Nani aliyokwambiya IBRAHIM alilala na mchepuko?MTUME wa MUNGU si mzinifu kama wewe...kile kitendo tu cha MAKUBALIANO ya mke wa IBRAHIMU na mjakazi..wakakubaliana ni NDOA tosha...MTUME wa MUNGU hafanyi jambo bila AMRI toka kwa MUNGU...kama yule mtoto(ISMAIL) alikuwa sio HALALI,,,kwann MUNGU amhahalishe KUTOLEWE SADAKA?kwnn asisubiri IS HAKA azaliwe atolewe sadaka...na kama ni wa zinaa kwann apewe UTUME?hayo mambo ya ndoa hata sisi waislam ukitaka kuongeza mke wa pili unaomba IDHINI kwa mkeo..halafu unaoa...kama yaliyotokea kwa IBRAHIMU...vitu vingine havihitaji ELIMU KUBWA KUVIELEWA ,..