Issa Shivji: Taifa lina haki ya kutafakuri

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
Je kuhuzunika na kutafakuri vyanzo vya ajali ni kutumia ajali ya MvNyerere kama mtaji wa kisiasa?Nani anaainisha nini ni mtaji wa kisiasa na nini ni huzuni/hasira/fikra za kawaida za wananchi wa kawaida? Hili ni janga la kitaifa.Taifa linahaki ya kuzungumzia.Ndio uzalendo wenyewe.
1537711535436.png
 
Ni kauli za kupuuza kusema watu wanatumia msiba kuwa mtaji wa kisiasa kwa hiyo anataka watu wawe mawe wazizungumze
 
Kipande cha kwanza ni swali, kipande cha pili ni swali pia... Ila kipande cha tatu kamalizia kwa mtazamo wake, ambapo amekiri "Hilo ni janga la kitaifa, na taifa lina haki ya kulizungumzia. Ndio uzalendo wenyewe."

Mzee huyu anabusara, maswala ya kuzuia watu kuzungumzia swala la janga hilo si sahihi. Waachwe walizungumzie na watoe mitazamo yao.
 
Je kuhuzunika vyanzo vya ajali ni kutumia ajali ya MV Nyerere kama mtaji wa kisiasa ?

Nani anaainisha nini ni mtaji wa kisiasa na nini huzuni/hasira/fikira za kawaida za wananchi wa kawaida,hili ni janga la kitaifa.Taifa lina haki ya kuzungumzia .Ndio uzalendo wenyewe
IMG-20180923-WA0028.jpg
 
Msiwatafutie wajukuu zenu laana nyiye. Sasa we babu, utapigwa kofi au fimbo? Tulia uliko uendelee kucheza na vitukuu acha mengine wafanye wengine.
 
Back
Top Bottom