Itakuumiza/itakusikitisha: Ukahaba wa Tabora

Itakuumiza/itakusikitisha: Ukahaba wa Tabora

Chanzo ni umaskini wa wazazi na tabia mbovu za wazazi.

Kama mama ni kahaba na baba naye ndio wale wanywa gongo, mtoto lazima awe kahaba.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app


Uko sahihi lakini umehukumu kwa ujumla Jumla tu.

Japo wapo wengi wanaofanya kwa ajili ya umasikini lakini asilimia kubwa sana ya makahaba mijini na vijijini wanafanya ukahaba kwa msukumo wa Tamaa na factors nyingine nyingi ikiwemo tatizo la afya ya Akili.

Na pia uwepo wa wateja kuwa mkubwa wenye utayari wa kutoa chochote kupata kitu sehemu yoyote.

Wateja hawa ni sehemu ya jamii ya kiume na wengine wengi ni ndugu zao.

Jamii hii ya kiume iliyopaswa kuwa walinzi na viongozi wa mabinti hao leo hii ndio wamekua wateja wao katika jambo ambalo walipaswa kulikemea na kulilaani mbali kabisa na jamii zao.



Kinachoonekana sasa ni matokeo yatokanayo na aina ya jamii zinazojenga taifa hili, ikiwemo jamii yangu na yako pia.
 
Ukahaba hautakuja uishe au ukomeshwe. Tangu enzi za Yesu Makahaba walikuwepo. Serikali itatishia itafanya ifanyavyo lakini kumzuia mtu mwenye kitu chake asikiuze na kipo ndani ya mwili wake ni vigumu mno! Unaweza kuilaumu Serikali Bure tu.

Na issue sio ugumu wa maisha, wengine hata ukiwapa mtaji bado tu wataendelea ni tabia ipo kwenye damu.


Nyie wakubwa endeleeni kuuziana Tafadhali watoto wasiguswe, mnaharibu sio tu kesho yao hata sasa mnaingiza laana katika jamii.
 
Straight to the point;-

1. Tabora ni Mkoa pekee ambao mabinti wengi hufanya ukahaba huku wakiwa na umri wa kati ya miaka 11-17 (mabinti hao ni wengi sana mkoani hapa).

2. Mimba za utotoni zipo nyingi sana katika mkoa huu. Hapa utakuta binti wa chini ya miaka 17 au 18 ana watoto wawili mpaka watatu.

Hapa Tabora naona ni kama familia nyingi zimeyaruhusu haya mambo yafanyike, Jamii pia imeyapitisha na Serikali imeyaridhia/imekubalina nayo.
Nadhani mikoa yote Tz vinginevyo toa figure kuthibitisha
 
Mnafiki tu huyo,
Tabora kwa sasa ipo na waha, wasukuma na wanyamwezi, ingawa wanyamwezi Asilimia kubwa wapo pembezoni hasa sikonge, kaliua, usule, inala, magiri uyui, zega, umanda na magengati.

. Kitu kilicho pale au sifa kuu ni watoto kulelewa na mzazi mmoja.
Au sio
 
Back
Top Bottom