Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,266
- 9,242
Sema Tabora kukame sana, nimekaa Igunga, kipindi cha kilimo ni kukame sana, hela hamna kabisa, mpaka wakati wa mavuno.
Au sioSema Tabora kukame sana, nimekaa Igunga, kipindi cha kilimo ni kukame sana, hela hamna kabisa, mpaka wakati wa mavuno.
Isevya sehemu gani hiyo walipo hao mabinti?ISEVYA
Wako salama, kinga mzee wanatumiaAfya zao kwasasa?
Usinchoshe bhana!Isevya sehemu gani hiyo walipo hao mabinti?
Duh!Huu ni ukweli Ndugu
Salama kiafya au sio? Vipi Usalama wao kiroho?Wako salama, kinga mzee wanatumia
Panaitwa MAPOZI hiyo site
Ipuli, ISEVYA, Uledi ...kotekote. Na nimepata za chini ya kapeti ya kwamba kuna mtu huwalangua na kuwapeleka Dar kufanya ukahaba!Duh!
Ova!
# Tabora mitaa gani? Wanakuwa mitaani au bar? Ni mchana au usiku?
Duh kwa hiyo sasa hivi hawapo tena huko Tabora?Ipuli, ISEVYA, Uledi ...kotekote. Na nimepata za chini ya kapeti ya kwamba kuna mtu huwalangua na kuwapeleka Dar kufanya ukahaba!
. Taarifa zako haziko sahihi kabisa.. Sisi ni wakongwe wa hapo tabora,Straight to the point;-
1. Tabora ni Mkoa pekee ambao mabinti wengi hufanya ukahaba huku wakiwa na umri wa Kati ya miaka 11-17. (Mabinti hao ni wengi sana mkoani hapa)
2. Mimba za utotoni zipo nyingi sana katika Mkoa huu. Hapa utakuta Binti wa chini ya miaka 17 au 18 ...ana watoto wawili mpaka watatu.
Hapa Tabora, naona ni kama familia nyingi zimeyaruhusu haya mambo yafanyike, Jamii pia imeyapitisha na Serikali imeyaridhia/ imekubalina nayo.
Halafu ukimuuliza ni mkali. Hiyo Isevya anayoisema sijui ni ipi. Maana isevya bar yenye malaya wengi ni moja tu, kule keepleft. Pia naona kama ana Amplify hili suala. Miaka 11!!. Taarifa zako haziko sahihi kabisa.. Sisi ni wakongwe wa hapo tabora,
Cc.Waziri mwenye dhamana.Straight to the point;-
1. Tabora ni Mkoa pekee ambao mabinti wengi hufanya ukahaba huku wakiwa na umri wa kati ya miaka 11-17 (mabinti hao ni wengi sana mkoani hapa).
2. Mimba za utotoni zipo nyingi sana katika mkoa huu. Hapa utakuta binti wa chini ya miaka 17 au 18 ana watoto wawili mpaka watatu.
Hapa Tabora naona ni kama familia nyingi zimeyaruhusu haya mambo yafanyike, Jamii pia imeyapitisha na Serikali imeyaridhia/imekubalina nayo.
Ukifuatilia kwa karibu ukahaba ni matokeo ya umasikini,hivyo hawa wa Tabora wanawaruhusu watoto wao watumie raslimali zao ili wasife na njaaStraight to the point;-
1. Tabora ni Mkoa pekee ambao mabinti wengi hufanya ukahaba huku wakiwa na umri wa kati ya miaka 11-17 (mabinti hao ni wengi sana mkoani hapa).
2. Mimba za utotoni zipo nyingi sana katika mkoa huu. Hapa utakuta binti wa chini ya miaka 17 au 18 ana watoto wawili mpaka watatu.
Hapa Tabora naona ni kama familia nyingi zimeyaruhusu haya mambo yafanyike, Jamii pia imeyapitisha na Serikali imeyaridhia/imekubalina nayo.
Uko sahihi kabisaUgumu wa maisha mtaani hupati hata buku hakuna wa kukupa mzazi hana hela binti anaamua kujiongeza
Shetani amepita,Straight to the point;-
1. Tabora ni Mkoa pekee ambao mabinti wengi hufanya ukahaba huku wakiwa na umri wa kati ya miaka 11-17 (mabinti hao ni wengi sana mkoani hapa).
2. Mimba za utotoni zipo nyingi sana katika mkoa huu. Hapa utakuta binti wa chini ya miaka 17 au 18 ana watoto wawili mpaka watatu.
Hapa Tabora naona ni kama familia nyingi zimeyaruhusu haya mambo yafanyike, Jamii pia imeyapitisha na Serikali imeyaridhia/imekubalina nayo.
Mnafiki tu huyo,Halafu ukimuuliza ni mkali. Hiyo Isevya anayoisema sijui ni ipi. Maana isevya bar yenye malaya wengi ni moja tu, kule keepleft. Pia naona kama ana Amplify hili suala. Miaka 11!!
Mwanzugi kama daraja🤣🤣🤣🤣🤣Au Matrix Pale..
Ila Igunga ni balaa Mwanzugi Road kuvizia Drivers wa Malori
Chezeya wanyamwezi weweStraight to the point;-
1. Tabora ni Mkoa pekee ambao mabinti wengi hufanya ukahaba huku wakiwa na umri wa kati ya miaka 11-17 (mabinti hao ni wengi sana mkoani hapa).
2. Mimba za utotoni zipo nyingi sana katika mkoa huu. Hapa utakuta binti wa chini ya miaka 17 au 18 ana watoto wawili mpaka watatu.
Hapa Tabora naona ni kama familia nyingi zimeyaruhusu haya mambo yafanyike, Jamii pia imeyapitisha na Serikali imeyaridhia/imekubalina nayo.
Mimba za utotoni zipo nyingi sana katika mkoa huu. Hapa utakuta binti wa chini ya miaka 17 au 18 ana watoto wawili mpaka watatu.[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji2827]Straight to the point;-
1. Tabora ni Mkoa pekee ambao mabinti wengi hufanya ukahaba huku wakiwa na umri wa kati ya miaka 11-17 (mabinti hao ni wengi sana mkoani hapa).
2. Mimba za utotoni zipo nyingi sana katika mkoa huu. Hapa utakuta binti wa chini ya miaka 17 au 18 ana watoto wawili mpaka watatu.
Hapa Tabora naona ni kama familia nyingi zimeyaruhusu haya mambo yafanyike, Jamii pia imeyapitisha na Serikali imeyaridhia/imekubalina nayo.