Israel kuishangaza Dunia tena

Israel kuishangaza Dunia tena

Faiza Fox, wewe kama mwanamke mwenye busara , je umeisha wahi kusikia wayahudi wakirape au kubaka wanawake wa kipalestina? hakuna sheria yeyote dunianai inayotoa excuse kwa mwanamke kubakwa. leo wewe kuishabikia Hamas kwa usongo wa dini nakushangaa sana . hivi unaweza kuniam,bia wayahudi kwao ni wapi mpaka wewe na hamas muwaite occupier?
Utayasikia wapi na media yote duniani imekamatwa na Wayahudi? Utasikia kila uongo wa kwasingizia Wapalestina tu.

Hayo ndiyo yanayofanya Wapalestina wawekwe jela ya wazi kwa maiaka zaidi ya 70 leo?


Umejazwa ujinga ukakujaa.
 
Baada ya mashambulizi mabaya kabisa ktk history ya Israel kufanyika kelele zimekuwa ni nyingi sana kushindwa kwa intelligence ya Israel ambayo siku zote imekuwa ikiheshimika. Ila jambo lakushangaza lina taka kutokea na uwenda Hamas na wasaidizi wake wakabaka midomo wazi.

Hivi Nina andika tayari vikosi maalumu na hatari vya jeshi la Israel vime locate maeneo mateka wapo na tayari imeshaweza kutoka mateka mamia kwa sasa wakati ikiwakamata viongozi wa HAMAS.

Jambo lingine lina ushituwa ulimwengu ni msg ambayo Israel amemtumia Iran baada ya kushambulia kwa maboom uwanja wa Damascus ili ndege iliokuwa na ujumbe mzito kutoka Iran isitue. Israel walikuwa na uwezo kuishambulia hii ndege na kuwaangamiza makamanda wa Iran na waziri wao ila hawakuchaguwa hiyo option kwa sababu maalumu.

Tatu Israel ameonyesha ubabe wakipekee baada ya kuitawala anga ya Arabic yaani hakuna ndege au kitu kipo hewani hajuwi kinaenda wapi na kina kitu gani? Hii imefanya kuwa ngumu kwa Taifa lolote kurusha kombora kwa Israel wakijuwa cha moto watakipata.

Israel wamewafunika adui kwakuwa dhaifu ili watimize adhima yao kui eliminate Hamas na some of key leader of Iran. Kwa sasa Ayatollah anajuwa kinachofuwata kwake na anajuwa uwenda mwisho wake up karibu kuliko mwanzo.

Mungu iponye Dunia. Amen
Yote hayo kwa msaada kutoka USA.

Hamas hawamiliki hata jeshi la anga.

US na Israel wanatumia rungu kuua Mbu, they are insane.

 
sasa wewe huelewi kuwa mungu wenu wa kiyahudi" alifanyiziwa"na ndugu zake?
hii inaitwa act of god. wewe hujui ya kuwa myahudi ni mwarabu? Abraham accord maana yake umefika wakati sasa waarabu kukumkubali myahudi kama mwarabu mwenzao. Israel itavuka kutoka UEFA na kuingia bingwa wa ASIAN Cup. wewe ngoja kupatana kwa saudi arabia na Israel kutafichuua yote ubishayo na kutoyaamini kuhusu kuwepo kwa yesu na kitabu chake cha injili..
 

Attachments

  • Screenshot_20230515-172320 (1).png
    Screenshot_20230515-172320 (1).png
    138.1 KB · Views: 9
hii inaitwa act of god. wewe hujui ya kuwa myahudi ni mwarabu? Abraham accord maana yake umefika wakati sasa waarabu kukumkubali myahudi kama mwarabu mwenzao. Israel itavuka kutoka UEFA na kuingia bingwa wa ASIAN Cup. wewe ngoja kupatana kwa saudi arabia na Israel kutafichuua yote ubishayo na kutoyaamini kuhusu kuwepo kwa yesu na kitabu chake cha injili..
Awe asiwe Mwarabu kwangu yote sawa, lakini siyo Mungu wangu, mdiyo tofauti hapo ilipo.

Wewe mungu wako myahusi au siyo?
 
Utaysikia wapi na media yote duniani imekamatwa na Wayahudi? Utasikia kila uongo wa kwasingizia Wapalestina tu.

Hayo ndiyo yanayofanya Wapalestina wawekwe jela ya wazi kwa maiaka zaidi ya 70 leo?


Umejazwa ujinga ukakujaa.
hujanijibu swali. WAYAHUDI KWAO NI WAPI mpaka leo uwaite wakalia ardhi kimabavu? waingereza tumewatimua africa wakarudi kwao UK. sawasawa na makaburu wamerudi kwao Holland. wareno na waspanisha wametimuliwa africa wamerudi kwao Portugal na spain, hata wafaransa walipotimuliwa africa wamerudi kwao france. sasa unapotaka waisrael waondoke Israel niambie warudi wapi nipe bara au nchi.?Simba na tembo wana rangi zao wafanyacho Hamas ni sawasawa na kuwapaka rangi ya kijani tembo na simba halafu uushulutishe watu wakuamini.
 
hujanijibu swali. WAYAHUDI KWAO NI WAPI mpaka leo uwaite wakalia ardhi kimabavu? waingereza tumewatimua africa wakarudi kwao UK. sawasawa na makaburu wamerudi kwao Holland. wareno na waspanisha wametimuliwa africa wamerudi kwao Portugal na spain, hata wafaransa walipotimuliwa africa wamerudi kwao france. sasa unapotaka waisrael waondoke Israel niambie warudi wapi nipe bara au nchi.?Simba na tembo wana rangi zao wafanyacho Hamas ni sawasawa na kuwapaka rangi ya kijani tembo na simba halafu uushulutishe watu wakuamini.
Popote wanapokuwepo ndiyo kwao, ni kama kuniuliza Wakristo au Waislam kwao wapi?
 
Awe asiwe Mwarabu kwangu yote sawa, lakini siyo Mungu wangu, mdiyo tofauti hapo ilipo.

Wewe mungu wako myahusi au siyo?
Mungu wangu mimi ni yule mungu wwa Abraham na Isack na yakobo.amini ya kuwa namtii na kumkubali yesu kristo nimeyaamini mahubiri yake na ndiyo yanayonilea kiroho. ndiyo maana nawapenda waisrael wote duniani kwa sababu nimekuwa spiritual jew kwa kumkubali yesu. ambaye ni myahudi.
 
Sio USA tu hata putin Anamsaidia Yahudi mwenzie Kwa kipunjo...
 
Acha tuendelee kunywa mtori nyama tutazikuta huko chini
 
Popote wanapokuwepo ndiyo kwao, ni kama kuniuliza Wakristo au Waislam kwao wapi?
wakristo na waisramu wapo popote duniani ila wayahudi wana kwao kumoja tuu ndiko Israel. ssisi wakristo tumeapishwa ya kuwa ukimlaani muisrael na mungu atakullaani ila ukimpenda musrael namungu atakubariki. wewe fuatilia nchi zote marafiki wa Israel duniani utakuta wana uchumi mzuri ila wale waichukiao israel uchumi wao ni mbaya sana . chunguza sudan ya Nimeir na ile kenya ya jomo kenyatta.
 
Mungu wa deen ya Wayahudi Amewaagiza Wayaishi haya ili wafaulu!
👇👇
Deuteronomy 19:20-21
[20]Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.

[21]Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa
mkono, mguu kwa mguu.
hii ni propaganda ya kitoto. nilikuuliza hapo awali waisraeli kwao ni wapi . hukunijibu . hutaki kusema ukweli asili ya waisrael maana ukisema ukweli Israelis kwao ni wapi unaogopa kukubali kuwa biblia ni kitabu cha kweli. msimamo wako ndio wa waarabu wote ., hivyo ikitokea siku waarabu wakikubali kuwa bible ni kitabu cha kikweli na kilichosema kuwa israelis waliingia Caanan wakitokea Iraq alikotoka Abraham , basi hapo mgogoro wa palestina na Israel utakwisha. Tungoje Saudi Arabia ataamua nini kuhusu kuitambua Israeli.

wanaposema wengi wafao ni watoto na kina mama je hao kina baba si ndo Hamas wenyewe wapiganao. sasa wafapo watoto hao wazazi wao huwa wapi? halafu kama hao Hamas au Kamasi waklipomchokoza Israeli walitegemea ninikitafuata? mbona wanatafuta huruma za watu duniani kinguvu namna hiyo ikiwa wenyewe walijituma kuuwa bila huruma? lazima Hamas au Kamasi wajue ya kuwa mshahala wa zambi sio keki bali ni .....!
 
Baada ya mashambulizi mabaya kabisa ktk history ya Israel kufanyika kelele zimekuwa ni nyingi sana kushindwa kwa intelligence ya Israel ambayo siku zote imekuwa ikiheshimika. Ila jambo lakushangaza lina taka kutokea na uwenda Hamas na wasaidizi wake wakabaka midomo wazi.

Hivi Nina andika tayari vikosi maalumu na hatari vya jeshi la Israel vime locate maeneo mateka wapo na tayari imeshaweza kutoka mateka mamia kwa sasa wakati ikiwakamata viongozi wa HAMAS.

Jambo lingine lina ushituwa ulimwengu ni msg ambayo Israel amemtumia Iran baada ya kushambulia kwa maboom uwanja wa Damascus ili ndege iliokuwa na ujumbe mzito kutoka Iran isitue. Israel walikuwa na uwezo kuishambulia hii ndege na kuwaangamiza makamanda wa Iran na waziri wao ila hawakuchaguwa hiyo option kwa sababu maalumu.

Tatu Israel ameonyesha ubabe wakipekee baada ya kuitawala anga ya Arabic yaani hakuna ndege au kitu kipo hewani hajuwi kinaenda wapi na kina kitu gani? Hii imefanya kuwa ngumu kwa Taifa lolote kurusha kombora kwa Israel wakijuwa cha moto watakipata.

Israel wamewafunika adui kwakuwa dhaifu ili watimize adhima yao kui eliminate Hamas na some of key leader of Iran. Kwa sasa Ayatollah anajuwa kinachofuwata kwake na anajuwa uwenda mwisho wake up karibu kuliko mwanzo.

Mungu iponye Dunia. Amen
Bla bla nyingi wameshindwa kukomboa mateka 🤣🤣🤣
 
Baada ya mashambulizi mabaya kabisa ktk history ya Israel kufanyika kelele zimekuwa ni nyingi sana kushindwa kwa intelligence ya Israel ambayo siku zote imekuwa ikiheshimika. Ila jambo lakushangaza lina taka kutokea na uwenda Hamas na wasaidizi wake wakabaka midomo wazi.

Hivi Nina andika tayari vikosi maalumu na hatari vya jeshi la Israel vime locate maeneo mateka wapo na tayari imeshaweza kutoka mateka mamia kwa sasa wakati ikiwakamata viongozi wa HAMAS.

Jambo lingine lina ushituwa ulimwengu ni msg ambayo Israel amemtumia Iran baada ya kushambulia kwa maboom uwanja wa Damascus ili ndege iliokuwa na ujumbe mzito kutoka Iran isitue. Israel walikuwa na uwezo kuishambulia hii ndege na kuwaangamiza makamanda wa Iran na waziri wao ila hawakuchaguwa hiyo option kwa sababu maalumu.

Tatu Israel ameonyesha ubabe wakipekee baada ya kuitawala anga ya Arabic yaani hakuna ndege au kitu kipo hewani hajuwi kinaenda wapi na kina kitu gani? Hii imefanya kuwa ngumu kwa Taifa lolote kurusha kombora kwa Israel wakijuwa cha moto watakipata.

Israel wamewafunika adui kwakuwa dhaifu ili watimize adhima yao kui eliminate Hamas na some of key leader of Iran. Kwa sasa Ayatollah anajuwa kinachofuwata kwake na anajuwa uwenda mwisho wake up karibu kuliko mwanzo.

Mungu iponye Dunia. Amen

Yohana 17:3​

Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Mjue Mungu na mtume wake Yesu ndiyo utaupata uzima wa milele.
Sasa wewe endelea kumfanya Yesu Mungu,mtoto wa Mungu n.k,
Utakipata unachokitafuta.
 
Baada ya mashambulizi mabaya kabisa ktk history ya Israel kufanyika kelele zimekuwa ni nyingi sana kushindwa kwa intelligence ya Israel ambayo siku zote imekuwa ikiheshimika. Ila jambo lakushangaza lina taka kutokea na uwenda Hamas na wasaidizi wake wakabaka midomo wazi.

Hivi Nina andika tayari vikosi maalumu na hatari vya jeshi la Israel vime locate maeneo mateka wapo na tayari imeshaweza kutoka mateka mamia kwa sasa wakati ikiwakamata viongozi wa HAMAS.

Jambo lingine lina ushituwa ulimwengu ni msg ambayo Israel amemtumia Iran baada ya kushambulia kwa maboom uwanja wa Damascus ili ndege iliokuwa na ujumbe mzito kutoka Iran isitue. Israel walikuwa na uwezo kuishambulia hii ndege na kuwaangamiza makamanda wa Iran na waziri wao ila hawakuchaguwa hiyo option kwa sababu maalumu.

Tatu Israel ameonyesha ubabe wakipekee baada ya kuitawala anga ya Arabic yaani hakuna ndege au kitu kipo hewani hajuwi kinaenda wapi na kina kitu gani? Hii imefanya kuwa ngumu kwa Taifa lolote kurusha kombora kwa Israel wakijuwa cha moto watakipata.

Israel wamewafunika adui kwakuwa dhaifu ili watimize adhima yao kui eliminate Hamas na some of key leader of Iran. Kwa sasa Ayatollah anajuwa kinachofuwata kwake na anajuwa uwenda mwisho wake up karibu kuliko mwanzo.

Mungu iponye Dunia. Amen
Niliwaambia Israel watafanya tukio lakuishangaza Dunia pasipo kuwepo proof yauwepo wao kupotea kwa helicopter na viongozi wazito wa Iran nimoja ya tukio litawatesa sana magwiji wa ujasusi maana halitopata majibu na uwenda kidoni wakaondoka na vichwa visionekane milele🤐
 
Nani kakwambia? Sasa hivi wanaua Watoto na wanawake wa Gaza, Israel nao ni kama Hamas. Both are terrorists. Huwezi kuwanyima, maji, chakula na umeme halafu uanze kuwabom. Gaza ipo 140 square km tu na ina watu million 2. Open sky prison. Palestina kuna wakrstu, catholics na wapagani siyo waislam peke yao. Nyie mnasema uongo kwa sababu ya dini msizozijua. Wale Israel wa kwenye Bible siyo hawa wa sasa, Israel ilianzishwa mwaka 1948 baada ya Waingereza kuwaachia ile ardhi Wayahudi. Wayahudi hao waliopo siyo wale original, wengi wa sasa ni waliorudi baada ya WWII. Wakachukua na radhi zingine zote. Dhambi sana hii, ubabe openly!!
Kama Hamas kaamua kuwaweka raia kama kinga nani alaumiwe?
 
Huyu mtoa mada hana akili Israel kashangaza nini?

Labda kashangaza dunia nzima kwa ujinga wake ana silaha za kila aina kachapwa kama mtoto mpaa US na Uingereza wanapeleka carriers kumsaidia na ndege za Amerika nazo zinapiga kwa kamji hata km 80 hakafiki 😂

Eti taifa teule hizo bibilia zenu kazichomeni moto ziliandikwa na waisrael ili kuwabrain wash nchi za Kikristo😂 ili Israel awe nasaidiwa na mataifa ya kikristo
Kwenye qurani sura ya Bani Israel nayo inawabrainwash waislam?
 
hii inaitwa act of god. wewe hujui ya kuwa myahudi ni mwarabu? Abraham accord maana yake umefika wakati sasa waarabu kukumkubali myahudi kama mwarabu mwenzao. Israel itavuka kutoka UEFA na kuingia bingwa wa ASIAN Cup. wewe ngoja kupatana kwa saudi arabia na Israel kutafichuua yote ubishayo na kutoyaamini kuhusu kuwepo kwa yesu na kitabu chake cha injili..
Yesu hakuwahi kuwa na kitabu cha Injili.Mudy aliwapiga hapa!
 
Back
Top Bottom