De Capri Don
JF-Expert Member
- Sep 13, 2023
- 481
- 949
Ngoja tuone basiBaada ya mashambulizi mabaya kabisa ktk history ya Israel kufanyika kelele zimekuwa ni nyingi sana kushindwa kwa intelligence ya Israel ambayo siku zote imekuwa ikiheshimika. Ila jambo lakushangaza lina taka kutokea na uwenda Hamas na wasaidizi wake wakabaka midomo wazi.
Hivi Nina andika tayari vikosi maalumu na hatari vya jeshi la Israel vime locate maeneo mateka wapo na tayari imeshaweza kutoka mateka mamia kwa sasa wakati ikiwakamata viongozi wa hamasi.
Jambo lingine lina ushituwa ulimwengu ni msg ambayo Israel amemtumia Iran baada ya kushambulia kwa maboom uwanja wa Damascus ili ndege iliokuwa na ujumbe mzito kutoka Iran isitue. Israel walikuwa na uwezo kuishambulia hii ndege nakuwaangamiza makamanda wa Iran na waziri wao ila hawakuchaguws hiyo option kwa sababu maalumu.
Tatu Israel ameonyesha ubabe wakipekee baada ya kuitawala anga ya Arabic Yani hakuna ndege au kitu kipo hewani hajuwi kinaenda wapi na kina kitu gani? Hii imefanya kuwa ngumu kwa Taifa lolote kurusha kombora kwa Israel wakijuwa cha moto watakipata.
Israel wamewafunika adui kwakuwa dhaifu ili watimize adhima yao kui eliminate Hamas na some of key leader of Iran. Kwa sasa Ayatollah anajuwa kinachofuwata kwake na anajuwa uwenda mwisho wake up karibu kuliko mwanzo.
Mungu iponye Dunia. Amen
Maana Marekani ilikuwa Afghanistan na NATO na Bado walikimbia.
Pia vita kama inapiganiwa nyumbani pia advantage anayo adui.