Itakuumiza/itakusikitisha: Ukahaba wa Tabora

Itakuumiza/itakusikitisha: Ukahaba wa Tabora

Mikoa ambayo Elimu iko chini na Dini ya kiislamu ipo Kwa wingi inaongoza sana Kwa ukahaba
1.Dar
2.zanzibar
3.Mtwara
4.Tabora
5.Ruvuma
6.kigoma
NB : tuweke udini pembeni tusimame kwenye hoja maana Mimi mwenye ni muumini wa Dini ya kiislam ila nimejarib kuchunguza sana Kwa Nini ipo hivi nakosa majibu

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Straight to the point;-

1. Tabora ni Mkoa pekee ambao mabinti wengi hufanya ukahaba huku wakiwa na umri wa kati ya miaka 11-17 (mabinti hao ni wengi sana mkoani hapa).

2. Mimba za utotoni zipo nyingi sana katika mkoa huu. Hapa utakuta binti wa chini ya miaka 17 au 18 ana watoto wawili mpaka watatu.

Hapa Tabora naona ni kama familia nyingi zimeyaruhusu haya mambo yafanyike, Jamii pia imeyapitisha na Serikali imeyaridhia/imekubalina nayo.
Ukahaba tabora ni jadi

Yaani wazazi makahaba watoto ndio usiseme.

Nimesomea Tabra kwa hiyo najua ninachosema.

Hata stori za vijana, watoto na watu wazima ni ngono tu mwanzo mwisho.

Huenda ndio sababu ya Mkoa huuu kuwa maskini licha ya kuwa mkoa muhimu sana kihistoria.
 
Mikoa ambayo Elimu iko chini na Dini ya kiislamu ipo Kwa wingi inaongoza sana Kwa ukahaba
1.Dar
2.zanzibar
3.Mtwara
4.Tabora
5.Ruvuma
6.kigoma
NB : tuweke udini pembeni tusimame kwenye hoja maana Mimi mwenye ni muumini wa Dini ya kiislam ila nimejarib kuchunguza sana Kwa Nini ipo hivi nakosa majibu

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app

Umesahau kwa warangi.
 
Ukahaba hautakuja uishe au ukomeshwe. Tangu enzi za Yesu Makahaba walikuwepo. Serikali itatishia itafanya ifanyavyo lakini kumzuia mtu mwenye kitu chake asikiuze na kipo ndani ya mwili wake ni vigumu mno! Unaweza kuilaumu Serikali Bure tu.

Na issue sio ugumu wa maisha, wengine hata ukiwapa mtaji bado tu wataendelea ni tabia ipo kwenye damu.
Na kwa kuongezea tu ni kwamba so long as WATEJA wa hiyo bidhaa wako ndani ya jamii hiyo hiyo (wengine si ajabu wako humu humu JF) tunapoteza muda tu kujadili na ukahaba hautakuja uishe.
 
Back
Top Bottom