MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 5,165
- 13,217
Hii ndio dunia ya ubepari tuliyokuwa tunaitaka, Hii ndio dunia ya Wabeijing, Hii ni dunia ya kila kitu bidhaa.
Ila anayesema Pwani kuna Umalaya kushindwa kanda ya ziwa akapimwe akili, sio shinyanga tu au Geita ila kila center watu wanajiuza na mambo shwari.
iwe regulated bila hivyo hali itazidi kuwa mbaya
Ila anayesema Pwani kuna Umalaya kushindwa kanda ya ziwa akapimwe akili, sio shinyanga tu au Geita ila kila center watu wanajiuza na mambo shwari.
iwe regulated bila hivyo hali itazidi kuwa mbaya