ITV jamani, mmenunuliwa?

ITV jamani, mmenunuliwa?

JK amemuomba Mengi amsaidie kupooza mashambulizi ... Channel 10 wamepewa mshiko wa kutakata ... bahati mbaya sana wananchi hawana muda nao wanajua cha kufanya coming October 2015
 
Nimeshangaa mimi pia tangu jana wanachofanya n labda baada ya rungu la tcra lakin makosa n yao
Nashangaa hawasomi mapema na hawaoneshi vizur mafuriko tena Kwa juu zaid hadi hubadirisha tittle na kumpa lowasa nafasi finyu najua Kwa sababu vifurushi tumelipia lkn magazeti mkifanya hivyo hatununui
Yatawadodea
Lakin hamfanyi hivyo
 
ITV wamegundua wakianza za ukawa...nyingine hamuangalii kwahyo tangu jana inawekwa mwishoni kbsa
 
Sijajua vijijini ukawa inafahamika kwa kiwango gani!itabidi mh.rais mtarajiwa pamoja na ukawa kwa ujumla wake wakati wa kampeni waelekeze nguvu vijijini.ingawa mitandao ya kijamii mf fb na whatsap inasomeka kule.
 
Hapana itv wako kibiashara nadhani ni makusudi kuweka mwisho habari za ukawa ili kuwafanya watu watulie kwenye tv mpaka mwisho qa taarifa maana wakitangaza mwanzo wa habari watu wanaendelea na mambo yao maana tayari habari yenye mvuto wameshaisikia
 
Hapana itv wako kibiashara nadhani ni makusudi kuweka mwisho habari za ukawa ili kuwafanya watu watulie kwenye tv mpaka mwisho wa taarifa maana wakitangaza mwanzo wa habari watu wanaendelea na mambo yao maana tayari habari yenye mvuto wameshaisikia
 
Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada.

Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa.

Vipi itv mmenunuliwa?
Mmetishwa?

Au kuna nn?

Swagazetu,unafanya makosa kuwalaumu au hata kuwatilia shaka ITV. Ukweli ni kwamba ITV wanafanya kazi kubwa na nzuri kwa Taifa kuliko kuliko kituo chochote cha TV kwa sasa.
Kwa sasa UKAWA na Lowasa ndio habari pekee inayotawala Taifa. Watu wengi hufungulia ITV wakitarajia kusikia mapya ya UKAWA,utakapoiweka Taarifa ya UKAWA kama habari kuu na ukaanza nayo,tarajia taarifa nyingine kutowafikia walengwa kama ilivyokusudiwa.
Kwa sasa uhalisia unaonyesha kwamba ikimalizika taarifa ya UKAWA na Lowasa watu wote wanasambaa na kuendelea na Shughuli zao. Hata ungelikuwa ni wewe ungetafuta mbinu tofauti,na mbinu rahisi zaidi ni kuiweka mwishoni taarifa inayosubiriwa na wengi.
ITV WAPO SAHIHI!
 
Wameiweka mwisho mwisho mwa habari za kitaifa, ila stori ya Lowassa ilikuwapo, binafsi nimeiona!
 
Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada.

Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa.

Vipi itv mmenunuliwa?
Mmetishwa?

Au kuna nn?

Muwe mnaangalia tv na sio kusimuliwa.

Halafu mpunguze kulalamika.
 
Lengo la kusoma katikati au mwisho, ni kuwawezesha walio wengi waweze kuona, kwani mara nyingi wengi wetu huchelewa dakika 5 hadi 10 tangu kuanza kwa taarifa.
Pili, Lowasa Ukawa ndio habari kuu siku hizi, hivyo ukiisoma mwanzo, watazamaji hawatakuwa na muda tena wa kutazama other news
 
Halafu kuna mwenyekiti wa CCM Motogoro vijijini amesema watashinda kwa gharama yo yote. Sijui alimaanisha nini?

Amesemea wapi?TCRA na Tawi la CCM NEC vipi hawajamsikia?Lakini mbona hata Mwenyekiti wa Chama cha Majambazi alisemahivyo hivyo?
 
Swagazetu,unafanya makosa kuwalaumu au hata kuwatilia shaka ITV. Ukweli ni kwamba ITV wanafanya kazi kubwa na nzuri kwa Taifa kuliko kuliko kituo chochote cha TV kwa sasa.
Kwa sasa UKAWA na Lowasa ndio habari pekee inayotawala Taifa. Watu wengi hufungulia ITV wakitarajia kusikia mapya ya UKAWA,utakapoiweka Taarifa ya UKAWA kama habari kuu na ukaanza nayo,tarajia taarifa nyingine kutowafikia walengwa kama ilivyokusudiwa.
Kwa sasa uhalisia unaonyesha kwamba ikimalizika taarifa ya UKAWA na Lowasa watu wote wanasambaa na kuendelea na Shughuli zao. Hata ungelikuwa ni wewe ungetafuta mbinu tofauti,na mbinu rahisi zaidi ni kuiweka mwishoni taarifa inayosubiriwa na wengi.
ITV WAPO SAHIHI!

Na itv wamefanya kazi kubwa sana, wamepiga promo mno Siku nyingi wameitangaza sana cdm wanastahili shukurani sio kulaumiwa
 
kila kitu ni azam tv sa hivi.... unapewa za moto moto mapema bila chenga!!! shikamoo bakhresa
 
Back
Top Bottom