ITV jamani, mmenunuliwa?

ITV jamani, mmenunuliwa?

Uongo mtupu ukweli ni kwamba hakuna soko tena .. Na kesho ndo utaona hata dk 2 nyingi watakayotoa. Mengi hakujua ile picha yake na Lau Masha itavuja .. sasa jasho linamtoka!
Tayari mnawapangia watz marafiki?Si mlisema Arfi asipangiwe marafiki..?
 
ITV kuweni wazalendo wa kweli ni chanel pekee ambayo tulitegemea sana sasa kama pia mmeanza usaliti huu mapema plz jirekebisheni mimi pia nimeliona hilo acheni kukifanyia kazi chama tawala
 
ITV kuweni wazalendo wa kweli ni chanel pekee ambayo tulitegemea sana sasa kama pia mmeanza usaliti huu mapema plz jirekebisheni mimi pia nimeliona hilo acheni kukifanyia kazi chama tawala
Ila ni vizuri...kwani angalau watu wasiotaka sikiliza habari za maccm wapate news ,kisha wamalizie na MGENI RASMI ndipo wataweza pata linganisha na kuona jinsi gani mgeni rasmi anaperform.Ki ukweli hata wauza magazeti ukiwaangaliwa tuu wanakuchaguliwa magazeti yenye Mafuriko juu..hawawezi kupa mengine hata km hawakujui.
 
Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada.

Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa.

Vipi itv mmenunuliwa?
Mmetishwa?

Au kuna nn?

Hivi vyombo vya hbr havipo kwa maslahi ya umoja wenu acheni upuuzi
 
Ni strategy tu baada ya kupigwa mkwara na POLICCM.Wanavuta kasi kwa kuwa wanajua kuna sehemu wamejikwaa,ila taarifa za UKAWA zinakuwa full covered saa 12 asubuhi.Onyo lile ni mtego kwamba wakifanya kosa jingine wanakula ban ya maisha.Nawapongeza kwa tricky ya kukwepesha bawa for a while.
 
Hapana msilaumu sana ITV ilipiga vitosho vya kufungiwa juzi kama uliona waliambiwa wakanushe habar 1 ndani ya siku 3
 
Kwani mbona habari za babu wa Loliondo hazitangazwi tena? Vibrating candidate mwambieni atafute cha kuwaambia watu sio kila siku nukuu za mwalimu kama kipindi cha wosia wa baba ITV.
 
ITV kuweni wazalendo wa kweli ni chanel pekee ambayo tulitegemea sana sasa kama pia mmeanza usaliti huu mapema plz jirekebisheni mimi pia nimeliona hilo acheni kukifanyia kazi chama tawala
Wanafiki nyie mnataka kumwingiza Mengi machakani.
Anzisheni fasta TV yenu ili mtangaze UKAWA toka brakfast hadi sunset na wanachama wenu waote usingizi wa KiUKAWA.
Mnashauriwa kufuatilia habari za UKAWA kupitia TBC na gazeti la Uhuru.
 
Anziaha Tv yenu na hilo fisadi lenu.

Nani Fisadi? Nitajie msafi CCM ! Pesa za escrow zipo wapi? Pesa za mabehewa feki? Nani kaiua ATC , TTCL ? Billion 251 malipo hewa kandarasi hewa, kivuko cha 1978 billion 8 wakati wauzaji Wanasema walikiiuza kwa billion 2 tu, pesa za sukari, pesa za bomba la Gesi, Mali na mapesa ya Gadafi na utitiri wa wizi huko ccm makao makuu ya Ufisadi. Hao ITV watakuwa wametishwa wamepewa mikwara mizito sidhani kama watakuwa wamenunuliwa.
 
Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada.

Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa.

Vipi itv mmenunuliwa?
Mmetishwa?

Au kuna nn?

Kama unataka habari utavumilia hadi mwisho ili mradi uipate
 
Mleta maada una maada nyepesi sana maana kama wanatangaza ila mwishoni
 
kwa mfano hii sehemu niliyo kwa sasa ukisoma taarifa ya UKAWA ikiisha tu watu wote wanaondoka...we unategemea nini mi naona wako sawa....hawa hawajanunuliwa na kama wasipo isoma itakuwa ni tatizo pia kwao.

Hawajanunuliwa bali wamepigwa mkwara na CCM
 
Mleta maada una maada nyepesi sana maana kama wanatangaza ila mwishoni

Wanajua sasa habari zinazopendwa ni za Ukawa hata wakitishwa vp watazitangaza tu.
 
Back
Top Bottom