FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Utayasikia wapi na media yote duniani imekamatwa na Wayahudi? Utasikia kila uongo wa kwasingizia Wapalestina tu.Faiza Fox, wewe kama mwanamke mwenye busara , je umeisha wahi kusikia wayahudi wakirape au kubaka wanawake wa kipalestina? hakuna sheria yeyote dunianai inayotoa excuse kwa mwanamke kubakwa. leo wewe kuishabikia Hamas kwa usongo wa dini nakushangaa sana . hivi unaweza kuniam,bia wayahudi kwao ni wapi mpaka wewe na hamas muwaite occupier?
Hayo ndiyo yanayofanya Wapalestina wawekwe jela ya wazi kwa maiaka zaidi ya 70 leo?
Umejazwa ujinga ukakujaa.