Israel yamkamata waziri mtukutu kutoka Palestine ananyea ndoo siku ya tatu leo

Na ukiangalia kwa zama za sasa tunaneba najis nyingi tutembeapo barabarani.
Kwahiyo tukaamua kufata kauli ya pili au kitendo cha mtume kuvua viatu pindi vina najis ili aswali.
Ila pia tungeamua kuvisugua ktk mchanga ili najis itoke sawa tungeswali navyo pia.
Kwahiyo kaka yote yajuzu.
nipe hilo andiko linalosema mtume alivua viatu ,au sehemu aliposema watu wakiswali wavue viatu .au nipe andiko lolote linaloelekeza mtu akiswali avue viatu.
NB .usinipe maelezo yako wewe kutoka kichwani mwako cjui viatu vinabeba matope hapana naomba nipe andiko lolote
 
Lete ushahidi kutoka Quran.
Maana hawa walishakatazwa maandamano na. Kupigwa mabomu ya machoz na risasi za mpira kuwatawanya ushoga wao.
Na serikali ya Turkey imekemea vikali mpk kuwapiga hawa ndio maana wanaandamana.
Na huko Suudia wanachinjwa kabbisa.
Aya nambie ww kuhusu Anglican kufungisha ndoa za UFIRANAJI.
Nambie kuhusu Telaviv kuruhusu sherehe za ushoga.
Kuna utofauti wa Turkey anayepinga aya mambo na Telaviv na Anglican anaye support aya mambo
Islam is Love

Allah anawapenda wote Wallah


Wabillah Tawfiq

View attachment 1151906View attachment 1151907
 
Na ukiangalia kwa zama za sasa tunaneba najis nyingi tutembeapo barabarani.
Kwahiyo tukaamua kufata kauli ya pili au kitendo cha mtume kuvua viatu pindi vina najis ili aswali.
Ila pia tungeamua kuvisugua ktk mchanga ili najis itoke sawa tungeswali navyo pia.
Kwahiyo kaka yote yajuzu.
ok nimekuelewa lakini tukubaliane mpaka hapo umeshindwa kunipa andiko lolote linalotaka mtu kuswali bila viatu,sio umeshindwa ila andiko hilo hakuna si kwenye quran ,hadithi wala kitabu chochote .kwahiyo jaribu kuwaelimisha wenzako wasioelewa kwamba kuswali na viatu au bila viatu ni utashi na busara za mtu tu na wala hakuna andiko linalolazimisha kuvua au kuvaa.
 
Unakumbuka nilikwambia kwamba uislam unaendeshwa na sunnah za mtume pia baada ya kuran.?!
Na mtume alisema tuswali kama tulivyomwona yeye akiswali.
Na nikakwambia mtu anatakiwa avue viatu kutokana na kubeba najis .

KUSWALI NA VIATU MSIKITINI ::::::::::
ﻋَﻦْ ﺃَﺑِﻲ ﺳَﻌِﻴﺪٍ ﺍﻟْﺨُﺪْﺭِﻱِّ، ﻗَﺎﻝَ ﺑَﻴْﻨَﻤَﺎ ﺭَﺳُﻮﻝُ ﺍﻟﻠَّﻪِ ‏( ﷺ ‏) ﻳُﺼَﻠِّﻲ ﺑِﺄَﺻْﺤَﺎﺑِﻪِ ﺇِﺫْ ﺧَﻠَﻊَ ﻧَﻌْﻠَﻴْﻪِ ﻓَﻮَﺿَﻌَﻬُﻤَﺎ ﻋَﻦْ ﻳَﺴَﺎﺭِﻩِ ﻓَﻠَﻤَّﺎ ﺭَﺃَﻯ ﺫَﻟِﻚَ ﺍﻟْﻘَﻮْﻡُ ﺃَﻟْﻘَﻮْﺍ ﻧِﻌَﺎﻟَﻬُﻢْ ﻓَﻠَﻤَّﺎ ﻗَﻀَﻰ ﺭَﺳُﻮﻝُ ﺍﻟﻠَّﻪِ ‏( ﷺ ‏) ﺻَﻼَﺗَﻪُ ﻗَﺎﻝَ " ﻣَﺎ ﺣَﻤَﻠَﻜُﻢْ ﻋَﻠَﻰ ﺇِﻟْﻘَﺎﺋِﻜُﻢْ ﻧِﻌَﺎﻟَﻜُﻢْ " . ﻗَﺎﻟُﻮﺍ ﺭَﺃَﻳْﻨَﺎﻙَ ﺃَﻟْﻘَﻴْﺖَ ﻧَﻌْﻠَﻴْﻚَ ﻓَﺄَﻟْﻘَﻴْﻨَﺎ ﻧِﻌَﺎﻟَﻨَﺎ . ﻓَﻘَﺎﻝَ ﺭَﺳُﻮﻝُ ﺍﻟﻠَّﻪِ ‏( ﷺ ‏) " ﺇِﻥَّ ﺟِﺒْﺮِﻳﻞَ ﺻﻠﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺳﻠﻢ ﺃَﺗَﺎﻧِﻲ ﻓَﺄَﺧْﺒَﺮَﻧِﻲ ﺃَﻥَّ ﻓِﻴﻬِﻤَﺎ ﻗَﺬَﺭًﺍ " . ﻭَﻗَﺎﻝَ " ﺇِﺫَﺍ ﺟَﺎﺀَ ﺃَﺣَﺪُﻛُﻢْ ﺇِﻟَﻰ ﺍﻟْﻤَﺴْﺠِﺪِ ﻓَﻠْﻴَﻨْﻈُﺮْ ﻓَﺈِﻥْ ﺭَﺃَﻯ ﻓِﻲ ﻧَﻌْﻠَﻴْﻪِ ﻗَﺬَﺭًﺍ ﺃَﻭْ ﺃَﺫًﻯ ﻓَﻠْﻴَﻤْﺴَﺤْﻪُ ﻭَﻟْﻴُﺼَﻞِّ ﻓِﻴﻬِﻤَﺎ " .
ﺣﻜﻢ : ﺻﺤﻴﺢ ‏( ﺍﻷﻟﺒﺎﻧﻲ )
Kutoka kwa Abu Sa’id Al Khudri ( ﺭﺿﻲ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻨﻪ ) Mtume ( ﷺ) alikuwa akiswali na masahaba, alivua viatu vyake na akaviweka kushoto kwake; walipoona hivyo (maswahaba) na owakavua viatu vyao. Alipomaliza swala Mtume (ﷺ ) akauliza; nini kilichokufanyeni muvue viatu vyenu? Wakajibu tumekuona wewe ukivua na sisi tukavua. Mtume (ﷺ ) akasema Jbiril ( ﻋﻠﻴﻪ ﺍﻟﺴﻠﻢ ) amenijia na kunijulisha kuwa (viatu vyangu) vilikuwa na uchafu. Na akasema anapokuja mmoja wenu msikitini atazame na akiona uchafu (kwenye viatu) na avisafishe na kuswali navyo.
hahaaaaaaa dah nimefurahi sana ,kwahiyo wewe unafata aliyosema mtume hapo mwisho au unafata wanayosema waliomuona.mi nadahni kauli ya mtume ndio ya kwanza kufuatwa kama hakuna tamko la mtume tutasikiliza maneno ya maswahaba
 
hahaaaaaaa dah nimefurahi sana ,kwahiyo wewe unafata aliyosema mtume hapo mwisho au unafata wanayosema waliomuona.mi nadahni kauli ya mtume ndio ya kwanza kufuatwa kama hakuna tamko la mtume tutasikiliza maneno ya maswahaba
Mkuu wapi wewe huelewi?!
Huruhusiwi kuswali na viatu kama vina uchafu ndani yake.
Ndio maana mtume akatoa angalizo kuwa mtu akiwa anataka kuswali atizame viatu vyake.
Na watu wakaamua kumfata yeye kwasababu yeye alivua moja kwa moja ili kuepusha shari kamili.
Na kumfata yeye ni sunnah na inatakiwa kwasababu yeye ndiye aliyekuwa mwalimu wetu
 
Kaka unakosea kusema nimeshindwa wala hakuna kitabu chochote kinachosema tuvue viatu.
Ngojea nikupe maandiko ya salafi umma kuhusu uvuaji wa viatu msikitini.
ok nimekuelewa lakini tukubaliane mpaka hapo umeshindwa kunipa andiko lolote linalotaka mtu kuswali bila viatu,sio umeshindwa ila andiko hilo hakuna si kwenye quran ,hadithi wala kitabu chochote .kwahiyo jaribu kuwaelimisha wenzako wasioelewa kwamba kuswali na viatu au bila viatu ni utashi na busara za mtu tu na wala hakuna andiko linalolazimisha kuvua au kuvaa.
 
hahaaaaaaa dah nimefurahi sana ,kwahiyo wewe unafata aliyosema mtume hapo mwisho au unafata wanayosema waliomuona.mi nadahni kauli ya mtume ndio ya kwanza kufuatwa kama hakuna tamko la mtume tutasikiliza maneno ya maswahaba
NAKUAMBIA TENA KAKA,UISLAM UNAONGOZWA NA QUR,AN,SUNNAH ZA MTUME (HADITH NA MIENENDO YAKE) NA NUKUU ZA ULAMAAU AMA SALAFI UMMA KUTOKA KWA MTUME.
NA HIZI NI NUKUU ZA SALAFI UMMA KUTOKA KWA MTUME KUWA INAFAA MTU UVUE VIATU UKISWALI KULIKO KUVAA.

Je kusali na viatu ni katika Sunna?
ﺍﻟﺴﺆﺍﻝ : ﻫﻞ ﺍﻟﺼﻼﺓ ﺑﺎﻟﺤﺬﺍﺀ ﻣﻦ ﺍﻟﺴﻨﺔ؟
JAWABU ﺍﻟﺠﻮﺍﺏ
Muisilaamu anatakiwa akitaka kuingia katika sala anatakiwa kuiandaa nafsi yake, mwili wake, pahala pa kusalia, na vazi lake pia.
ﺍﻟﻤﺴﻠﻢ ﻳﺆﻣﺮ ﺇﺫﺍ ﺃﺭﺍﺩ ﺍﻟﺼﻼﺓ ﺃﻥ ﻳﻬﻴﺊ ﻧﻔﺴﻪ، ﺑﺪﻧﻪ ، ﻣﻜﺎﻥ ﺻﻼﺗﻪ، ﻭﻟﺒﺎﺳﻪ ﺃﻳﻀﺎ.
Kuhusu kusali na viatu jambo hili halipewi hukmu kiwa ni Sunna ambayo wanatakiwa waisilaamu kuifanya.
ﺃﻣﺎ ﻋﻦ ﺍﻟﺼﻼﺓ ﺑﺎﻟﺤﺬﺍﺀ ﻓﺈﻥ ﻫﺬﺍ ﺍﻻﻣﺮ ﻻ ﻳﻌﻄﻰ ﺣﻜﻢ ﺳﻨﺔ ﻳﻄﻠﺐ ﺍﻟﻨﺎﺱ ﺑﻔﻌﻠﻬﺎ.
Hii inaingia katika hukmu ya kuwa inajuzu kusali na viatu , lakini kujuzu huko kuna patikana katika hali kama zifuatazo:
ﻫﺬﺍ ﻳﺪﺧﻞ ﻓﻲ ﺟﻤﻠﺔ ﺟﻮﺍﺯ ﺍﻟﺼﻼﺓ ﺑﺎﻟﺤﺬﺍﺀ، ﻭﻟﻜﻦ ﻫﺬﺍ ﺍﻟﺠﻮﺍﺯ ﻳﻜﻮﻥ ﻓﻲ ﺍﻟﺤﺎﻻﺕ ﻛﺎﻟﺘﺎﻟﻴﺔ :
1- Ikiwa anasali pahala ambapo hawezi kusimama ila akiwa amevaa viatu: kama ardhi iliyo chemka kwa sababu ya jua, au sehemu yenye jangwa na mawe yenye ncha.
ﺇﺫﺍ ﻛﺎﻥ ﺃﺣﺪ ﻻ ﻳﺴﺘﻄﻴﻊ ﺃﻥ ﻳﻘﻮﻡ ﻟﻠﺼﻼﺓ ﺇﻻ ﻭﻫﻮ ﻳﻨﺘﻌﻠﻪ؛ ﻛﻤﺎ ﺇﺫﺍ ﺃﺭﺽ ﺳﺎﺧﻨﺔ، ﺃﻭ ﺻﺤﺮﺍﺀ ﺑﺎﻧﺖ ﺃﻃﺮﺍﻑ ﺍﻟﺤﺠﺎﺭﺓ ﻣﻨﻬﺎ .
2- Akiwa ni katika safari na akashindwa kuvua viatu.
ﺇﺫﺍ ﻛﺎﻥ ﻋﻠﻰ ﺳﻔﺮ ﻭﻻ ﻳﺘﻤﻜﻦ ﻣﻦ ﺧﻠﻊ ﺍﻟﺤﺬﺍﺀ .
Amma akiwa katika hali ya kawaida basi hakuna ubora wala ruhusa ya kusali na viatu.
ﺃﻣﺎ ﺇﺫﺍ ﻛﺎﻥ ﻓﻲ ﺣﺎﻟﺔ ﻋﺎﺩﻳﺔ ﻓﻠﻴﺲ ﺛﻢ ﻓﻀﻞ ﻭﻻ ﺇﺫﻥ ﻓﻲ ﺍﻟﺼﻼﺓ ﺑﺎﻟﺤﺬﺍﺀ .
Na hasa ukitazama hikma ya kusali na viatu katika zama hizi hakuna, kwa sababu misikiti yote iko katoka hali nzuri, na kuingia na viatu kuna haribu hali ya msikiti.
ﻭﺧﺎﺻﺔ ﺇﺫﺍ ﻧﻈﺮﺕ ﺇﻟﻰ ﺍﻟﺤﻜﻤﺔ ﻣﻦ ﺍﻟﺼﻼﺓ ﺑﺎﻟﺤﺬﺍﺀ ﻓﻲ ﻋﺼﺮﻧﺎ ﻏﻴﺮ ﻣﻮﺟﻮﺩﺓ، ﻭﺫﻟﻚ ﻟﺤﺴﻦ ﺣﺎﻝ ﺍﻟﻤﺴﺎﺟﺪ، ﻓﺎﻟﺪﺧﻮﻝ ﺑﺎﻟﺤﺬﺍﺀ ﻓﻴﻪ ﺇﻓﺴﺎﺩ ﻟﻠﻤﺴﺠﺪ .
Kisha viatu vilivyo ruhusiwa vina masharti yake maalumu , na miongoni mwayo ni:
ﺛﻢ ﺇﻥ ﺍﻟﺤﺬﺍﺀ ﺍﻟﺬﻱ ﺭﺧﺺ ﺑﻠﺒﺴﻪ ﻟﻪ ﺷﺮﻭﻁ ﻭﻣﻮﺍﺻﻔﺎﺕ ﺧﺎﺻﺔ ، ﻣﻨﻬﺎ :
1- Viwe havina soli refu.
ﺃﻥ ﻻ ﻳﻜﻮﻥ ﻣﺘﻨﻪ ﺃﻭ ﻛﻌﺒﻪ ﻣﺮﺗﻔﻌﺎ .
2- Viwe vimelingana vyote na awe sawa mwenye kuvivaa ikiwa atasimama.
ﺃﻥ ﻳﻜﻮﻥ ﻣﺘﺴﺎﻭﻳﺎ ﻛﻼﻫﻤﺎ ﺑﺤﻴﺚ ﻳﺴﺘﻘﻴﻢ ﻃﻮﻻ ﻣﻦ ﻟﺒﺴﻬﻤﺎ .
3- Viwe wazi sehemu za mbele, ili vidole viguse ardhi wakati wa kusujudu.
ﺃﻥ ﻳﻜﻮﻥ ﻣﻔﺘﻮﻣﺎ ﻣﻦ ﺃﻣﺎﻣﻪ ﺑﺤﻴﺚ ﺃﺻﺎﺑﻊ ﺍﻟﻘﺪﻣﻴﻦ ﺗﻤﺲ ﺍﻷﺭﺽ ﻓﻲ ﺳﺠﻮﺩﻩ .
Naam
Mtume s.a.w aliswali siku hali ya kiwa amevaa viatu, kisha akaijiwa na Jibriil na kumuambia kuwa " Vua kiatu chako kwa sababu kimechukua najisi"
ﻧﻌﻢ؛
ﺻﻠﻰ ﺭﺳﻮﻝ ﺍﻟﻠﻪ ﺻﻠﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺳﻠﻢ ﻭﻫﻮ ﻣﻨﺘﻌﻞ، ﺣﺘﻰ ﺟﺎﺀﻩ ﺟﺒﺮﻳﻞ ﻋﻠﻴﻪ ﺍﻟﺴﻼﻡ ﻭﻗﺎﻝ ﻟﻪ : ﺍﺧﻠﻊ ﻧﻌﻠﻚ ﻓﺈﻥ ﺑﻬﺎ ﻗﺬﺍﺓ - ﻧﺠﺎﺳﺔ "
Kwa hiyo hakuna ulazima wa kuvaa viatu katika sala, na ikiwa atavaa mtu viatu katika sala viatu vyenye sifa ambazo hazipelekei kuharibu sala, hatopata dhambi, japokuwa bora zaidi ni kuacha kufanya hivyo.
ﺇﺫﻥ ﻟﻴﺲ ﻫﻨﺎﻙ ﻟﺰﻭﻡ ﻟﺒﺲ ﺍﻟﺤﺬﺍﺀ ﻓﻲ ﺍﻟﺼﻼﺓ، ﻭﻣﻦ ﺻﻠﻰ ﺑﺎﻟﺤﺬﺍﺀ ﺍﻟﺬﻱ ﺍﺳﺘﻜﻤﻞ ﺗﻠﻚ ﺍﻟﺼﻔﺎﺕ ﺍﻟﺘﻲ ﻻ ﺗﻮﺟﺐ ﻓﺴﺎﺩ ﺍﻟﺼﻼﺓ، ﻓﺈﻧﻪ ﻻ ﻳﺄﺛﻢ، ﻭﺇﻥ ﻛﺎﻥ ﺍﻷﻭﻟﻰ ﺗﺮﻙ ﺍﻟﺘﻨﻌﻞ .
Mtume s.a.w hakuhimiza watu wavae viatu katika sala hata mara moja katika uhai wake.
ﺍﻟﻨﺒﻲ ﺻﻠﻰ ﺭﺳﻮﻝ ﺍﻟﻠﻪ ﺻﻠﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺳﻠﻢ ﻟﻢ ﻳﺤﺚ ﺍﻟﻨﺎﺱ ﻋﻠﻰ ﻟﺒﺲ ﺍﻟﺤﺬﺍﺀ ﻓﻲ ﺍﻟﺼﻼﺓ ﻣﺪﻯ ﺟﻴﺎﺗﻪ .
Wala maswahaba r.a hawakuwa wakihimizana kusali na viatu katika misikiti.
ﻭﻻ ﺍﻟﺼﺤﺎﺑﺔ ﺭﺿﻮﺍﻥ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻬﻢ ﻣﺎ ﻛﺎﻧﻮﺍ ﻳﺸﺠﻌﻮﻥ ﺑﻌﻀﻬﻢ ﺑﻌﻀﺎ ﻋﻠﻰ ﻟﺒﺲ ﺍﻟﺤﺬﺍﺀ ﻓﻲ ﺍﻟﺼﻼﺓ ﻓﻲ ﺍﻟﻤﺴﺎﺟﺪ .
Wala hakuna fadhila zozote zimetajwa katika kusali na viatu.
ﻭﻟﻴﺲ ﻫﻨﺎﻙ ﻓﻀﺎﺋﻞ ﺗﺬﻛﺮ ﺃﻭ ﺫﻛﺮﺕ ﻋﻦ ﻟﺒﺲ ﺍﻟﺤﺬﺍﺀ ﻓﻲ ﺍﻟﺼﻼﺓ .
Hii inaonyesha wazi kuwa jambo hili lilikuwa kwa mujibu wa hali tu inapo lazimu, na wala haikuwa ni jambo la lazima wala fadhila kulifanya.
ﻭﻫﺬﺍ ﻳﺪﻝ ﺟﻠﻴﺎ ﻋﻠﻰ ﺃﻥ ﺫﻟﻚ ﻛﺎﻥ ﻋﻠﻰ ﻣﻘﺘﻀﻰ ﺍﻟﺤﺎﻝ ﻓﻲ ﺯﻣﺎﻧﻬﻢ، ﻭﻟﻢ ﻳﻜﻦ ﻻﺯﻣﺎ ﻭﻻ ﻓﻀﻞ ﻓﻲ ﻓﻌﻠﻪ .
Na dalili ya hayo pia ni katika uhalisia wa misikiti yote ukimwenguni, ambayo imeshikama na Qurani na Sunna, hawaruhusu kusali watu na viatu msikitini, wala kutufu navyo katika Al kaaba.
ﻭﺍﻟﺪﻟﻴﻞ ﻋﻠﻰ ﺫﻟﻚ ﺃﻳﻀﺎ ﻭﺍﻗﻊ ﺟﻤﻴﻊ ﺍﻟﻤﺴﺎﺟﺪ ﻓﻲ ﺍﻟﻌﺎﻟﻢ، ﺍﻟﺘﻲ ﺗﺘﻤﺴﻚ ﺑﺎﻟﻘﺮﺁﻥ ﻭﺍﻟﺴﻨﺔ، ﻻ ﺗﺴﻤﺢ ﻟﻠﻨﺎﺱ ﺑﺎﻟﺼﻼﺓ ﻓﻲ ﺍﻟﻤﺴﺎﺟﺪ ﺑﺄﺣﺬﻳﺘﻬﻢ، ﻭﻻ ﺍﻟﻄﻮﺍﻑ ﺑﻬﺎ ﺣﻮﻝ ﺍﻟﻜﻌﺒﺔ .
Ni ajabu kuwepo baadhi ya watu wameshikilia jambo hili kwa nguvu kulifanya kana kwamba ni nguzo katika nguzo za sala, au sharti miongoni mwa masharti yake.
ﻓﻴﺎ ﻋﺠﺒﺎ ﻣﻤﻦ ﻳﺘﻤﺴﻚ ﺑﻬﺬﻩ ﺍﻟﻤﺴﺄﻟﺔ ﺗﺮﺧﻴﺼﺎ ﻓﻲ ﻓﻌﻠﻬﺎ ﻭﻛﺄﻧﻬﺎ ﺭﻛﻦ ﻣﻦ ﺃﺭﻛﺎﻥ ﺍﻟﺼﻼﺓ ، ﺃﻭ ﺷﺮﻁ ﻣﻦ ﺷﺮﻭﻃﻬﺎ .
Bali ukitazama hata katika Sheria ya Nabii Muusa a.s aliambiwa na Allaah sw:
" Hakika Mimi ndiye Mola wako Mlezi! Basi vua viatu vyako. Kwani upo katika bonde takatifu la T'uwa."
ﺣﺘﻰ ﺇﺫﺍ ﻧﻈﺮﺕ ﻓﻲ ﺷﺮﻳﻌﺔ ﻣﻮﺳﻰ ﻋﻠﻴﻪ ﺍﻟﺴﻼﻡ، ﻓﻘﺪ ﺃﺧﺒﺮﻩ ﺍﻟﻠﻪ ﺗﻌﺎﻟﻰ ﻛﻤﺎ ﻓﻲ ﺍﻵﻳﺔ :
( ﺇِﻧِّﻲ ﺃَﻧَﺎ ﺭَﺑُّﻚَ ﻓَﺎﺧْﻠَﻊْ ﻧَﻌْﻠَﻴْﻚَ ۖ ﺇِﻧَّﻚَ ﺑِﺎﻟْﻮَﺍﺩِ ﺍﻟْﻤُﻘَﺪَّﺱِ ﻃُﻮًﻯ )
 
Kumbuka sunnah ni hadith na MIENENDO ya maisha ya mtume.
Ndio maana alisema "swalini kama mnavyoniona nikiswali"
It means yeye ni kigezo chetu.
Kufata kitendo chake inafaa pia.
Kwasababu most of time mtume alikua akivua viatu kuepusha shari kamili ya kuswali na najis.
Ndio maana kupitia kitendo chake watu wakafuata kuliko hata maneno.
Maana vitendo vina nguvu kushinda maneno
Na watu wakajiwekea utaratibu wa kuvua viatu pindi waingiapo msikitini kwasababu walimuona mtume akifanya hvyo most of time.
hahaaaaaaa dah nimefurahi sana ,kwahiyo wewe unafata aliyosema mtume hapo mwisho au unafata wanayosema waliomuona.mi nadahni kauli ya mtume ndio ya kwanza kufuatwa kama hakuna tamko la mtume tutasikiliza maneno ya maswahaba
 
Huwez sema utashi ww.
Ni kulingana na mafundisho ya sunnah za mtume.
ok nimekuelewa lakini tukubaliane mpaka hapo umeshindwa kunipa andiko lolote linalotaka mtu kuswali bila viatu,sio umeshindwa ila andiko hilo hakuna si kwenye quran ,hadithi wala kitabu chochote .kwahiyo jaribu kuwaelimisha wenzako wasioelewa kwamba kuswali na viatu au bila viatu ni utashi na busara za mtu tu na wala hakuna andiko linalolazimisha kuvua au kuvaa.
 
Lete ushahidi kutoka Quran.
Maana hawa walishakatazwa maandamano na. Kupigwa mabomu ya machoz na risasi za mpira kuwatawanya ushoga wao.
Na serikali ya Turkey imekemea vikali mpk kuwapiga hawa ndio maana wanaandamana.
Na huko Suudia wanachinjwa kabbisa.
Aya nambie ww kuhusu Anglican kufungisha ndoa za UFIRANAJI.
Nambie kuhusu Telaviv kuruhusu sherehe za ushoga.
Kuna utofauti wa Turkey anayepinga aya mambo na Telaviv na Anglican anaye support aya mambo
Wamekatazwa maandamano wakati misikiti inayoongozwa na Mashekhe ambao ni Mashoga ndio yenye waumini wengi kwa Sasa hata USA na CANADA.

Unamjua Imam shoga aitwaye DAAIYE ABDULLAH ?

Unamjua IMMAM SHOGA aitwaye NUR WARSAME?

Hao wana waumini wengi mno na misikiti yao inaendelea kutoa huduma.
 
Kuwa westerners hajubadilishi UKWELI kuwa ni Waislam.
Mtume alisema"Uislam utagawanyika makundi 73,isipokuwa kundi moja tu ndilo litaingia peponi,Ni wale watakaosimama na Qur,an na mafundisho yangu sahihi"
Hao hawako na mafundisho sahihi ya Qur,an na sunnah za Mtume Muhammad.
Na uislam unakemea ushoga ndio maana hata serikali ya Turkey inapiga hao watu na Suudia inawachinja.
Kama inafaa kwann Answar wanawachinja hao watu?
Kwann waislam wenzao Turkey wanawapiga hao watu?
Ndio ujue hao washakufurishwa sio waislam tena kwa mujibu wa mafundisho ya mtume na Quran
Sawa jamaa?!
 
Nimekujibu kwa post ya hapo juu.
Hao hawafungamani na Sheria za kiislam za answar pure muslims.
Washakufurishwa hao sio waislam.

Wamekatazwa maandamano wakati misikiti inayoongozwa na Mashekhe ambao ni Mashoga ndio yenye waumini wengi kwa Sasa hata USA na CANADA.

Unamjua Imam shoga aitwaye DAAIYE ABDULLAH ?

Unamjua IMMAM SHOGA aitwaye NUR WARSAME?

Hao wana waumini wengi mno na misikiti yao inaendelea kutoa huduma.
 
Kumbe huyo Daaiye mwenyewe anafanya kaz ktk office za Governor Jerry Brown ktk utetezi wa ushoga na usagaji?!
Hawa watu pandikizi ndio unawafananisha na waislam?
Na watu wenyewe chaajabu wapo watano tu aisee.
Uone wanajaribu kuchafua dini ila haikubaliki.
Wamekatazwa maandamano wakati misikiti inayoongozwa na Mashekhe ambao ni Mashoga ndio yenye waumini wengi kwa Sasa hata USA na CANADA.

Unamjua Imam shoga aitwaye DAAIYE ABDULLAH ?

Unamjua IMMAM SHOGA aitwaye NUR WARSAME?

Hao wana waumini wengi mno na misikiti yao inaendelea kutoa huduma.
 
kwani ukiambia uvue viatu MAHALI PATAKATIFU WEWE UNAELEWA NINI?
nikurekebishe ,kuvaa hijabu ni utamaduni wa kiarabu tofautisha uarabu na uislam.arabuni hata asiye muislam navaa kanzu au hijab
pili swala la kuvua viatu hakuna sehemu yoyote iwe kwenye quran au hadith inayosema muislam avue viatu sehemu ya ibada kama unayo ukiweka hapa leoleo nitasilimu na kuwa muislam
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom