Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,946
- 38,657
kama hupendi huu mjadala just do not open it.Mimi Naomba Mjadala huu uishie hapa! Hivi hawa watu wanaoleta mijadala kama hii huku JF wanakuwa wamekosa cha kufanya?
kachangie mijadala ya mapenzi
kama hupendi huu mjadala just do not open it.Mimi Naomba Mjadala huu uishie hapa! Hivi hawa watu wanaoleta mijadala kama hii huku JF wanakuwa wamekosa cha kufanya?
Kwa maoni Yangu mimi tuachane na hizi ishu tujadili utaifa
Umenenena kistaarab sana naamini watakuelewa mkuuacha ujinga, utaifa ndo huu wa kuweka mambo sawa ili dini isitutenge kwasababu dini moja inakuwa imeingizwa kwenye selikali. kuimarisha umoja wetu ni pamoja na kuhakikisha tunaendelea kuishi kwa amani tukiheshimu dini za wengine, na kuondoa vinyongo kwenye mioyo ya watu kuhusu dini inayoingizwa kwenye selikali. kama hili jambo litaendelea kuwepo tz utaifa unamong'onyoka hivihivi kwasababu litawatenga sana wakristo na waislam, na hatutashirikiana. unaelewa?
acha ujinga, utaifa ndo huu wa kuweka mambo sawa ili dini isitutenge kwasababu dini moja inakuwa imeingizwa kwenye selikali. kuimarisha umoja wetu ni pamoja na kuhakikisha tunaendelea kuishi kwa amani tukiheshimu dini za wengine, na kuondoa vinyongo kwenye mioyo ya watu kuhusu dini inayoingizwa kwenye selikali. kama hili jambo litaendelea kuwepo tz utaifa unamong'onyoka hivihivi kwasababu litawatenga sana wakristo na waislam, na hatutashirikiana. unaelewa?
Mbona unashindwa kujibu hoj unazopewa na kubaki kungangana na utumbo wako? Ikiwa mtu ameshaona jkkuwa hamna hoja ni busara akusaidieni.
Muulizeni Invisible maana ajua tusiyoyajua..Mimi Naomba Mjadala huu uishie hapa! Hivi hawa watu wanaoleta mijadala kama hii huku JF wanakuwa wamekosa cha kufanya?
Watu wengi inaonekana hawaelewi msingi wa idea nzima ya "Islamic Banking".
Ukisoma sana msingi wa "Judeo Christian" religions, utakuwa unacheka kila mara unaposikia waislam na wakristo wanapogombana.
Hii ni kwa sababu, kimsingi waislam na wakristo hawatofautiani sana. Ukisoma "The Ascent of Money" cha Niall Fergusson kwa mfano ( au Paul Johnson's "A History of The Jews" au kitabu chochote kinachogusia medieval banking in Europe), utaona ni jinsi gani Wayahudi walivyotokea kuwa prominent bankers Ulaya kwa sababu medieval Christendom ilikuwa ina values hizi hizi ambazo leo tunaziita "Islamic banking". Basically shunning usury and interest.
Kwa hiyo mimi ninapoona sentiments za Wakristo wanaokuja hapa wakiwa pissed apparently kwa sababu wanaona kama Waislamu wanapewa preferential treatment, bila kujua kwamba kile kinachoitwa "Islamic Banking" actually kipo clearly stated in the old testament, nacheka tu.
Labda it is time to rename "Islamic Banking" into something else.
Unless, there is something uniquely Islamic about it.
Kiranga,
Mkuu Tanzania hakuna Wakristu, wengi ya wachangiaji hata kanisani hawaendi ila siku za sikukuu. Na kibaya zaidi dini imeingiliwa na wasiojua undani wa dini hiyo.. Mtanisamehe!
Kwa kawaida natetea mawazo ya "secular humanists" ambayo hayafungamani na dini yoyote. Nimekuwa critical kwa waislam na wakristo, pamoja na watu wa dini nyingine.
Kutofungamana kwangu na dini yoyote hakuna maana ya kupiga vita dini moja kwa moja, kama alivyosema rais wa kwanza wa Jamhuri Mwalimu Nyerere, kwa mfano, serikali yetu haina dini, lakini hili halimaanishi kwamba watu wetu hawana dini.
Islamic banking ni kitu kizuri, as long as inakuwa ni option kwa waislamu kufanya banking na kubakia katika misingi ya dini yao. As long as wasio waislamu hawalazimishwi kufanya Islamic banking.
Sioni ni jinsi gani kuleta Islamic banking kwa waislamu kama option kutaharibu chochote popote.
Zaidi ya hapo, kuchukia Islamic banking ni ubaguzi tu.
Unajua kweli maana ya Secular Humanism? Maana naona hiyo reasoning yako ni clearly fallacious. Utasemaje "unatetea mawazo ya secular humanists ambayo hayafungamani na dini yoyote", halafu mistari michache baadaye chini unadai "Islamic Banking ni kitu kizuri..."?
Islamic banking is NOT equivalent to conventional (i.e., secular) banking, and should accordingly be totally indefensible according to principles of secular humanism.
Swali nalo jiuliza hapa mimi mwenyewe ni hili sijui kama tunaelewa hii kitu, ktk nchi za europe kuna conservative values backed by a conservative party. Hii isitichunganye in some parts of europe the same conservative values are backed by 'christian democratic party' its another name for a conservative party.
Sasa kesho kikitokea chama cha siasa Tanzania kikijiita 'chritian democrats' na chenyewe kikisema atuna nia ya kusambaza dini bali ni family values na muongozo sahihi kimaisha bila ya dini fualni yeyote anaruhusiwa kujiunga, tunachopinga ni ufisadi na maadili mengine kinyume cha jamii na mengineo sidhani kama watakua wamekosea ni misingi hii ya dini ya uislamu pia inapinga. Je muslims watakipokeaje hiki chama? THINK
Na values za consevative are not much different from religion ones, juzi tumeona kabla ya uchaguzi UK mwanamke kuipeleka kesi makao makuu ya chama baada ya kushinda kuwa mgombea na baadhi ya wanachama wakuu kupinga, kwa kusema alishakuwa na affair na mme wa mtu a decade ago. Lakini hizi ni values ambazo ni morally right under the party and somehow related with religions.
Point hapa ni hivi hii Benki si semi kama hipo wrong but is it right in our society. Turkey can call itself a secular society lakini ukweli ni kwamba the're being tolerant of other religions, hila the social majority will still remain muslim that will remain the unspoken word but a fact. The same can be said about the west they can call themselves secular societies hila the fact remain the same. Therefore a Bank like this has no impact at all, apart from being a positive investment kwao through employment and Tax.
Tanzania can also call itself a secular society (but we are not the west nor the east) we have the challenge to maintain the right conscious equillibrum kwa sababu ni kwamba we have received colonial ideologies and we need to balance them fit for our current social. The last thing we want is to divide us, therefore we have to be careful of the long term consequences na haya mambo ya ku-f@cken embrace everything that is thrown at us. Its for us to weigh the pros and cons before we take everything for selfishness purposes.
Well like i have come to understand, what do I know in the end? apparently very little regarding tanzania and its people.
PS. Now you can mess the text Knob.
Mkuu nakukubali sana tu hata Waislaam issue ni ile ile. Kifupi ktk maswala ya dini sisi wote ni Wanafiki kama ulivyosema hapo awali..Sisi ni Manazi wa imani za dini kama vile washabiki wa Mpira ambao wengi hawajui hata kuucheza. Mimi binafsi napokea riba na kwa kufanya hivyo naondoka ktk Uislaam lakini pia haiondoi uharamu wa riba wala sina mamlaka ya kuwaambia wengine kuwa riba ni halali.Hata wasilamu vilevile hakuna.Maana chukua mfano mdogo tu, kabla ya Islamic banking walikuwa wakieka wapi pesa yao. Waambie wakujibu kimoyomoyo.
Mkuu wangu kwa kusoma maelezo yako naweza kukubali kirahisi ikiwa tutayachukulia maelezo yako kwa Udini na sio kukubali kuwepo kwa uhuru wa watu wote kuchagua imani wanayoikubali na wakaheshimiwa maadam hailazimishi wengine kuamini hivyo. Hata ukitazama itikadi za Kisiasa..Sisi wote tumelazimika kutumia ideology za wataalam (wazungu) kinyume cha tamaduni zetu maadam kuna uhuru tosha wa kila mwanachama wa vyama hivi kufuata mafundisho yao..Na sii lazima ukikubali sera za mathlan Chadema basi wewe ni Chadema. Ama maadam wananchi wameikubali CCM kuongoza basi hao wote walioichagua CCM ni wana CCM ama kuna jitihada za kuwabasilisha wananchi wote kuwa wanaCCM..Hapa kinachotendeka ni watu fulani kuwa reinforced even deeper in their everyday lives with a certain ideology ni kitu ambacho si kizuri kwenye nchi ambayo ina jaribu ku-balance total torelance. Nikupe mfano mmoja UK wanamichanganyiko ya dini nyingi na madhehebu mengi hila a
majority are christians (protestants).