Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,213
- 113,524
Ndiyo.Mwenye hazina ya watu wanaofikiri ndiye mwenye nguvu...
Israel hawana lolote. Wanasaidiwa na Marekani. Na bila ya Marekani kuna uwezekano mkubwa sana wangekuwa wameshafutwa katika ramani ya dunia.
Mnakapamba tu hako kanchi kwa sababu za kidini. Ni kichekesho kikubwa mtu kudai eti Israel ndiyo super power pekee hapa duniani.