Aliyesuru biwa ni Mungu wa wakristo, siyo mungu wa madrasa.Sasa mungu ATASULUBIWA VIPI NA VIUMBE VYAKE?
kuelewa nini kivipi wakati imeandikwa kwa kiswahilikwani ukiambia uvue viatu MAHALI PATAKATIFU WEWE UNAELEWA NINI?
kwann nisisemne utashi wakati mtume amesharuhusu kwamba kama mkisafisha viatu vyenu basi ruksa kuswali navyoHuwez sema utashi ww.
Ni kulingana na mafundisho ya sunnah za mtume.
ku
kuelewa nini kivipi wakati imeandikwa kwa kiswahili
Aliyesuru biwa ni Mungu wa wakristo, siyo mungu wa madrasa.
na wale hawakuwa viumbe bali vishetani vilivyotumia viumbe binadamu. na hivo vishetani vipo mpaka leo. havina mpango
Vilidhani vitaweza km walivo fanya kule Bustani ya Eden dhidi ya Adam.
Hujajibu swaliKumbe huyo Daaiye mwenyewe anafanya kaz ktk office za Governor Jerry Brown ktk utetezi wa ushoga na usagaji?!
Hawa watu pandikizi ndio unawafananisha na waislam?
Na watu wenyewe chaajabu wapo watano tu aisee.
Uone wanajaribu kuchafua dini ila haikubaliki.
Duh kwahyo visheti vimemzidi Mungu wa wakristooo?!Aliyesuru biwa ni Mungu wa wakristo, siyo mungu wa madrasa.
na wale hawakuwa viumbe bali vishetani vilivyotumia viumbe binadamu. na hivo vishetani vipo mpaka leo. havina mpango
Vilidhani vitaweza km walivo fanya kule Bustani ya Eden dhidi ya Adam.
Swali lako Nimekujibu kuwa hao usiwanasibishe na pure answar Muslims kwasababu wamekiuka mafundisho ya dini ya kiislam kwahyo si waislam ni makafir nyuma ya pazia.Hujajibu swali
Ushapata majibu?!kwann nisisemne utashi wakati mtume amesharuhusu kwamba kama mkisafisha viatu vyenu basi ruksa kuswali navyo
Soma post #175Hujajibu swali
Ahaa kumbe kama vikisafishwaaaaaa?!kwann nisisemne utashi wakati mtume amesharuhusu kwamba kama mkisafisha viatu vyenu basi ruksa kuswali navyo
Mungu muweza wa yote hawezi piganiwa na watu, Allah ni kitu mlichokitengeneza wenyewe na mtauna sana kwa akili zenu finyuAllah anasema.
"Allahu junuudu ssamawaatu wal ardhi"
Mungu ana majeshi mbinguni na ardhini.
Yeye anaongeza nguvu majeshi yake yampiganie.
Asa ulitaka ashuke km Yesu aliyekosa wafuasi ilhali alishuka??!!
Yeye anayaamuru kwa Mighty power yake majeshi yake yampiganie.
ina maana ana mashetani aombeweNini maana ya patakatifu?
Mtu anapokwambia pale ni patakatifu Ana maanisha nini?
Chakushangaza nyie mnaoombeana na kutoana mapepo kila siku kazi ni hiyo hiyo na hayaishi, tatizo nini au yanarudi?ina maana ana mashetani aombewe
Wale tunaotoa kila siku ni wateja wapya. ila yukikutoa baasi umepona mkubali Yesu tu awe mwokozi wakoChakushangaza nyie mnaoombeana na kutoana mapepo kila siku kazi ni hiyo hiyo na hayaishi, tatizo nini au yanarudi?
Tatizo hatuyataki, hata yakirudi tunayaombea yatoke.Chakushangaza nyie mnaoombeana na kutoana mapepo kila siku kazi ni hiyo hiyo na hayaishi, tatizo nini au yanarudi?
Siyo visheti bana , vishetani!Duh kwahyo visheti vimemzidi Mungu wa wakristooo?!
Hivi kumbe Answar ndio Waislam halisiSwali lako Nimekujibu kuwa hao usiwanasibishe na pure answar Muslims kwasababu wamekiuka mafundisho ya dini ya kiislam kwahyo si waislam ni makafir nyuma ya pazia.
Umeelewa