Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Tayari mnawapangia watz marafiki?Si mlisema Arfi asipangiwe marafiki..?Uongo mtupu ukweli ni kwamba hakuna soko tena .. Na kesho ndo utaona hata dk 2 nyingi watakayotoa. Mengi hakujua ile picha yake na Lau Masha itavuja .. sasa jasho linamtoka!