fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,023
- 5,000
nikurekebishe ,kuvaa hijabu ni utamaduni wa kiarabu tofautisha uarabu na uislam.arabuni hata asiye muislam navaa kanzu au hijabMafundisho ya biblia yanasapoti uislam.
Ukiifata biblia mafundisho yake moja kwa moja unaingia kwenye uislam.
Kuanzia kuvaa hijabu
Kuswali.
Kuchukua udhu.
Kuvua viatu mahali patakatifu hayo yote ni mafunzo ambayo yapo kwenye biblia ndo yapo kwenye uislam
pili swala la kuvua viatu hakuna sehemu yoyote iwe kwenye quran au hadith inayosema muislam avue viatu sehemu ya ibada kama unayo ukiweka hapa leoleo nitasilimu na kuwa muislam