Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,183
- 10,920
Hamas iliyokuwa ikisubiriwa itoe majibu juu ya mkataba wa kusitisha vita hatimae wamekubali kwenda Misri kumalizia majadiliano ya mkataba huo.
Huku Hamas na wapatanishi wengine wakiwa wameshawasili Cairo,ghafla Israel imeomba wachungulie orodha ya Hamas ya mateka iliyobaki nao na ambao wakao hai.
Vyombo vya habari vya Israel vimelalamika kuwa Hamas nao wamekataa kuonesha orodha hiyo kabla ya muda wa kikao hicho cha upatanishi.
Ombi hilo la Israel lina maana nyingi na kubwa zaidi ni kuwa nchi hiyo imekata tamaa juu ya kufikia malengo yake ya kivita iliyojiwekea kwa njia walizochagua.
Maana nyengine ni kuzidi kunywea kwa ubabe wa Israel baada ya takriban miezi mitano ya vita.
Huku Hamas na wapatanishi wengine wakiwa wameshawasili Cairo,ghafla Israel imeomba wachungulie orodha ya Hamas ya mateka iliyobaki nao na ambao wakao hai.
Vyombo vya habari vya Israel vimelalamika kuwa Hamas nao wamekataa kuonesha orodha hiyo kabla ya muda wa kikao hicho cha upatanishi.
Ombi hilo la Israel lina maana nyingi na kubwa zaidi ni kuwa nchi hiyo imekata tamaa juu ya kufikia malengo yake ya kivita iliyojiwekea kwa njia walizochagua.
Maana nyengine ni kuzidi kunywea kwa ubabe wa Israel baada ya takriban miezi mitano ya vita.