Wewe KIJANA wacha UONGO...kumbuka kuwa MTUME WA MUNGU SIO MWONGO WALA SIO MTU AMBAYE HANA ADABU.....kumbuka kuwa MTUME hajivalishi mwenyewe JOHO la utume kama wafanyavyo VIONGOZI WENU WA SASA wa MAKANISA....MTUME ni mwanadamu ambaye MUNGU ameshampa utume tangia kizazi na kizazi kabla ya kuzaliwa....hivyo basi MTUME ISMAIL kamwe hakuwa HANA ADABU kwa SARA sababu yule ni mtume.....na ndy maana alipoamriwa na MUNGU achinjwe ili apimwe IMANI YAKE....na ISMAIL alipoambiwa na baba yake MUNGU KANIAMURU NIKUCHINJE,,,ISMAIL akamwambiya BABA YAKE ,,KINOWE hicho kisu chako ili kinikate vizuri NISISIKIE MAUMIVU SANA..pia nifunge kamba ili nisikusumbuwe wakati unanichinja , ,,najuwa wewe ni MTUME WA MUNGU hufanyi JAMBO BILA KUAMRIWA NA MUNGU...kama angekuwa mkorofi si agekimbiya?au angebishana na baba yake?MITUME YOTE MAISHA YAO WAMETABIRIWA kabla ya KUZALIWA kwao,,,pia tangia watoto MUNGU alishawaandikia UTUME,,,hawezi akawa MJEURI NA ASIYE NA ADABU,,,,na unaposema ni upotoshaji mkubwa yote uliyoyasema wewe ndy niliyoandika mm,,,kwamba SARA (MYAHUDI)alikuwa mke mkubwa wa IBRAHIM,,na yule MJAKAZI alikuwa anaitwa BIBI HAJRA(WARABU) kwao ni EGYPT.. sasa nimedanganya nn hapo?na hao MALAIKA walikuwa wametoka KUANGAMIZA SODOMA NA GOMORA wakafika kwa MTUME IBRAHIM,,,jinsi mke mkubwa SARA alivyowafanyia UKARIMU ndy wakamwambiya MTUME IBRAHIMU mkeo atapata UJAUZITO.....sasa nimepotosha nn?UISLAM ulikuwapo kabla ya ADAMU baba yetu....labda nikwambiye kitu,,,sisi tunaitwa BIN ADAMU maana yake mtoto wa ADAMU...kwahyo sisi wote asili yetu ni ADAM....na mama yetu HAWA...ndy asili yetu.....na dini yetu asili yake ni ADAM,,,uliza Huko KANISANI kwann watu WANABATIZWA?na kwann usipobatizwa huwi MKRISTO?mbona UKIZALIWA na BABA KABILA linabaki vile vile unafata la baba?au mama?iweje DINI LAZIMA UTIWE MAJI?NA SIO UKIRISTO TU ,,bali hata dini zingine za hapa duniani,,ili kujiunga inabidi ufanyiewe MATAMBIKO na kubadilishwa,,,sababu wameshajuwa kama mtoto anapozaliwa anakuwa na dini ya baba yetu ADAMU...ISLAM......jaribu kujiuliza kwann hao MITUME WAMEZIKWA MSIKITINI?na kwann IBRAHIM akajenga MSIKITI MAKHA?na kwann waislam wanaswali pale MSIKITI WA MAKHA?