KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,181
- 17,179
Lakini Professa huyu hata uenyekiti wa bodi ya ufugaji wa kuku bado hajapewa. Hebu anza kuwazia hilo, inawezekana jibu likawa huko.Tatizo hao hao kina Shivji huwa ikifika mahali pa kuamua kati ya Tanzania na CCM, husimama upande wa CCM. Wasomi huwa wapi wakati haki za watu wanyonge zinaporwa kwa kuwa tu wako chama kingine tofauti na CCM ama wamekosoa serikali?