ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,950
- 6,981
Inakuwaje Itv taarifa zinazohusu Ukawa hazitangazwi ama zinatangazwa mwishoni kabisa.chanel zingine hatusemi naana tunajua startv na tbccm ni makada.
Chanel iliyokuwa imebaki ni Itv sasa napata hofu kuanzia jumanne taarifa za ukawa zikobmwishoni au hazisomwi kabisa.
Vipi itv mmenunuliwa?
Mmetishwa?
Au kuna nn?
Ni mbinu ya kuwafanya watazamaji kufuatilia hadi mwisho. naona ndo inarushwa