MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,978
- Thread starter
- #21
Au sioUgumu wa maisha mtaani hupati hata buku hakuna wa kukupa mzazi hana hela binti anaamua kujiongeza
Au sioUgumu wa maisha mtaani hupati hata buku hakuna wa kukupa mzazi hana hela binti anaamua kujiongeza
Familia,..Jamii,..TaifaUmasikini na tamaa na malezi ndio chanzo kikubwa
Nimekaa Dodoma, sikuwahi kuona issue ya aina hii. Hivi ni vitoto vidogo sanaSehemu nyingi hali ni hiyo hiyo mkuu,
Dah, sio poa!!agrey mwanri alipambana nao sana.
mwenyekiti sukuma ndani.
baba sukuma ndani.
mama sukuma ndani.
aliefungisha ndoa sukuma ndani.
shehe sukuma ndani.
ata yule anaepiga chikich chikich chikich aah chikich chikich aah sukuma ndani.
hapo tabora pana shida ya kiroho zaidi.
Kwani wanafanyia mitaani au gesti usiku ?Kwa sisi wenye mabinti wa umri kama huo, inaumiza sana sana
Na cha ajabu wateja ni wababa wazima kabisa...na tena Wana miili mikubwa kabisa. Wanakatiza nao mtaani...Serikali , Jamii,..zipo tu...na hakuna kitu o-ote inafanyika stakafirura shetwan rajuni!!!
BASI umri uangaliwe kama mmeyaruhusu hayo. Mbona kwenye pombe mmeweka vigezo?Ukahaba hautakuja uishe au ukomeshwe. Tangu enzi za Yesu Makahaba walikuwepo. Serikali itatishia itafanya ifanyavyo lakini kumzuia mtu mwenye kitu chake asikiuze na kipo ndani ya mwili wake ni vigumu mno! Unaweza kuilaumu Serikali Bure tu.
Na issue sio ugumu wa maisha, wengine hata ukiwapa mtaji bado tu wataendelea ni tabia ipo kwenye damu.
Ila Shinyanga umewasingizia Mkuu. Shinyanga ni mkoa àmbao wanaofanya ukahaba pale mjini wengi ni wahamiaji wasaka fursa. Asilimia zaidi ya 70% ya Makahaba wa Shinyanga si wazawa tofauti na Tabora na Singida ambako watoto wa nyumbani ndio wahusika wakuu.Ukahaba uko mikoa yote, na hapo Tabora (Kanyenye na kule Kilimanjaro bar) ukahaba umeshamiri miaka ya karibuni tu.
Kuna mikoa mingine kama Shinyanga upo kitambo sana.
KweliIla Shinyanga umewasingizia Mkuu. Shinyanga ni mkoa àmbao wanaofanya ukahaba pale mjini wengi ni wahamiaji wasaka fursa. Asilimia zaidi ya 70% ya Makahaba wa Shinyanga si wazawa tofauti na Tabora na Singida ambako watoto wa nyumbani ndio wahusika wakuu.
ISEVYAUko tabora mtaa gani mkuu?
Hapo nmesoma advance, vijana walikuw wananunua sanaAu Matrix Pale..
Ila Igunga ni balaa Mwanzugi Road kuvizia Drivers wa Malori
Afya zao kwasasa?Hapo nmesoma advance, vijana walikuw wananunua sana
Hatari kweli kweli, tunaharibu jamii yetu wenyeweUgumu wa maisha mtaani hupati hata buku hakuna wa kukupa mzazi hana hela binti anaamua kujiongeza
Kwà kunyamaza kimya / kushindwa kukemea tabia mbayaHatari kweli kweli, tunaharibu jamii yetu wenyewe
Huu ni ukweli NduguMiaka 11? Punguza sukari mkuu
Njoo kigoma uone binti miaka 15 ana mimbaIssue ni miaka Ndugu. Hawa mabinti ni wadogo sana sana. Inaumiza sana