Israel kuishangaza Dunia tena

Israel kuishangaza Dunia tena

Hawa watu wa mnyezii mugu a.k.a moody ni hatari kwa dunia. Usiwaone tu wanaongea kwa sauti za kumbana pua, ni magaidi balaa! Islael piga hawo watu.
Kuna haja kweli kubadili elimu yetu itoe ufahamu zaidi.
Kuna mtu hajui Palestine kuna wakristo..na kuna mtu hajua Israel kuna waarabu..
Anachangia kujinga tu..
 
Saw
Nani kakwambia? Sasa hivi wanaua Watoto na wanawake wa Gaza, Israel nao ni kama Hamas. Both are terrorists. Huwezi kuwanyima, maji, chakula na umeme halafu uanze kuwabom. Gaza ipo 140 square km tu na ina watu million 2. Open sky prison. Palestina kuna wakrstu, catholics na wapagani siyo waislam peke yao. Nyie mnasema uongo kwa sababu ya dini msizozijua. Wale Israel wa kwenye Bible siyo hawa wa sasa, Israel ilianzishwa mwaka 1948 baada ya Waingereza kuwaachia ile ardhi Wayahudi. Wayahudi hao waliopo siyo wale original, wengi wa sasa ni waliorudi baada ya WWII. Wakachukua na radhi zingine zote. Dhambi sana hii, ubabe openly!!
Sawasawa 👍 👍
 
Saw
Nani kakwambia? Sasa hivi wanaua Watoto na wanawake wa Gaza, Israel nao ni kama Hamas. Both are terrorists. Huwezi kuwanyima, maji, chakula na umeme halafu uanze kuwabom. Gaza ipo 140 square km tu na ina watu million 2. Open sky prison. Palestina kuna wakrstu, catholics na wapagani siyo waislam peke yao. Nyie mnasema uongo kwa sababu ya dini msizozijua. Wale Israel wa kwenye Bible siyo hawa wa sasa, Israel ilianzishwa mwaka 1948 baada ya Waingereza kuwaachia ile ardhi Wayahudi. Wayahudi hao waliopo siyo wale original, wengi wa sasa ni waliorudi baada ya WWII. Wakachukua na radhi zingine zote. Dhambi sana hii, ubabe openly!!
Sawasawa 👍 👍
 
Mzaliwa wa kwanza kavurugwa, anamiliki akili nyingi na karibia majeshi mengi ya nchi kubwa duniani wayahudi wamejaa tena vitengo nyeti, mwarabu atajuta
Ni kweli,nani alijua Blinken myuda, ndipo zikaja taarifa hata Rais wa Misri ni myuda kwa mama.
 
TumainiEl na FaizaFoxy kwa hiyo mnashabikia vita? Mnajua madhara ya vita, mnajua akina nani wanateseka? Poleni sana, hakuna ujinga kaama kufurahia binadamu anapoteseka
 
Siyo Israel kuishangaxa dunia, sema USA.

Israel huko hamas jana imepiga Haifa.

Kwani bado mnaiongelea gaza tu?

Gaza kwisha kazi yake, watu toka jana wapo Lebanon na Syria.

Vita ishapanuka huko. Umelala?

Leo tunangoja Egypt na Jordan
Kuishangaxa?
Hivi huko shule ulienda kusomea ujinga?
 
Siyo Israel kuishangaza dunia, sema USA.

Hamas jana imepiga Haifa.

Kwani bado mnaiongelea gaza tu? Gaza kwisha kazi yake, watu toka jana wapo Lebanon na Syria.

Vita ishapanuka huko. Umelala?

Leo tunangoja Egypt na Jordan
[/QUOT
Hakuna vita katika maeneo hayo uliotaja, nafikiri watanzania hasa CCM na CHADEMA mngeangaika katiba mpya jamani.

Lebanon kweli walijitutumua but walichokipata wanakijua wao wenyewe, Syria nao walijaribu but walichokutana nacho wanakijua wao.

Egypty na Jordan ni wachumba tu kwa Israel, inshort waarabu hawana msaada kwa sasa kwa watu wa Gaza, hadi Ayatollah hana lolote, Israel ina nguvu kubwa ambao hata majirani wanahofia.

Waarabu wajinga na ni waoga hawana umoja, hawa watu ovyo sana!!
 
Siyo Israel kuishangaza dunia, sema USA.

Hamas jana imepiga Haifa.

Kwani bado mnaiongelea gaza tu? Gaza kwisha kazi yake, watu toka jana wapo Lebanon na Syria.

Vita ishapanuka huko. Umelala?

Leo tunangoja Egypt na Jordan
Bibi ajuza umewaponza makobazi wenzako
 
Hakuna cha ajabu kinacho fanywa na Israel hapo gaza hata jeshi letu linaweza kufanya hivyo kwasababu anga la Gaza halina ulinzi.
Huyu mtoa mada hana akili Israel kashangaza nini?

Labda kashangaza dunia nzima kwa ujinga wake ana silaha za kila aina kachapwa kama mtoto mpaa US na Uingereza wanapeleka carriers kumsaidia na ndege za Amerika nazo zinapiga kwa kamji hata km 80 hakafiki 😂

Eti taifa teule hizo bibilia zenu kazichomeni moto ziliandikwa na waisrael ili kuwabrain wash nchi za Kikristo😂 ili Israel awe nasaidiwa na mataifa ya kikristo
 
Well said Isarael ni taifa teule la MUNGU
Screenshot_20230515-172320.png
 
Hakuna cha ajabu kinacho fanywa na Israel hapo gaza hata jeshi letu linaweza kufanya hivyo kwasababu anga la Gaza halina ulinzi.
Kwa nini halina ulinzi, tuanzie hapo kwanza.
 
Uzi mzito!

Hakuna taifa takatifu la Mungu litakaloua watu kwa kisasi hivyo!

Taifa takatifu la Mungu ni Tanzania tu kwakweli,tuna upendo wa dhati ndio maana tuanawaza kupendana tu wakati wote wala sio kupiga na kuua!!

Hata haki zetu zikiminywa tunamuita Mungu anatujibu maombi yetu!!

Walau warusi tuanaweza sema ndio taifa takatifu la Mungu kuliko hao tunaodhani!!

Yakobo alikua black,king solomon na hata Ayubu na yesu kristo nae alikua black na karibu asilimia kubwa yote ya waebrania walifananishwa na wakanaani KWA weusi wao coz wakanaani ni Wana wa ham wenye ngozi iliyoungua yaani weusi SASA kwanini waisrael wa leo ni weupe wote!!?


Hata Abdul nassar mfalme wa misri aliwakataa hao waisrael weupe akisema" mbona waliondoka misri wakiwa weusi huo weupe wameutoa wapi""!!?


Ndugu mkristo usije ombea hao wazungu hao hawana uisrael wowote kabisa ombea watz wenzio au hata waethiopia Wana wa king solomon aliezaa na Beth sheeba!
Wana wa Israel hawakuwahi kuwa jamii ya watu weusi huo ni uongo wa wazi kabisa. Wengi wa jamii ya watu waliokuwa wakiishi mashariki ya kati walikuwa ni jamii ya watu weupe.

Waliokuwa weusi walikuwa ni wakushi akina Zipporah aliyekuwa mke wa Nabi Musa ambao walikua ni uzao wa Ham (Hamites).

Kama jamii ya waisrael wangekuwa ni watu weusi basi waafrika tusingekuwa hivi tulivyo leo ambapo sisi ndio "The Laughing Stock Of The World."
 
Siyo Israel kuishangaza dunia, sema USA.

Hamas jana imepiga Haifa.

Kwani bado mnaiongelea gaza tu? Gaza kwisha kazi yake, watu toka jana wapo Lebanon na Syria.

Vita ishapanuka huko. Umelala?

Leo tunangoja Egypt na Jordan
Faiza Fox, wewe kama mwanamke mwenye busara , je umeisha wahi kusikia wayahudi wakirape au kubaka wanawake wa kipalestina? hakuna sheria yeyote dunianai inayotoa excuse kwa mwanamke kubakwa. leo wewe kuishabikia Hamas kwa usongo wa dini nakushangaa sana . hivi unaweza kuniam,bia wayahudi kwao ni wapi mpaka wewe na hamas muwaite occupier?
 
Back
Top Bottom