ITV jamani, mmenunuliwa?

ITV jamani, mmenunuliwa?

Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada.

Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa.

Vipi itv mmenunuliwa?
Mmetishwa?

Au kuna nn?

Ni mbinu ya kuwafanya watazamaji kufuatilia hadi mwisho. naona ndo inarushwa
 
UKAWA tunabanwa sana jamani! Siku tukitoboa daaaa sijui itakuaje! Kwenye tv haturushwi tena! Magazeti yamebaki: tz daima, nipashe, mtanzania na mwananchi! Lakini hata hivyo ni kwa sababu wakiandika ma ccm hayanunuliwi inakula kwao, so lazima waandike ukawa mwanzo mwisho!

 
Arusha+ukawa hewani itv.big up mtei
 
HAMNA SUBIRA UKAWA, taarifa mnataka mpange nyinyi kila kitu,
 
Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada.

Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa.

Vipi itv mmenunuliwa?
Mmetishwa?

Au kuna nn?

ndo wanaonesha saa hivi mkuu
 
wajinga sana ITV na wamenunuliwa sijui...mda huu ndo wanasoma taarifa ya ukawa?
 
Jaman itv wanaweza wakawa na mantiki koz wakianza na taarifa za ukawa watazamaj wanabadil station nakufatilia vitu vngne ndo maana wanaziweka mwisho ili muangalia na taarifa zngne
 
Imetangazwa ila mwisho mwisho wa habari. Nafikiri ni njia kuwafanya wataamaji waendelee kutazzama taarifa mpaka mwisho. Ukiiweka mwanzoni kuna hatari baada ya habari hiyo mtu akabadili station au akazima kabisa TV yake
 
Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada.

Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa.

Vipi itv mmenunuliwa?
Mmetishwa?

Au kuna nn?

Mwanzo ITV ilikua imenunuliwa naona sasa inajirekebisha hii sio tv ya chama haiwezekani i base upande wa popote kule
 
Kwa kiasi flan ITV wanajitahidi naona wanaiweka mwisho ili watu waangalie taarifa ya habari mpaka mwisho
 
Mi ninachoona sio makosa kuwa mwishoni kwakuwa habari za mikoani zinachukua process ndefu kuzituma kuedit then kuunganishwa na habari zingine.Itv wamerusha mwishoni, Clouds wamerusha katikati na Azam ilikuwa habari ya kwanza.Tusiilamu Itv na Azam kwani zinajitahidi sana kurusha habari za UKAWA.
 
Back
Top Bottom