Israel opened masjid Ebrahim as

Israel opened masjid Ebrahim as

Alipaa Kwenye anga la wapi acheni uongo.Mlivyosikia yesu kapaa nanyi mkampaisha Muhammad.We toka uzaliwe umemuona nani kapaa.Wanga tu ndio huwa wanapaa tena hawaonekani.
K wa mujibu wa The laws of nature mwanadamu hawezi paa isipokuwa ndege tu muwe mnawaza hata kidogo kuliko kukubali kila kitu kisa tu umekatazwa kuhoji kwa kisingizio utapata dhambi
Kwa taarifa yako hata Nabii Mwingira wa Efatha anadai amepaa, tena kwa maandishi (ana kitabu) na wakiristo kibao wapo hapo kwake ! Kamuulize na yeye mbona amepaa kama Yesu ? scooman
 
Ubishi wa dini uliopo ni wa ajabu kabisa maana wote humu mnatetea ukristo na uislam mnashindwa kutetea dini yenu. Ukristo ulikua utamaduni wa Hao wazungu wakauweka kwenye maandishi na kuuleta kwenye bara Giza Africa. Uislamu ulikua utamaduni wa waarabu nao wakauleta bars Giza.

Cha kushangaza hawa watu Giza kutokana na ugiza wao wakapokea Giza lililoletwa na sasa wanabishana unafikiri wamekunywa juice ya mahindi yaliyooza( pombe za kienyeji)
Mjiulize mungu wenu kwa nini mmeamua kumuacha?
Dini zenu za kiafrika kwa nini mmeamua kuziacha?
Dini za wazungu na waarabu ni bora kuliko dini zetu?
Au mmeziacha kwa kuwa manabii wetu na mitume wetu waafrika hawakujua kuandika na kusoma?
Je kisingizio ni historia haikuachwa?
He hamjui kuwa alisimia Kubwa ya viongozi na wanaojiita naamini wa dini hizo za kuja yakiwashinda wa naenda kumuomba mungu wa bara letu?
Kwa nini wewe uendelee kuamini vitu vya watu na kusahau cha kwako?
TAFAKARI BILA YA MIHEMKO
 
Inamdhalilisha nani? Hebu fafanua kidogo isijekua umekaririshwa kama jamaa zangu Fulani walikaririshwa wakaenda kukata suruali zao zikawa fupi baada ya kutambua ukweli wakaanza kujutia
suruali fupi na ndevu siku hz fashion..mtazame domo na messi
 
aise mbona sioni madhumuni ya hii thread?! so nowdays are men regard themselves 2b boyz....?!
 
Tusaidia maana naona hapa wengine wanavyoongea kama chenga vile
Wana Israel walikuwa waislam.na kila binadamu anatakiwa awe muislam.Islam ni neno la kiarabu lenye maana kujinyenyekeza au kujisalimisha kwa mungu mmoja.
Sasa basi turudi kwa musa na waisrael.
Musa alikuwa muislam akaja kuwafundisha wana Israel uislam.walimsumbua sana kiasi cha kwamba wengine walilaaniwa na mungu wakawa masokwe ilifikia mungu akaamua kuwekeana nao ahadi soma hizo aya
dc5df6b80995746d7fb0c217d581bfb8.jpg

Wachache walimuamini musa na wengi hawakumuamini wakabaki na ibada zao za masanamu akaja yesu hivyo hivyo mpaka wakataka kumuua lakini hawakumuua.
Ndo akaja Muhammad ndo Leo unaona uislam upo huko Israel kwa kiasi hicho.swali kama unalo.
 
Tusaidia maana naona hapa wengine wanavyoongea kama chenga vile
Adam ndo Muislaam wa kwanza na Yesu ni Muislam (ni kwa mujibu ya mafundisho ya Uislam - Doctrine)
Si suala la wewe kukataa au kukubali !
 
Wana Israel walikuwa waislam.na kila binadamu anatakiwa awe muislam.Islam ni neno la kiarabu lenye maana kujinyenyekeza au kujisalimisha kwa mungu mmoja.
Sasa basi turudi kwa musa na waisrael.
Musa alikuwa muislam akaja kuwafundisha wana Israel uislam.walimsumbua sana kiasi cha kwamba wengine walilaaniwa na mungu wakawa masokwe ilifikia mungu akaamua kuwekeana nao ahadi soma hizo aya
dc5df6b80995746d7fb0c217d581bfb8.jpg

Wachache walimuamini musa na wengi hawakumuamini wakabaki na ibada zao za masanamu akaja yesu hivyo hivyo mpaka wakataka kumuua lakini hawakumuua.
Ndo akaja Muhammad ndo Leo unaona uislam upo huko Israel kwa kiasi hicho.swali kama unalo.

Non sense,matapishi tu haya
 
Bila shaka hao ni yakobo, ibrahim na yusufu Mababa wa Imani ya ukristo.
Inaonekana kama unataka kujenga picha kwamba hao walikuwa waislamu. Halafu kitabu kilichoandika habari za hao wahenga ambacho ni Bible hakijawaita hao watu ni mitume .

Waislamu hicho kitabu si chenu mnalazimisha tu kionekane kinautambua uislamu kibaya zaidi mnajaribu kukipindisha kutoka kwenye unyoofu wake.Mbona ukristo hautasfiri Quran kama nyie mnavyotoka na mishipa ya shingo kwa kutafsiri Bible.
Juzi tu nimepita sehemu nimekuta mtu kavaa baragashia mishipa Ya shingo imemtoka anahoji kwanini yesu anaitwa Emmanuel
Ulimjibu hilo swali !? Tatizo mmekalia Yesu nibebe ...nibebee...nibembeleze ! Dini hamsomi.
 
mkuu mpaka leo kwani hujui kama israeli ipo katikati ya nchi za kiarabu?

na si kila muisraeli dini yake ni ya kiyahudi kama kumbukumbu zangu zipo sahihi 10 mpaka 15% ya waisraeli ni waumini wa dini ya kiisilamu.

waarabu na waisraeli wote wanatokana kwa Ibrahim, ambaye alizaa watoto wawili, Ismail na Is'haq.

ismail ndio mpaka kizazi chake anakuja kutokea Mtume muhamad, ni kizazi cha waarabu.

Is'haq mpaka kwa yaakub, yusuf, musa hadi yesu ni kizazi cha waisrael.

Hilo eneo Hapo lina historia za Dini zote mbele unaweza ongeza na ukristo ukaeka dini tatu, ndio maana kuna ugomvi kila siku.
Unataka kutuaminisha kwamba waarab wote ni zao la ishamael?unahakika na unachokisema?
 
Sikilizeni nyinyi : UKIRISTU na UYAHUDI ni Uislamu wa Kale.

Uislam wa Leo ni Uislam wa Sasa!

Msipoyaelewa haya, mtapata shida sana, mtagawanywa sana na mtashindwa kuelewa kuwa kimsingi Msingi wa Dini zetu ni moja tu nayo ni KUJISALIMISHA kwa Mwenyezi Mungu Muumba mbingu na nchi!!

Ni kama vile Unavyoona Windows Version za Microsoft, Kuna Windows 95, Windows XP and then Windows 10. Lakini zote ni Windows zilezile!, Kernel ni ileile!!

Ndiyo maana Waislamu husema kuwa Uislamu kwa watu ulianza toka adam Ila tu kila nabii anakuja na mafunzo yake!!!

Kwa maana hiyo, wewe unayenisoma hapa kama ni Mkiristu, Basi wewe ni Mfuasi wa Uislamu wa kabla ya Mtume Muhammad!
Islam ni dini ya kukopi na kuigaiga....kila siku mnapekua bible kutafuta vifungu vitakavyofanana na Quran. ......bila bible Quran haijakamilika.....haijitoshelezi!kwa sababu mtume wenu hakuweza kukopi yote yanayohusu wakristo&wayahudi
 
Kwa nn nisome tamaduni za watu wakati utamaduni wangu nmeuacha?
Sasa hiyo shida yako, kwa nini ulaumu wengine walio amua kutomia nature yao ya reasoning power (kusoma na kutafuta ukweli) kujifunza na kupata elimu nyingine !
 
Islam ni dini ya kukopi na kuigaiga....kila siku mnapekua bible kutafuta vifungu vitakavyofanana na Quran. ......bila bible Quran haijakamilika.....haijitoshelezi!kwa sababu mtume wenu hakuweza kukopi yote yanayohusu wakristo&wayahudi
Wewe unafuata version gani ya Biblia, King James, New Version, Agape, Gidion, Agano la Kale, Jipya, yenye Vitabu 66 au 73 !? mlekulechoma
 
possible, ila kuna waarabu 20% na waisilamu 17% hivyo inawezekana hao wakristo asilimia 2 wakawa waarabu, na katika hio 17% ya waisilamu kukawa na waisiraeli natives vile vile.

soma historia ya mtume madina, aliishi na wayahudi wengi na wengi wamesilimu mpaka leo wapo katika jamii za kiarabu middle east, asili yao ni uyahudi ila ni waisilamu.
Hii si kweli usidhani vitabu vyenu hatuvisomi!kwa nini mudy alibadili kibla akiwa madina?kilichomfanya akiwa anaswali makalio anayaelekeza Jerusalem na kichwa maka?
 
Back
Top Bottom