Mkuu soma vitabu vya MUNGU,...utaelewa...NABII IBRAHIM ndy kizazi cha NABII WAARABU kilipoanzia...IBRAHIM pamoja na MITUME yote waliopita walikuwa ni WAYAHUDI.kuanzia ADAM.NOEH.MUSSA...hadi kufika IBRAHIMU wote walikuwa wayahudi na walikuwa waislam...IBRAHIM alizaa watoto 2 ISMAIL ambaye alizaa na MJAKAZI WAKE(HAGRA) alikuwa ni MWARABU tena wa MISRI.....ndy kizazi cha MTUME kilipoanzia...na mtoto wa pili IS HAKA..alizaa na mkewe SARA ambaye alikuwa MYAHUDI ,na watoto wake wote WALIKUJA KUWA MITUME BAADAE.... kwann wayahudi hawawapendi waislam..ni kwamba baada ya MTUME IBRAHIM kukosa mtoto kwa miaka kadhaa,,,MKEWE akamshauri AMTWAE MJAKAZI wake HAGRA,...NDIPO kuzaliwa NABII ISMAIL....baadae walipita MALAIKA walikuwa wanatoka SODOMA na GOMOLA,,,wakamwambiya IBRAHIM mkeo bi SARA atapata UJAUZITO, ,,ndy akazaliwa IS HAKA,,baadaye bibi SARA akaanza WIVU..ikabidi MUNGU akamuamrisha IBRAHIM awatoe BIBI HAGRA na mwanawe ISMAIL...awapeleke JANGWANI ambako ni FALESTINE ndy kilichofanyika..na NABII IBRAHIM ndy aliyoujenga MSIKITI MKUBWA WA MAKHA ambao waislam tunakwenda kuhiji.hapo MAKHA ni pale alipoambiwa na MUNGU amchinje ISMAIL..amtoe SADAKA..ndipo MUNGU akambadikishia kumpa KONDOO INSTEAD OF ISMAIL.na huo msikiti uliofunguliwa na wayahudi ni ule msikiti ambao MTUME MUHAMAD(SAW)alianzia SAFARI YAKE YA KWENDA MBINGUNI kwa USIKU MMOJA NA KURUDI DUNIANI(tunaita safari ya MIRAJI)hivyo ni msikiti wenye HISTORIA KUBWA SN KWA WAISLAM..........SABABU INGINE ni baada ya VITA KUU YA DUNIA ,,,WAYAHUDI wengi walikimbilia MAREKANI ...hivyo basi HADI LEO wale WAYAHUDI walioko MAREKANI BADO WANAJIHESABU NI WAYAHUDI WAMAREKANI...ndy hao walioingia UPANDE WA PILI wakajiunga na wale wachache wa ISRAEL wakaanza CHUKI DHIDI YA WAISLAM...huo ndy USWAHIBA WA WAYAHUDI NA MAREKANI ,,,,, kama hutaki pia Mapovu ruksa....