Ni mbinu ya kuwafanya watazamaji kufuatilia hadi mwisho. naona ndo inarushwa
Tatizo mkishaangalia habari za ukawa mnaondoka, hamna namna tena inabidi ziwe za mwisho baada ya habari za michezo
Ilipaswa iwe ya kwanza kwa kweli! tupo kweli uchaguzi mood!
Mfano umemualika Chris Brown kwenye tamasha hapa bongo,huwa Luna wasanii wakuwatanguliza kama akina Ally kiba,Diamond na wengineo halafu baadaye mwishoni unamleta Brown mwenyewe!Sasa ukianza na Chris Brown,akimaliza kutumbuiza watu wengine watasepa zao!Ndio kama Habari,siku hizi watu wanajaa kupata habari za ukawa,ukianza nazo watu wataondoka so ili wabaki mpaka mwisho inabidi uiweke mwishoni!
Mimi ningekuwa ITV ningetangaza kuisoma habari ya Ukawa baada ya Habari za Michezo,hahaahhhaaaa!
Bavicha muache ujinga mbona mimi nimeiona hiyo habari ya Lowasa tena ilikuwa ya pili kutoka mwisho? Kwanini mna kurupuka?Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada.
Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa.
Vipi itv mmenunuliwa?
Mmetishwa?
Au kuna nn?
Anziaha Tv yenu na hilo fisadi lenu.
Bavicha wengi ni mzigo...Nashangaa...hata chanel ten hawajatangaza kabisa...
Kama hamjawalipa unategemea watangaze bure?
Vyombo vya habari vyote vya tanzania kwisha habari zao. Zimejiunga kwenye ukoo wa panya
Wamezuiwa kabisa na mamlaka ya juu kusoma habari za wapinzani. Hii ndiyi Tanzania.
Itv nao wamekuwa wapuuzi tu.
Any way whatsapp, facebook, instagram, twitta , jf sms, calls n.k
Vitatumika kuikomboa Tanzania
Watakuwa wamenunuliwa si bure,hapa naangalia itv tukio la arusha juu ya ukawa hakuna
Ilipaswa iwe ya kwanza kwa kweli! tupo kweli uchaguzi mood!
ITV ni CCM B, skuizi ukiangalia ni JK tu na upumbavu wa magufuli nimechoka ata kusikiliza taarifa za habari, ITV ilikuwa TV pekee ninayoangalia saiv nimeacha.