma kidogo na kuatia uwoga
 
Hivi ni lini tanzania kutakua na Uhuru wa vyombo vya habari maana tulikua tunaitegemea sana ITV kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku kwa navyoona sasa mmeanza kuogopa kusoma habari za ukawa na lowasa pia mnaiweka taarifa mwishoni wakati ndiyo headline kwa sasa kwa nini kuweni wazi mmetishia mtafungiwa au maana iyo TBC star tv Chanel ten habar n ccm tuu azam wanakuja kuja kwa mbali ..ebu tupen habar ITV msiiogope ccm

Hakuna kituo kisichotishwa kwa wakati huu. Ni kukomaa tuu. 25 oktoba sio mbali kitaeleeeka tuu.
 
Wewe ITV wakiweka habari ya ukawa ya kwanza watu ikiisha wanazima TV maana ndio habari kuu sasa lazima iwe mwishoni ukawa ndio habari ya mjini
 
Habari za Lowassa zinakuwa za mwisho ili watu waangalie habari zingine. Manake wamefanya utafiti na kugundua kwamba watu wakishaangalia habari za Lowassa wanaondoka hawaangalii habari zingine
Kweli kabisa kunasehmu nilikuwa siku moja baada ya tarifa ya ukawa watu wakatoka nje wakasema wamesha angalia abara ya tanzania ninawashauri waendeleye kuiweka ya mwisho ili watu wengi waangalie tarifa nyingine maana ikiwa ya kwanza ata mimi inaweza nifanya nisiangaliye habari nyingine kwa umakini!!
 
Hivi ni lini tanzania kutakua na Uhuru wa vyombo vya habari maana tulikua tunaitegemea sana ITV kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku kwa navyoona sasa mmeanza kuogopa kusoma habari za ukawa na lowasa pia mnaiweka taarifa mwishoni wakati ndiyo headline kwa sasa kwa nini kuweni wazi mmetishia mtafungiwa au maana iyo TBC star tv Chanel ten habar n ccm tuu azam wanakuja kuja kwa mbali ..ebu tupen habar ITV msiiogope ccm
Mtaisoma namba , nyie msioijua CCM.
Na hizo ni rasha rasha tu, juzi ITV sembuse waingie mtego mnaouuwekea na wakaomba radhi chap chap baada ya kujua wanakosa weledi kwa kushabikia siasa za UKAWA.
 
Sio kama wanaogopa isipokuwa habari kutoka mikoani huchekeweshwa kutoka kwa waandishi, pata picha mkutano unaisha saa 12 then muandishi aedit na kutuma kwa email Dar ni process ndefu.Huenda taarifa zingine zilishawekewa headline bt kutokana na kuchelewa kwa habari hiyo ya Lowassa ikawekwa kama extra.Tuwe wavumilivu mkuu.

Usipotoshe ukumbi kutuma na kuedit habari nusu saa tu inatosha au chini ya hapo, Unajuwa Tz kila kitu mnakata kuwaaminisha watu ni vigumu ivi kutuma email kunahitaji daika ngapi? ndani ya daika1 unaweza kutuma ata email 50, hata kama mwandishi yupo kwenye training lakin siyo kiivyo mnapotosha sana.

Alafu nyingi watanganyika kila kitu ni process ata kufungua mlango wagari munasema ni process.
 
Back
Top Bottom