Israel opened masjid Ebrahim as

Israel opened masjid Ebrahim as

kitabu cha kuaminika ni biblia ila kurani hii yenye iliandikwa na waarabu ina uongo mwingi
kwa mfano uwongo UPI?!..mi najua biblia kuna mwandishi anakiri aandikayo hakuyashuhudia ika alisimuliwa,pia Paulo anadai alitia chumvi ili nae apate kujisifu nga kidogo
 
unaniambia mimi? nafahamu ndio, thats why nasema israeli sio uyahudi,

walikuwa ni wayahudi kipindi hicho cha karne ya 7 wakasilimu now ni waisilamu.
sasa naelewa kwann wanawashambulia bila huruma kumbe hamtanmbui uwepo wa dini yao...kazi kwenu
 
NI KICHEKESHO KUSEMA UISLAMU ULIKUWEPO WAKATI WA ADAMU,WAKATI HISTORIA INASEMA UISLAMU ULIANZA BAADA YA MOHAMAD AKIWA MWANZILISHI.WALE MANABII WOTE WALIKUWA WAEBRANIA AMBAO NDIO WAISRAELI WA SASA...
Kwani hivi wewe kipindi ulipokuwa unasoma shule haukuwahi kuwa wa kwanza darasani? Na mimi kipindi nilipokuwa nasoma nikawa wa kwanza darasani? Sasa je utashindwa kuja kuwaambia wanao kuwa we ulikuwa wa kwanza darasani kwa vile na mimi kipindi nasoma nilikuwa wa kwanza darasani?
Kila mmoja alikuwa wa kwanza kwa zama zake
 
mkuu seems wewe pia hujui utofauti wa uyahudi na uzayuni, wanaoleta usumbufu pale ni mazayuni, uisilamu hauna tatizo na myahudi.
ah sasa bila uzayuni unafikiri wayahudi wangeweza kuexist mkuu c wangekuwa washatimuliwa wamesambaa tena huko ulaya
 
Wayahudi na wanasara waliowengi hawana hoja za maana, wengi wao huwa wanatukana na kubeza dini zengine bila ushahidi. Hilo ni kinyume na mafundisho ya dini zao.
 
ah sasa bila uzayuni unafikiri wayahudi wangeweza kuexist mkuu c wangekuwa washatimuliwa wamesambaa tena huko ulaya
kwani mkuu ili u exist ni mpaka muwe sehemu moja?

mbona wakristo wapo Tanzania, kenya uganda etc, na una exist? same kwa waisilamu?
 
NI KICHEKESHO KUSEMA UISLAMU ULIKUWEPO WAKATI WA ADAMU,WAKATI HISTORIA INASEMA UISLAMU ULIANZA BAADA YA MOHAMAD AKIWA MWANZILISHI.WALE MANABII WOTE WALIKUWA WAEBRANIA AMBAO NDIO WAISRAELI WA SASA...
Loh yani wew ni kilaza
Soma dip dini zote
Then u challenge ili upate kuujua ukweli na usisome kwa ajili unataka kuikashifu dini flani
Soma uondoe ujinga upate mwanga ujue uislamu ni upi na ukristo ni upi uspende vya kuambiwa
 
Back
Top Bottom