Israel opened masjid Ebrahim as

Israel opened masjid Ebrahim as

mkuu mpaka leo kwani hujui kama israeli ipo katikati ya nchi za kiarabu?

na si kila muisraeli dini yake ni ya kiyahudi kama kumbukumbu zangu zipo sahihi 10 mpaka 15% ya waisraeli ni waumini wa dini ya kiisilamu.

waarabu na waisraeli wote wanatokana kwa Ibrahim, ambaye alizaa watoto wawili, Ismail na Is'haq.

ismail ndio mpaka kizazi chake anakuja kutokea Mtume muhamad, ni kizazi cha waarabu.

Is'haq mpaka kwa yaakub, yusuf, musa hadi yesu ni kizazi cha waisrael.

Hilo eneo Hapo lina historia za Dini zote mbele unaweza ongeza na ukristo ukaeka dini tatu, ndio maana kuna ugomvi kila siku.
Jibu swali acha maelezo
 
Asilimia 99 ya manabii wa kiislam ni wayahudi, lakini wayahudi walikataa mafundisho ya Mtume Mohammad, walimuona muongo. Banu Qurayza jeshi la Muhammad liliua wayahudi watu wazima zaidi ya 800. Kutoelewana na wayahudi kumepelekea aya za chuki kwenye Quran na Hadith sahih dhidi ya wayahudi. Hiyo imepelekea waislam kuwachukia sana wayahudi. Sawa sawa na Yesu au Mohammad angekuja Wakati wa vita ya pili ya dunia. Mpk leo wajerumani na wajapani wangekuwa wanachukiwa sana. Why chuki iendelee milele na wote wanaamini Mungu mmoja wa Abraham
Kwa Wayahudi,siyo Muhammad tu,Yesu hawamtambui kabisa. Na ndiyo maana pale Israel,Wakristo ni kama sifuri yaani 2-4%, ni kama hakuna. Angalao Waislam inafika 17%
 
kitabu cha kuaminika ni biblia ila kurani hii yenye iliandikwa na waarabu ina uongo mwingi
Hilo Biblia wala halojulikani ni Kitabu cha Nabii nani ! Na humo ndani hamna Injil ya Yesu bali kuna ya Yohana, Mathayo, Luka na Marko na nyaraka (barua) za Paulo. Pima uongo umo wapi ?
 
Sikilizeni nyinyi : UKIRISTU na UYAHUDI ni Uislamu wa Kale.

Uislam wa Leo ni Uislam wa Sasa!

Msipoyaelewa haya, mtapata shida sana, mtagawanywa sana na mtashindwa kuelewa kuwa kimsingi Msingi wa Dini zetu ni moja tu nayo ni KUJISALIMISHA kwa Mwenyezi Mungu Muumba mbingu na nchi!!

Ni kama vile Unavyoona Windows Version za Microsoft, Kuna Windows 95, Windows XP and then Windows 10. Lakini zote ni Windows zilezile!, Kernel ni ileile!!

Ndiyo maana Waislamu husema kuwa Uislamu kwa watu ulianza toka adam Ila tu kila nabii anakuja na mafunzo yake!!!

Kwa maana hiyo, wewe unayenisoma hapa kama ni Mkiristu, Basi wewe ni Mfuasi wa Uislamu wa kabla ya Mtume Muhammad!
Anhaaaaaa
Kumbe uislamu huu wa Muhammad ni wa kizushi na wa kubumba,
Kumbe uyahudi na ukristo ndo uislamu sahihi,
Aisee umenipa kitu kipya mkuu
 
Waislamu ni 19%, wakristo ni08% ,waorthodox ni 14% dini zingine no 3% na waliobaki hawana dini rasmi.
Hivyo waislamu ndio wengi kuliko dini zingine.
Fikiri upya kabla haujaaibika,acha kuchanganya waarabu wanaoishi pembeni ya waisraeli na uisraeli
 
sensa ya 2014 asilimia 17% ya waiziraeli ni waisilamu,

Religion in Israel - Wikipedia

na binadamu wote mbele ya mungu wapo sawa, mbora kati yao ni yule mcha mungu.

pia si waarabu wote ni waisilamu, kuna waarabu wakristo, wasioamini dini etc.

Nchi kubwa ya kiarabu yaani misri ina wakristo zaidi ya milioni 8,

lebanon 40% ya population yao ni wakristo,

kipindi Israeli anapigana na Hezbollah na anaipiga lebanon walikufa wakristo wengi tu wa kiarabu.

na wewe ni dini gani? sababu waisiraeli hawamuamini yesu wanamuona feki vile vile kama wasivyompenda muhammad.
Lebanoni kwa asili ni nchi ya Ukristo,
Misri kwa asili ni nchi ya Ukristo,
Uislamu walilazimishwa tu kwa nguvu kipindi Fulani,
 
mkuu seems wewe pia hujui utofauti wa uyahudi na uzayuni, wanaoleta usumbufu pale ni mazayuni, uisilamu hauna tatizo na myahudi.
Hawajui tofauti ya ubaguzi wa rangi na Dini. Hata makaburu walikuwa wakiristo wazuri tuu !
 
Bila shaka hao ni yakobo, ibrahim na yusufu Mababa wa Imani ya ukristo.
Inaonekana kama unataka kujenga picha kwamba hao walikuwa waislamu. Halafu kitabu kilichoandika habari za hao wahenga ambacho ni Bible hakijawaita hao watu ni mitume .

Waislamu hicho kitabu si chenu mnalazimisha tu kionekane kinautambua uislamu kibaya zaidi mnajaribu kukipindisha kutoka kwenye unyoofu wake.Mbona ukristo hautasfiri Quran kama nyie mnavyotoka na mishipa ya shingo kwa kutafsiri Bible.
Juzi tu nimepita sehemu nimekuta mtu kavaa baragashia mishipa Ya shingo imemtoka anahoji kwanini yesu anaitwa Emmanuel
 
biblia inayotukana na kudhalilisha watakatifu!!?..kitabu kile ni story story tu za wana
Inamdhalilisha nani? Hebu fafanua kidogo isijekua umekaririshwa kama jamaa zangu Fulani walikaririshwa wakaenda kukata suruali zao zikawa fupi baada ya kutambua ukweli wakaanza kujutia
 
kwa mfano uwongo UPI?!..mi najua biblia kuna mwandishi anakiri aandikayo hakuyashuhudia ika alisimuliwa,pia Paulo anadai alitia chumvi ili nae apate kujisifu nga kidogo
Mkuu ID YAKO haina maadili
 
Koma ,ukristo haujawahi kuwa uislam na nimeona eti mtume isa Huyo sio yesu.Coz Jesus is alpha and omega .Alikuwepo,yupo na ataendelea kuwepo.
Kwani Jesus ndo Yesu !?....kwanini asiwe Issah ?
Je John ndo Yohana na ndo Yah'ya ?
Nuhu ndo Noah ?....Methew ndo Mathayo ?
 
Safari yake inaitwa 'mirajj'

Alipaa Kwenye anga la wapi acheni uongo.Mlivyosikia yesu kapaa nanyi mkampaisha Muhammad.We toka uzaliwe umemuona nani kapaa.Wanga tu ndio huwa wanapaa tena hawaonekani.
K wa mujibu wa The laws of nature mwanadamu hawezi paa isipokuwa ndege tu muwe mnawaza hata kidogo kuliko kukubali kila kitu kisa tu umekatazwa kuhoji kwa kisingizio utapata dhambi
 
Dini ni moja, hata Yesu AS ni Muislaam. Na ndo maana Wayahudi wanamkwepa Yesu AS kwa jinsi alivyowananga kwa kuharibu dini ya kweli (Uislaam). Haya ya kuzushiwa yeye sijui mwana wa mungu sijui mungu, Yesu hana habari nayo. Yeye Yesu alishasema katika Biblia 'Baba ni Mkuu kuliko mimi' yaani Allahu Akbar !
Nani amekwambia haya uliyoyaandika?
Umesimuliwa?
 
ReligionsJewish 74.8%, Muslim 17.6%, Christian 2%, Druze 1.6%, other 4% (2015 est.)
 
HIVI HAO MANABII WALIKUWA WAISLAMU AU WAISRAELI???KAMA WALIKUWA WAISLAMU MBONA SASA WAYAHUDI NA WAISLAMU HAWAPATANI???MBONA MAISHA YAO YAKO ISRAEL NA SIO UARABUNI???MBONA KAMA KUNA UONGO NAUONA HAPA??
Hata mm nimegundua hilo..
 
NI KICHEKESHO KUSEMA UISLAMU ULIKUWEPO WAKATI WA ADAMU,WAKATI HISTORIA INASEMA UISLAMU ULIANZA BAADA YA MOHAMAD AKIWA MWANZILISHI.WALE MANABII WOTE WALIKUWA WAEBRANIA AMBAO NDIO WAISRAELI WA SASA...
Tusaidia maana naona hapa wengine wanavyoongea kama chenga vile
 
Back
Top Bottom