chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,403
- 4,399
kuna baadhi ya watanzania wanaudhubutu tuwaunge mkono
Tangu lini vichaa wanatoa laana, BTW Prof anataka watu wasizuiliwe kuhoji as if serikali hii inaongozwa na Mungu kwamba haiwezi kukosea kumbe viongozi wenyewe ni aina ya vichaaMsiwatafutie wajukuu zenu laana nyiye. Sasa we babu, utapigwa kofi au fimbo? Tulia uliko uendelee kucheza na vitukuu acha mengine wafanye wengine.
"watu makini hujadiri hoja ila nyumbu humjadili mtu"Msiwatafutie wajukuu zenu laana nyiye. Sasa we babu, utapigwa kofi au fimbo? Tulia uliko uendelee kucheza na vitukuu acha mengine wafanye wengine.
Kama sio mnafiki rudi kipindi cha bunge la katiba mpyaProfesor pekee aliyebaki bongo asiye mnafiki
Huu uboya, hebu angalia historia za kina enstein, acha ubongo ufanye kaziMsiwatafutie wajukuu zenu laana nyiye. Sasa we babu, utapigwa kofi au fimbo? Tulia uliko uendelee kucheza na vitukuu acha mengine wafanye wengine.
Mzee punch!!Je kuhuzunika vyanzo vya ajali ni kutumia ajali ya MV Nyerere kama mtaji wa kisiasa ?
Nani anaainisha nini ni mtaji wa kisiasa na nini huzuni/hasira/fikira za kawaida za wananchi wa kawaida,hili ni janga la kitaifa.Taifa lina haki ya kuzungumzia .Ndio uzalendo wenyeweView attachment 875706
Kama sio mnafiki rudi kipindi cha bunge la katiba mpya
umenena vyema shivj! binfsi siguswi na msiba huu kwa kuwa kuna mtu aliongea upuuzi wake. hajui kiswahili. hajui pia mpamgilio wa maneno. aghjJe kuhuzunika vyanzo vya ajali ni kutumia ajali ya MV Nyerere kama mtaji wa kisiasa ?
Nani anaainisha nini ni mtaji wa kisiasa na nini huzuni/hasira/fikira za kawaida za wananchi wa kawaida,hili ni janga la kitaifa.Taifa lina haki ya kuzungumzia .Ndio uzalendo wenyeweView attachment 875706
Hujamalizia "waTz msipodai katiba mpya mtapata taabu sana"Taifa limeshapotea na linazama.Mgawanyiko ni mkubwa mnooo.Na chanzo ni kutokuwepo Kwa HAKI,HESHIMA kwa WATU, DHULUMA n.k
Acha watu wenye hoja waongee.Msiwatafutie wajukuu zenu laana nyiye. Sasa we babu, utapigwa kofi au fimbo? Tulia uliko uendelee kucheza na vitukuu acha mengine wafanye wengine.
Kumbe mnajua kuwa na mawazo tofauti siyo unafiki, sasa inakuwaje kina Lissu, Zitto muwashambulie wakiwa tofauti na rais.Kuwa Na Mawazo binafsi Ni Unafiki ?
Shivji Yeye anaamini katika Serikal mbili Na akawa anajenga hoja Kwa Kile anachoamini Kwa njia Za mjadala anaitwa Mnafiki
Inawezekana neno Mnafiki kuna watu wanapenda kulitumia ila hawajui maana yake halisi
TushazoeaKichaa huko aliko atakuwa AMEFURA kama FURU
😊 ila South Korean prime minister resigns over ferry sinkingKumbe mnajua kuwa na mawazo tofauti siyo unafiki, sasa inakuwaje kina Lissu, Zitto muwashambulie wakiwa tofauti na rais.
Wew ndo akuachie yy akae pembeni?ebu jiandae upya kwa miaka kama mi5 hvMsiwatafutie wajukuu zenu laana nyiye. Sasa we babu, utapigwa kofi au fimbo? Tulia uliko uendelee kucheza na vitukuu acha mengine wafanye wengine.
Kesho yy na askofu wataanza kufatiliwa na uhamiajiUzuri mmoja Prof ni raiya wa nchi hii.
Mara mumsifie mara mumponde. Ha ha ha.Profesor pekee aliyebaki bongo asiye mnafiki
Kumbe mnajua kuwa na mawazo tofauti siyo unafiki, sasa inakuwaje kina Lissu, Zitto muwashambulie wakiwa tofauti na rais.