ISIS yatafuta kiki kupitia Uislam

ISIS yatafuta kiki kupitia Uislam

Zamani kabla sijaifaham vizur dini yangu nilikuwa na mtindo kama wako wa kupick zile aya/maandiko katika biblia ambayo nilikuwa nayaona kama hayaeweki kisha naanzisha mjadala bila kujua mwanzo wa maandiko hayo na sababu gani yapo. Bt alhamdulillah baad ya kuusoma uislam na kuuelewa nimefahamu kuwa hata hiyo tabia ya kukosoa na kutafuta kasoro katika imani za watu hairuhusiwi na Allah amekataza hivo. so najua one day hata wewe utakuna kuelewa kama kweli unataka kuelewa ila kama umeweka chuki moyoni basi kamwe hutoelewa jambo
Haha, mimi pia nilikuwa katika wajinga kama ww hapo zamani wa kusoma biblia kwa lengo la kukosoa. Nachukua kiaya kimoja tu nakifanyia analysis nafanya judgent bila kujali muktadha wa kilichokuwa kinazungumzwa. Nimefanya jitihada na kuisoma dini yangu vema hususani quran inazungumziaje dini za uyahudi na ukristo, sirudii tena ujinga wa kukejeli hovyo. Naona wakristo nao hawajasoma Quran na hata biblia yenyewe hawajasoma. Nina uhakika mtu akisoma Biblia kuanzia mwanzo mpaka mwisho hususani agano la kale hatakuja kuinua mdomo humu kusema ooh quran sijui nini maana MUNGU aliyepo kwenye agano la kale ndiye huyo aliyepo kwenye Quran atakaebisha hajui Biblia wala Quran haijui! Wakristo wengi hawajui Kitabu chao, lau wangekisoma kisha wakaisoma quran wangegundua kuwa quran Inasadikisha yaliyokuwepo kabla yake ambayo kimsingi utayapata kwenye Torati, zaburi na Injili kama zilivyotajwa katika quran.
 
"hakuna muislam mwenye akiri timamu anaweza kulipua mji mtakatifu wa medina" hahaha kwa hiyo hao wakiolipua ni waislam vila** a.k.a waislam mwendokasi.
 
Sasa kama akiua kafir (kama ulivyosema) Anakwenda peponi, akiua muislam mwenzie anaenda wapi?

Kaka ...
Huyo ni vita Kati ya Shia na Suni, au nayo ni propaganda?
 
wewe ni muongo, tunaishi na waislamu na wanashabikia wakristo kuuawa eti ni makafir, Kwa hiyo uislamu ni ugaidi kabisa, si ndo nyie mkiuwa kafir Kwa kujilipua mnaenda peponi na kupewa wabikra 72 na juice tamu?
Si kweli. Waislam wote si magaidi. Hata mimi mwanzoni nilidhani hivyo kumbe sikuwa sahihi kabisa, wapo waislam wanaochukizwa kabisa na ugaidi.
 
Nitasilimu leo ukinionesha msikiti wanaoswali kwa kiswahili.
Hoja ya jiwekuu770 ni kuwa "waislam wameshindwa hata kuwa na Quran ya kiswahili ..." Hapo ndio nimechangia kuwa zipo. Hata ukitafuta mtandaoni unapata tena kwa lugha kadhaa wa kadhaa!

Kaka ...
 
...dah umenikosha Sana, I'm not muslim lakini umeitendea haki dini yako, natamani wengi wangekuwa hivi maana nikishasikia mawaidha mengi ya chuki misikitini mf pale mtambani Na kigamboni, naamini Kuna waislam majina sasa Kama ukisemacho Ni sahihi

Huyo anakuzuga tu lakini ni wale wale tu waliokunywa uji wa mgonjwa
 
hakika waislam wengi wangekuwa kama mkuu ustadhijuma ,wasio waislam wangeuelewa uislam wa kweli unataka nini na hata idadi ya wanaotaka kusilimu ingeongezeka sana,tatizo waislam wengi ingawa si wote wana mihemko sana juu masuala ya uislam kiasi cha hata kutoona haya kutetea uovu unaofanywa na muumini mwenzake eti kisa ni ndugu yake katika imani,hawa ndio haswa wanaoupaka matope uislam na kuonekana ni dini ya ajabu wakati sio kweli
 
Is ni conspiracy ya us na Israel ili Israel iwe salama

Ukiangalia kwa jicho a tatu
 
Acha unafiki wewe wale ndio wanafuata dini ya uislam na watampga yyte ambae anapnga au hatekelezi maandiko!!Eb kakisome kitabu chenu ukimalize ukielewe
AF uje kujibu haya
Kwanini hawataki kuigeuza quaran" kwa lugha za husika kama kiswahili au kingereza n.k ili kila MTU a some aielewe!!mnatetea eti utapunguza swawabu!!
2.Wazinzi wakikamatwa mwanamke inabidi apgwe mawe ,mbona hampgi
3. Wasio waamini uislam mnawaita kafiri,na kadiri yenu kafiri hatakiwi wala Hana haki ya kuishi
Wanachofanya IS wapo sawa kadiri ya maandiko yenu !!Huwez kuyapnga hayo makundi wakati dini yenu ndo inasema hivo!!
Kumbuka tu kilichotokea Kenya!! Wale wanatekeleza kilichoandkwa!!
Ww inabidi udownload quran playstore maana inaonekana unaleta stori za vijiweni hapa. Hivi nikisema uthibitishe aya inayosema mwanamke apigwe mawe na mwanaume aachwe utaleta?? Halafu hiyo hukumu siyo mpya, ni hukumu ambayo ipo kwenye Kumbukumbu la Torati na ni hukumu ya Mwenyezi MUNGU. Sioni kama ni ajabu ww kuishangaa kwenye quran wakati kwenye biblia ipo hivohivo ndio maana tunasema kitabu chenu hamkijui kabisaaa. Vinginevyo ukikatae kitabu chako kwamba sio cha Mwenyezi MUNGU ndio uikatae quran.
Tatu nataka nikwambie maana ya neno kafiri sio tusi bali maana yake ni wapingaji au waabudu miungu. Cha ajabu kwa mimi kumuita mtu anayeenda kwa wapiga ramli ni kafir ni kitu gani?? Yaani post yako imedhihirisha wazi wewe ni mtu wa stori za vijiweni hakuna ukijuacho.

Hivi unajua kuwa kuna aya hii kwenye agano jipya??? luka 19:27 "Tena wale adui zangu wasiotaka niwatawale waleteni hapa mwachinje mbele yangu". Hii ni aya laiti ingetoka kwenye Quran ingekuwa ni shida kabisa ingeonekana si jambo la kawaida lkn kwakuwa ipo kwenye biblia ni jambo la kawaida. Aya kama hiyo ukiitoa kisha ukamuuliza muuliza mtu kuwa kuna nabii kasema hivyo watu wangekashifu sana wakijua ni Muhammad baadaye ukiwambia ni Yesu wanakaa kimya na kufunga domo! Wanafiki!.
 
Naonaga post kama hizi pale ambapo waislam wameshambuliwa ila wamewateketeza na kuwatesa kinyama yazzids sijaona matamko kama haya.

Wamefanya mauaji Paris na kwingineko sijaona matamko kama haya zaidi waislam mmekua mkiwapa pongezi kwa kuwaua makafiri na kupigana jihad ya ala leo wanachezea kiwanja cha nyumbani povu jingi.

Shame.
hahhaha mkuu jana walikuwa na match ya home na wameshinda kwa kishindo povu lote kwa jews
 
haya matamko mmeanza kuyaleta baada ya Netanyau kutua Nairobi....na lazima awatie adabu wale ndugu zenu alashabab maana mmezidi kuchezea sharubu za watu
 
Hata iman yako kuitenganisha na ushoga ni vigumu kwa sababu mashoga wamefungamana nayo..hadi ubarikio makanisani wanapata..

Usisahau hilo.
Ushoga iko sana maeneo ya pwani, ambako wenye imani yako ndy wengi, hata imani yako inasema kila kikichotuna ni suna.
Ukumbuke kanisa lipo kuwasaidia na kuwainua walioanguka dhambini so shoga kupata ubarikio sio tatizo atajuana na mungu wake sio kazi ya kanisa kuhukumu watu.
 
Asalam Aleikum..!

Nasikitika kusema kuwa watu wengi hawajajua kuwa waislam ndo target kubwa ya magaidi. ISIS sio waislam kwa sababu hakuna muislam mwenye akili timamu atakayeweza kwenda kulipua Madina. Hii inadhihirisha wazi kwamba ISIS, Al Qaeda na wengineo wako after something else na sio kwa ajili ya dini.

Uislam ni salama na umejitenga mbali na upuuzi unaofanyika kwa jina la Uislam. Kwa akili ya kawaida tujiulize kwanini hao wanaojiita waislam wanalipua ndani ya misikiti, wanaua katika miji ya waislam?

Ndugi zanguni nawaombeni tuuweke Uislam mbali na upuuzi huu na tuwaone hao magaidi ni wapuuzi wasio na akili ambao wanafurahia kumwaga damu za watu wasio na hatia. Angalieni kule Syria hao ISIS wakiteka mji wanaua wanaume wote na kuwateka wanawake na kuwafanya watumwa wa ngono.

Mimi ni muislam na kamwe siwez kuwasaport wala kuwafurahia magaidi kwa sababu dini yangu hairuhusu unyama unaofanywa na Magaidi.

Wasalam
Ishu ni kwamba bado hamjaonesha nguvu ya kutosha ktk kupinga hao magaidi wanaoua kupitia tiketi ya uislam,ilitakiwa dunia nzima mngesimama na kuitisha maandamano ya amani na kutangaza kwa dhati kuwa waislamu hamuwaungi mkono,lkn kupinga kwenu huwa kunaishia kwny mitandao tu na ndo hapo wengine tunapata wasiwasi na kupinga kwenu!ikitokea mtu kafanya dhihaka tu kwa quran au kwa mtume Mohd SAW basi mnahakikisha huyo mtu anapata adhabu kali ikiwezekana kumuua kabisa!sasa,je,hamuoni kuwa hawa ISIS na makundi mengine wanaudhihaki uislam na mafunzo yake yaliyopo kwny quran?!imefika wakti sasa muithibitishie dunia kuwa islam ni dini ya haki,amani na upendo!
 
Naonaga post kama hizi pale ambapo waislam wameshambuliwa ila wamewateketeza na kuwatesa kinyama yazzids sijaona matamko kama haya.

Wamefanya mauaji Paris na kwingineko sijaona matamko kama haya zaidi waislam mmekua mkiwapa pongezi kwa kuwaua makafiri na kupigana jihad ya ala leo wanachezea kiwanja cha nyumbani povu jingi.

Shame.
Tena hawa magaidi wanapotaka kuua huteka kwanza. Kisha huwauliza watu dini zao kwa kuwaambia wasone Kuran, kila anayeshindwa kusoma anauawa kwa kuwa kafir. Hapo je?
 
Ishu ni kwamba bado hamjaonesha nguvu ya kutosha ktk kupinga hao magaidi wanaoua kupitia tiketi ya uislam,ilitakiwa dunia nzima mngesimama na kuitisha maandamano ya amani na kutangaza kwa dhati kuwa waislamu hamuwaungi mkono,lkn kupinga kwenu huwa kunaishia kwny mitandao tu na ndo hapo wengine tunapata wasiwasi na kupinga kwenu!ikitokea mtu kafanya dhihaka tu kwa quran au kwa mtume Mohd SAW basi mnahakikisha huyo mtu anapata adhabu kali ikiwezekana kumuua kabisa!sasa,je,hamuoni kuwa hawa ISIS na makundi mengine wanaudhihaki uislam na mafunzo yake yaliyopo kwny quran?!imefika wakti sasa muithibitishie dunia kuwa islam ni dini ya haki,amani na upendo!
Uislam wenyewe unajithibitisha kuwa ni dini ya haki na hakuna atakae pinga hiko ila baadhi ya waislam ndio wanatabia mbovu kama hizo. watu wenye tabia kama za magaidi wapo dini zote
 
Muongo uliyekubuhu wewe. Lete andiko. Bila ushahidi mtu yeyote anaweza kuandika lolote. Halafu Muhammad alivokuja hakukuwa na mwislamu yeyote pale Makka, hivyo, kazi yake ilikuwa ni kuonya watu ambao walikuwa ni makafiri wakati huo baadaye waliamini ndio wakawa waislamu; kama angeliwaua je waislamu wangetoka wapi? Yeye alikuja kwaajili ya watu waovu ili awafundishe wabadilike na sio kuua. Vita vilivyopiganwa vilikuwa ni kwasababu watu walioupokea uislamu walikuwa wanauawa na kufukuzwa majumbani mwao, hivyo ilikuwa ni lazima kwao kujitetea.Haiwezekani kani mtu anakupiga mbata halafu wewe umekaa unamsikilizia tu, ni lazima ujitetee. Nakusisitiza usimuhusishe mtume Mohammad na ukafiri unaofanywa na ISIS
Muhammadi alikuja kwa ajili ya waovu? . You have really made me stop to think.
 
Fikiri kabla ya kuandika comment kama huna uhakika na kinachoendelea bora kukaa kimya. Kinachoendelea no propaganda ya kuwafanya waislam waonekane wako hivyo nakushangaa kama in muislam kweli Kuunga mkono ISIS

chakula huyo achana nae
 
Back
Top Bottom